Wanaume huu ndio ukweli ambao hamjawahi kuambiwa

Wanaume huu ndio ukweli ambao hamjawahi kuambiwa

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Unataka mkeo au mwanamke wako awe kama vile unavyotaka awe wakati wewe binafsi hutaki kuwa kama yeye anavyotaka uwe

Najua nimewachanganya kidogo au sio

Iko hivi: unataka mwanamke wako akuheshimu na kukusikiliza lakini wakati huo huo nawe haumu onyeshi mapenzi,kwasababu wanawake wanahitaji mapenzi ili waone wanapendwa kama ambavyo wanaume wanahitaji heshima ili wajue wanapendwa.

Kwahiyo kitendo cha mwanaume kutofanya yale ambayo mwanamke anapenda ndio chanzo cha wanawake kuleta matatizo mengi kwa waume zao

Hapo wataonyesha jeuri,visirani utomvu wa nidhamu na hata kucheza mechi za ugenini watacheza kwasababu tu,hawapati yale ambayo wanayataka kutoka kwako

Ili mambo yaende sawa walau kwa kiasi fulani wakati wewe unataka mwanamke wako awe kama vile umavyotaka awe basi na wewe kuwa kama naye anavyotaka wewe uwe,,hiyo ni win win situation.

Sina mambo mengi

Ni hayo tu!
 
womens are complicated bro!
%E8%B6%85%E7%BA%A7%E6%88%AA%E5%B1%8F_20240701_233137.jpg
 
Ku
Unataka mkeo au mwanamke wako awe kama vile unavyotaka awe wakati wewe binafsi hutaki kuwa kama yeye anavyotaka uwe

Najua nimewachanganya kidogo au sio

Iko hivi: unataka mwanamke wako akuheshimu na kukusikiliza lakini wakati huo huo nawe haumu onyeshi mapenzi,kwasababu wanawake wanahitaji mapenzi ili waone wanapendwa kama ambavyo wanaume wanahitaji heshima ili wajue wanapendwa.

Kwahiyo kitendo cha mwanaume kutofanya yale ambayo mwanamke anapenda ndio chanzo cha wanawake kuleta matatizo mengi kwa waume zao

Hapo wataonyesha jeuri,visirani utomvu wa nidhamu na hata kucheza mechi za ugenini watacheza kwasababu tu,hawapati yale ambayo wanayataka kutoka kwako

Ili mambo yaende sawa walau kwa kiasi fulani wakati wewe unataka mwanamke wako awe kama vile umavyotaka awe basi na wewe kuwa kama naye anavyotaka wewe uwe,,hiyo ni win win situation.

Sina mambo mengi

Ni hayo tu!
Kumbe ndivyo mnavyofanya kwenda kupiga misamba huko kwa............ Duuu magonjwa siku hizi hakunazi
 
Sikuwahi kumuona Babu yangu akimuita Bibi yangu baby, wala kuonyesha aina yoyote ya utii kwa bibi yangu. Mara zote nilimuona Bibi yangu ni mtu wa kupokea maelekezo na kutekeleza bila ya kuwa na maswali mengi, BTW wameishi kwenye ndoa zaidi ya miaka 50. Siku zote nilimuona bibi ni mtu wa furaha tu.

Huu ushenzi wa kuleta 'demokrasia' kwenye mahusiano/ndoa utawagharimu sana
 
U
Unataka mkeo au mwanamke wako awe kama vile unavyotaka awe wakati wewe binafsi hutaki kuwa kama yeye anavyotaka uwe

Najua nimewachanganya kidogo au sio

Iko hivi: unataka mwanamke wako akuheshimu na kukusikiliza lakini wakati huo huo nawe haumu onyeshi mapenzi,kwasababu wanawake wanahitaji mapenzi ili waone wanapendwa kama ambavyo wanaume wanahitaji heshima ili wajue wanapendwa.

Kwahiyo kitendo cha mwanaume kutofanya yale ambayo mwanamke anapenda ndio chanzo cha wanawake kuleta matatizo mengi kwa waume zao

Hapo wataonyesha jeuri,visirani utomvu wa nidhamu na hata kucheza mechi za ugenini watacheza kwasababu tu,hawapati yale ambayo wanayataka kutoka kwako

Ili mambo yaende sawa walau kwa kiasi fulani wakati wewe unataka mwanamke wako awe kama vile umavyotaka awe basi na wewe kuwa kama naye anavyotaka wewe uwe,,hiyo ni win win situation.

Sina mambo mengi

Ni hayo tu!
Utakuwa Punda wa wanawake kwa sababu ya kupenda chini......have focus in your life bro.
 
Inaanzaga heshima afu ndio mapenzi yanafuata, ili mwanamke akupende kwanza lazima akuheshimu, ushasikia msemo "Women break rules for men they love", Do you know why? sababu ni heshima, mwanamke atakutest kwenye mahusiano kuona kama unastahili heshima.
.
Kitu kingine, mwanamke ndio anakuwa vile mwanaume anataka, sio kinyume chake.
 
Back
Top Bottom