Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watateseka nyie mkiwa wapi 🤣 wanaotembeza mchicha na kuuza matunda si wanawake kama wewe tu. Pambana acha usistaduu mwisho wa ubishoo ni majukumu.Watoto watateseka sana jamani
Hahahah mi halinipi shida, nakuonea huruma wewe uliyezaa na bitozi ukitegemea mtakula swaga 🤣🤣🤣Tunzeni familia mkuu...sina zaidi
Lea mwanao kulalamika haisaidii.Sawa mkuu
Shoka la nini mrembo wengine tuna matatizo ya moyo kwa nini tutishane jamani🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓
Super wimenSie watu wa pwani mtoto ni wa mama (matrilineal), uhudumie usihudumie shauri yako....sana sana tunamtafutia Baba mwingine akulelee.
Unajua uchungu tunaouskia tukibeba sperms kwenye makangaraga. Basi tu tumeamua tuwe kimya .Mwanaume utakula kwa jasho nawe mwanamke utazaa kwa uchungu. Mbona kwenye kubeba ujauzito na kujifungua hakuna kupokezana? Tunzeni familia zenu.
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Hata kwenye magubu unaweza kubebea, ndiyo maana kuna mgawanyo wa majukumuUnajua uchungu tunaouskia tukibeba sperms kwenye makangaraga. Basi tu tumeamua tuwe kimya .
Mkuu swalama!
MLEVi Mmoja naunga hoja Mkuu..relax🤣🤣🤣👋Shoka la nini mrembo wengine tuna matatizo ya moyo kwa nini tutishane jamani
Aha hapo sawa sheriiMLEVi Mmoja naunga hoja Mkuu..relax[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji112]
Sinhle mom kwa vizingaAfu wanakuja kutukana single mom humu
Mhm huyo baba mwengine atakuzalisha tuu...Sie watu wa pwani mtoto ni wa mama (matrilineal), uhudumie usihudumie shauri yako....sana sana tunamtafutia Baba mwingine akulelee.