Wanaume: Hivi hizi nywele za makalio hunyolewa?

Wanaume: Hivi hizi nywele za makalio hunyolewa?

Miaka yangu yote nimekuwa nikijiuliza sana hukusu hizi nywele sijawahi kuzinyoa ila sometime seems like zinakera ndo nauliza hua mnazinyoa na mnazinyoaje wakuu stailstail gan mnakaa

Pia kama hazitolewi tuelezane kwa wenye swali hili natumai leo tutapata majibu toka kwa baba na kaka zetu

WANAOHUSISHA UZI HUU NA UPINDE WAAMBIE WAACHE KUWAZA UJINGA ALL THE TIME MIMI NIMEULIZA WANAUME WENZANGU NINGEKUWA NIMELEFT NINGEANZA NA KUSEMA MASHOTI ET NYWELE HUNYOLEWA MNAKUWA KAMA VIAZI VYA LUBUMBASHI KENYA
Mm hua natumia shaver za umeme zile. Unakaa mkao unavokaa ikiwa unajisaidia haja kubwa then unanyoa vzr tu...
 
Miaka yangu yote nimekuwa nikijiuliza sana hukusu hizi nywele sijawahi kuzinyoa ila sometime seems like zinakera ndo nauliza hua mnazinyoa na mnazinyoaje wakuu stailstail gan mnakaa

Pia kama hazitolewi tuelezane kwa wenye swali hili natumai leo tutapata majibu toka kwa baba na kaka zetu

WANAOHUSISHA UZI HUU NA UPINDE WAAMBIE WAACHE KUWAZA UJINGA ALL THE TIME MIMI NIMEULIZA WANAUME WENZANGU NINGEKUWA NIMELEFT NINGEANZA NA KUSEMA MASHOTI ET NYWELE HUNYOLEWA MNAKUWA KAMA VIAZI VYA LUBUMBASHI KENYA
Nimesoma huku nacheka sanaa... ila una chuchuma the unaweza tumia nova(kinyozi kidogo ) unanyoa simple tu but uwe makini
 
Back
Top Bottom