Wanaume hivi mpoje nyie!!!!!mnatuudhi sana

Ila kweli sisi tuna tamaa sana hasa ukute mwanamke wako ni wale wanaopenda pesa. Wanawake wanaorukaga kiunzi cha pesa ni wachache sana.
Tatizo huwa mnawaza kupendeza with those hairstyles na swaga zingine, ambazo without money you can't.
 
Tatizo huwa mnawaza kupendeza with those hairstyles na swaga zingine, ambazo without money you can't.
Ni akili tu. Kwa upande wangu huwa naamini hela sijui hizo material thing huwa zinapita na ni ngumu sana kupata mapenzi. So bora nibaki na wig yangu moja ila niko na mtu ninaempenda.
 
Hili hata mimi mara nyingi limenitokea, sasa kudhibiti hii issue ninzuga sana na kuondoka eneo hilo na kuto onana kwa muda mrefu na huyo mwanamke. Huwa ni ugomvi wanawake wanaanzisha visababu vya hovyo ili akupate wewe.
 
Wewe free yupo tayari achana na hao kwanza kasema hapendi michepuko,ila tu usiniulie mme tumpeleke taratibu shooga maana we mbio zako kama bolt aku keshakubali kutusitiri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni akili tu. Kwa upande wangu huwa naamini hela sijui hizo material thing huwa zinapita na ni ngumu sana kupata mapenzi. So bora nibaki na wig yangu moja ila niko na mtu ninaempenda.
I wish I wasn't married. Ningekupiga sound aisee. Nimependa hako kamsimamo. Kamenishawishi. Hahahahahahaha.
 
Hili hata mimi mara nyingi limenitokea, sasa kudhibiti hii issue ninzuga sana na kuondoka eneo hilo na kuto onana kwa muda mrefu na huyo mwanamke. Huwa ni ugomvi wanawake wanaanzisha visababu vya hovyo ili akupate wewe.
Umesema ugomvi nimekumbuka rafiki yangu alinikasirikia kisa kuna kaka alikua ananitaka mimi simtaki na kumbe rafiki angu kamuelewa huyo kaka. Sasa yule kaka alivyoondoka sijui nilifanga nini. Jamani rafiki angu alinisema mpaka tukagombana ugomvi mkubwa. Kesho yake ndo akaniambia alikua na hasira na mimi kwanini yule kaka ananitaka mimi na sio yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…