Mtoa mada yupo sahihi kwa mtazamo wake na wachangiaji nao wapo sahihi kwa mtazamo wao.
Namba "9" Kuna Moja ataiona kama 6 na mwingine kama 9, kutegemeana na position!
Anyway, ningemwelewa vizuri mchangiaji kama ningejua... Je, ana "Mke" au ana "Mchumba" na kama ana "Mke" ni kwa muda (Umri) gani?
Namba "9" Kuna Moja ataiona kama 6 na mwingine kama 9, kutegemeana na position!
Anyway, ningemwelewa vizuri mchangiaji kama ningejua... Je, ana "Mke" au ana "Mchumba" na kama ana "Mke" ni kwa muda (Umri) gani?