Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hapo itakuwa nilirogwa tuSasa kwanini ulinikubali wakati sinukii?
Haa ha ha....!! Ndo shida ya wadada mkipata mbaba au mbabu mwenye helaa unajiona ka wew ndo mwenye malii sasa...kumbe kidampaa kama wenzio wengine tuu.. MWENYE MALII KATULIA...Nae ni mchepuko vile vile
UnaumiiiaaHaa ha ha....!! Ndo shida ya wadada mkipata mbaba au mbabu mwenye helaa unajiona ka wew ndo mwenye malii sasa...kumbe kidampaa kama wenzio wengine tuu.. MWENYE MALII KATULIA...
Ila ni vizuri unakuwa umemsaidia jamaa anajua true colors zakoNdio hapo itakuwa nilirogwa tu
Niumie mimi akati ni maisha yakoo bimaza...[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Unaumiiiaa
Lipi zuri kwako?..me naingilia kokoteLa mbele la nyuma?
aisee leo kwakweli hata mm kanichekesha sio mchezo, eti mende aliepitia evolution hahaha [emoji23][emoji28][emoji23]Umaandikaga pumba ila umenichekesha leo.
Ukitawanyaa atakuona Tena Unapenda kitonga bora ufunge roho yaisheEheheheh majaribu makubwa halaf ndio upo nae tu unalisongesha gurudumu aaa unatawanya tu
Mm Sna mpenzi Kero Sitaki tena saiv napambana na hali yanguHaa ha ha..unataka wenye magari..??? WAO PIA WAPOO NA ALIE BORAA ZAIDI YAKOO.. So wee tulia tuu na ulienae...haa ha..
Ningekupa wa sita ila mie ni bahili kuliko mpare sasa ww mpenda pesa ka mfuko wa suruali sikuwezi[emoji23][emoji23][emoji23]Watoto watano kila mmoja na baba yake nataka wa sita tena
Vizuri sana..Mm Sna mpenzi Kero Sitaki tena saiv napambana na hali yangu
Hahahahaahhaaisee leo kwakweli hata mm kanichekesha sio mchezo, eti mende aliepitia evolution hahaha [emoji23][emoji28][emoji23]
Mada imekuguza mchizi wangu yashakutokea etiSemaa usiharibu watoto wadogoo ambao hawajakata tamaa na mapenzi...badoo wanamoyo wa Kupendaa...!!
hahahaKuna kaka mmoja ananipendaga miaka na miaka. Ana kundi lake wanacheza mpira kila jumapili. Sasa siku akanialika uwanjani. Kufika jamani. Picha linaanza kaja kunichukua na Carina. Kufika uwanjani marafiki zake sasa. Sijui huyu anafanya wapi mara yule wapi na yeye ni mwalimu unaona range benz harrier etc. Vitu vizuri vizuri tu. Wanavyovyaa. Wanavyonukia. Hapo kawaambia mimi demu wake jamani. Kundi lina wakaka wazuri na wa maana sema ndo vile hamna mwenye nguvu ya kunitaka wanamuogopa mwenzao. Na nilishawaambia sio bwana angu ila wao hawaelewi. Kuna mmoja yuko voda nina crush nae hadi kesho. Siku nimekutana nae TIPS akaniita shemeji nusu nimtukane basi tu sikua nimelewa ananiitaje shemeji wakati nampenda.
Haya taratibu sasaNiumie mimi akati ni maisha yakoo bimaza...[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Yap umejuajeIla ni vizuri unakuwa umemsaidia jamaa anajua true colors zako