Wewe ndio walewale, wakubadili sampo. Nashindwa kukutofautisha na mtu anayeenda hotel anaambiwa agiza chochote unachopenda anaagiza chips nyama, akiona mtu kaletewa rost maini, anaanza, samahani waiter nimegaili namimi naomba niletee kama huyu..
Sampuli ya wadada kama wewe ni wadada wasiojua wanachotaka katika maisha,they are cheap,wanaburuzwa sana, wamegeuka madampo kila taka wanatupiwa.
Ishasemwa SAWA UMEPEWA UZURI ILA BILA AKILI ZITAKAZOUMIA NI SEHEMU ZA SIRI.
maisha ni kuridhika mdada, na kujivunia ulichonacho unconditionally,
Leo wajiona mzuri ila sikuombei ni mfano tu..
Uliyenaye ukipata ajali ukaharibika uso,au ukawa kilema akuache kwa sababu tu you look filthy kwa macho ya watu.
Change how you think about love Dada.
LOVE IS BLIND.
kama mama yako unavompenda, Inamaana Angekuwa na kasoro ungetafuta mwingine.
Mwanamke unatakiwa kuwa na sifa ya kuringa kidogo, ila ukiwa na sifa za dharau kiasi hicho, utahesabu sana miaka na itafika wakati utamkumbuka hata Yule ulimwonaga ana kasoro lakin wakati huo utakua ni too late.
Don't abandon the rag for the passing mate.
Be course Unachokiacha pwani leo kesho utakikuta ufukweni.