Wanaume huu ndio ukweli ambao hamjawahi kuambiwa

Wanaume huu ndio ukweli ambao hamjawahi kuambiwa

Mtoa mada yupo sahihi kwa mtazamo wake na wachangiaji nao wapo sahihi kwa mtazamo wao.
Namba "9" Kuna Moja ataiona kama 6 na mwingine kama 9, kutegemeana na position!

Anyway, ningemwelewa vizuri mchangiaji kama ningejua... Je, ana "Mke" au ana "Mchumba" na kama ana "Mke" ni kwa muda (Umri) gani?
 
Mwanaume halisia huwezi kuwa kama mwanamke anavyotaka. Utawehuka, maana wanawake hawaeleweki.

Mwanamke ndiyo anapaswa kufuata mwanaume anachotaka.
 
Mtoa mada yupo sahihi kwa mtazamo wake na wachangiaji nao wapo sahihi kwa mtazamo wao.
Namba "9" Kuna Moja ataiona kama 6 na mwingine kama 9, kutegemeana na position!

Anyway, ningemwelewa vizuri mchangiaji kama ningejua... Je, ana "Mke" au ana "Mchumba" na kama ana "Mke" ni kwa muda (Umri) gani?
Nilikuwa kwenye ndoa kwa miaka saba
 
Mwanaume halisia huwezi kuwa kama mwanamke anavyotaka. Utawehuka, maana wanawake hawaeleweki.
Kuna uelewa mbaya sana miongoni mwetu

Tofautisha kuwa kichwa cha familia na kumpenda mkeo

Kichwa cha familia ni kuwa kiongozi na mlezi wa familia yako na mwamuzi wa mwisho

Lakini kupenda ni kujali,kuthamini hisia zake na kumpa furaha
 
Iko hivi,,hela itatafutwa uwe single au na mwenza,,tuache kisingizio cha kutafuta hela na kuukwepa ukweli

Binadamu yoyoye anayejitambua hatamtumia kipenz chake kama daraja eti kisa tu yeye ni mwanaume,,bali atahakikisha anamfanya awe na furaha na amani, kama ambavyo yeye anapenda awe na furaha na amani

Kama hamjui mapenzi ni nini,basi muwe single daima
Ndugu yangu bado haujauona mwanga ngoja kichwa chako kijae mambo mengi halafu urudi utueleze kama utapata muda wa kumsikiliza mkeo unaemhudumia kila kitu.
 
Mi nikajua kuna mapya, mbona haya wanaume tushaambiana sana humu ndani!!!!
 
Hivi bado mnakimbizina na kuuridhisha moyo wa mwanamke ili mpate nn? Zaidi ya vifo na maumivu tu
Umeongea kitu kikubwa sana.
Tukiwa jopo hapa tunawezsema hivi ila ukiwa peke yako unaona eeh wacha nione nafanyaje kumridhisha
 
Sikuwahi kumuona Babu yangu akimuita Bibi yangu baby, wala kuonyesha aina yoyote ya utii kwa bibi yangu. Mara zote nilimuona Bibi yangu ni mtu wa kupokea maelekezo na kutekeleza bila ya kuwa na maswali mengi, BTW wameishi kwenye ndoa zaidi ya miaka 50. Siku zote nilimuona bibi ni mtu wa furaha tu.

Huu ushenzi wa kuleta 'demokrasia' kwenye mahusiano/ndoa utawagharimu sana
Nakazia sana
 
Sikuwahi kumuona Babu yangu akimuita Bibi yangu baby, wala kuonyesha aina yoyote ya utii kwa bibi yangu. Mara zote nilimuona Bibi yangu ni mtu wa kupokea maelekezo na kutekeleza bila ya kuwa na maswali mengi, BTW wameishi kwenye ndoa zaidi ya miaka 50. Siku zote nilimuona bibi ni mtu wa furaha tu.

Huu ushenzi wa kuleta 'demokrasia' kwenye mahusiano/ndoa utawagharimu sana

Uko sahihi na mimi nilichelewa kujua hili.

Mi nilijifanya romantic nikaambulia disrespect, nikaleta usasa, nikaamua kujiondoa, nina amani tele, ila kikubwa ni kutimiza majukumu yako na kuwa na kusudi, na kumpa majukumu mwanamke ayafanye. Onyesha uromantic kwa mwanamke aliyejibidisha kukutii, usitoe attention kirahisi.

Mwanamke asiyekuheshimu hakupendi. Hakuna haja ya kumu-entertain au ukajaribu kuwa romantic ukadhani utaimarisha mahusiano.
 
Maandishi ya mwanzo yako vizur sana ila paragrafu ya mwisho kama umefeli hivi,,,na ndiyo niliyo zungumza

Linapokuja swala mapenzi,,wote tunahitaji mapenzi,kuhisi unapewa kipaumbele,unapewa thamani na mambo kama hayo,je iweje mke asitake hayo?

Hapo tunafeli big time
Ishu iko hivi, sio lazima nifanye mwanamke anavyotaka ili awe na mimi, kwa sababu mapenzi sio mchezo wa usawa, kwenye mapenzi mwenye nguvu/ power/ value zaidi ndio anayeshikilia mahusiano, sasa kama mimi namzidi value mwanamke wangu basi lazima akubali nachotaka bila mimi kuendana na yale anayotaka, hivi kati ya kiongozi na anayeongozwa nani hufuata mawazo ya mwingine?

Mahusiano mengi yanavunjika sababu wanaume tunatoa zaidi ya kile mwanamke anachostahili, it projects weakness, wanawake wanataka value, Value inajionesha pale mwanaume unapojitanguliza wewe kwanza. Usinielewe vibaya, najua mapenzi ni mchezo mpana sana.
 
Kuna uelewa mbaya sana miongoni mwetu

Tofautisha kuwa kichwa cha familia na kumpenda mkeo

Kichwa cha familia ni kuwa kiongozi na mlezi wa familia yako na mwamuzi wa mwisho

Lakini kupenda ni kujali,kuthamini hisia zake na kumpa furaha
No, kumpenda mwanamke ni kumwongoza kwenye njia sahihi kwa kutumia akili ( rational mind) sio kusikiliza hisia zake hata kama zinatengeneza mkanganyiko eti sababu uonekane unajali, haya sio mapenzi ya mwanaume kwa mwanamke.
 
Hivi kitwa nzima mnasumbuka na wanawake wa Nini

Hawa tulipewa tuwatawale baaaas

Usisumbuke mwanaume wewe ni mfalme na neno la mfalme ni Sheria baaaaaas
 
Back
Top Bottom