Wanaume huu ndio ukweli ambao hamjawahi kuambiwa

Wanaume huu ndio ukweli ambao hamjawahi kuambiwa

Inaanzaga heshima afu ndio mapenzi yanafuata, ili mwanamke akupende kwanza lazima akuheshimu, ushasikia msemo "Women break rules for men they love", Do you know why? sababu ni heshima, mwanamke atakutest kwenye mahusiano kuona kama unastahili heshima.
.
Kitu kingine, mwanamke ndio anakuwa vile mwanaume anataka, sio kinyume chake.
Maandishi ya mwanzo yako vizur sana ila paragrafu ya mwisho kama umefeli hivi,,,na ndiyo niliyo zungumza

Linapokuja swala mapenzi,,wote tunahitaji mapenzi,kuhisi unapewa kipaumbele,unapewa thamani na mambo kama hayo,je iweje mke asitake hayo?

Hapo tunafeli big time
 
Mtu kaonja tunda kajijua yupo uchi, akajua nikosa, ila akajisemea ahha kwa hii shepu huyu umbwa hatoki katiwoki ikaanzia hapo mpaka kwa Adam kuumpa tunda ili mradi wote waharibikiwe, ila ange ange anza adam asinge mpa mkewe.
Fear ladys
 
Sikuwahi kumuona Babu yangu akimuita Bibi yangu baby, wala kuonyesha aina yoyote ya utii kwa bibi yangu. Mara zote nilimuona Bibi yangu ni mtu wa kupokea maelekezo na kutekeleza bila ya kuwa na maswali mengi, BTW wameishi kwenye ndoa zaidi ya miaka 50. Siku zote nilimuona bibi ni mtu wa furaha tu.

Huu ushenzi wa kuleta 'demokrasia' kwenye mahusiano/ndoa utawagharimu sana
Ufalme wenye democracy mara nyingi ni rahisi kufitinika.
 
Unataka mkeo au mwanamke wako awe kama vile unavyotaka awe wakati wewe binafsi hutaki kuwa kama yeye anavyotaka uwe

Najua nimewachanganya kidogo au sio

Iko hivi: unataka mwanamke wako akuheshimu na kukusikiliza lakini wakati huo huo nawe haumu onyeshi mapenzi,kwasababu wanawake wanahitaji mapenzi ili waone wanapendwa kama ambavyo wanaume wanahitaji heshima ili wajue wanapendwa.

Kwahiyo kitendo cha mwanaume kutofanya yale ambayo mwanamke anapenda ndio chanzo cha wanawake kuleta matatizo mengi kwa waume zao

Hapo wataonyesha jeuri,visirani utomvu wa nidhamu na hata kucheza mechi za ugenini watacheza kwasababu tu,hawapati yale ambayo wanayataka kutoka kwako

Ili mambo yaende sawa walau kwa kiasi fulani wakati wewe unataka mwanamke wako awe kama vile umavyotaka awe basi na wewe kuwa kama naye anavyotaka wewe uwe,,hiyo ni win win situation.

Sina mambo mengi

Ni hayo tu!
Tafuta hela ndugu yangu, nilikuwa nadhani huku Ulaya pia kuna haki sawa. Haki sawa ni kwa wanaume masikini. Huku unakuta mtu ana mke na ana kimada na mke anatulia kimya. Kama hauna hela ndio unatakiwa kumsikiliza mwanamke. Lakini kama una hela na umeipata kwa tabu, ishi inavyotaka mkuu na kuna watu kibao wataku-support.
 
Jinsia yako tafadhali.

Maana niki ona mwanaume ana anzisha mada za kutusema wanaume wenzake as if ye ana jua sanaa, napata mashaka
 
Sikuwahi kumuona Babu yangu akimuita Bibi yangu baby, wala kuonyesha aina yoyote ya utii kwa bibi yangu. Mara zote nilimuona Bibi yangu ni mtu wa kupokea maelekezo na kutekeleza bila ya kuwa na maswali mengi, BTW wameishi kwenye ndoa zaidi ya miaka 50. Siku zote nilimuona bibi ni mtu wa furaha tu.

Huu ushenzi wa kuleta 'demokrasia' kwenye mahusiano/ndoa utawagharimu sana
Je alikwambia kuwa ana furaha?

Huenda huko zamani waliambiwa wawatii waume zao iwe jua iwe mvua lkn deep down walikuwa wanaumia sana

Siku zote penda kuwafanyia watu yale unayopenda wewe

Unaweza usimwite maneno ya mahaba lkn ukawa na upendo mkubwa ambao atauthamini daima

Upendo kwa wanandoa ndio kila kitu
 
Mtu kaonja tunda kajijua yupo uchi, akajua nikosa, ila akajisemea ahha kwa hii shepu huyu umbwa hatoki katiwoki ikaanzia hapo mpaka kwa Adam kuumpa tunda ili mradi wote waharibikiwe, ila ange ange anza adam asinge mpa mkewe.
Fear ladys
Naona kuna kitu hujakielewa kuhusu kisa cha hawa na adam

Kama angempa tunda unalosema wewe si wangevua ndio walile,sasa wangejikuta uchi kivip wkt walivua nguo?
 
Unataka mkeo au mwanamke wako awe kama vile unavyotaka awe wakati wewe binafsi hutaki kuwa kama yeye anavyotaka uwe

Najua nimewachanganya kidogo au sio

Iko hivi: unataka mwanamke wako akuheshimu na kukusikiliza lakini wakati huo huo nawe haumu onyeshi mapenzi,kwasababu wanawake wanahitaji mapenzi ili waone wanapendwa kama ambavyo wanaume wanahitaji heshima ili wajue wanapendwa.

Kwahiyo kitendo cha mwanaume kutofanya yale ambayo mwanamke anapenda ndio chanzo cha wanawake kuleta matatizo mengi kwa waume zao

Hapo wataonyesha jeuri,visirani utomvu wa nidhamu na hata kucheza mechi za ugenini watacheza kwasababu tu,hawapati yale ambayo wanayataka kutoka kwako

Ili mambo yaende sawa walau kwa kiasi fulani wakati wewe unataka mwanamke wako awe kama vile umavyotaka awe basi na wewe kuwa kama naye anavyotaka wewe uwe,,hiyo ni win win situation.

Sina mambo mengi

Ni hayo tu!
Hata hueleweki
 
Tafuta hela ndugu yangu, nilikuwa nadhani huku Ulaya pia kuna haki sawa. Haki sawa ni kwa wanaume masikini. Huku unakuta mtu ana mke na ana kimada na mke anatulia kimya. Kama hauna hela ndio unatakiwa kumsikiliza mwanamke. Lakini kama una hela na umeipata kwa tabu, ishi inavyotaka mkuu na kuna watu kibao wataku-support.
Iko hivi,,hela itatafutwa uwe single au na mwenza,,tuache kisingizio cha kutafuta hela na kuukwepa ukweli

Binadamu yoyoye anayejitambua hatamtumia kipenz chake kama daraja eti kisa tu yeye ni mwanaume,,bali atahakikisha anamfanya awe na furaha na amani, kama ambavyo yeye anapenda awe na furaha na amani

Kama hamjui mapenzi ni nini,basi muwe single daima
 
Naona watu mnamwelewa vibaya mtoa mada Etugrul Bey .....Kupewa mapenzi ni haki ya mwanamke kama ilivyo haki yako mwanaume kuheshimiwa na mwanamke na kusikilizwa, sasa usipompa mapenzi mkeo mimi ntampa alaf ole wako uje umkaripie mchepuko wangu.
 
Back
Top Bottom