Nimeipenda hiiNaona watu mnamwelewa vibaya mtoa mada Etugrul Bey .....Kupewa mapenzi ni haki ya mwanamke kama ilivyo haki yako mwanaume kuheshimiwa na mwanamke na kusikilizwa, sasa usipompa mapenzi mkeo mimi ntampa alaf ole wako uje umkaripie mchepuko wangu.
Nilikuwa kwenye ndoa kwa miaka sabaMtoa mada yupo sahihi kwa mtazamo wake na wachangiaji nao wapo sahihi kwa mtazamo wao.
Namba "9" Kuna Moja ataiona kama 6 na mwingine kama 9, kutegemeana na position!
Anyway, ningemwelewa vizuri mchangiaji kama ningejua... Je, ana "Mke" au ana "Mchumba" na kama ana "Mke" ni kwa muda (Umri) gani?
Kama vitu gani hakuambiiwomens are complicated bro!View attachment 3030993
Kuna uelewa mbaya sana miongoni mwetuMwanaume halisia huwezi kuwa kama mwanamke anavyotaka. Utawehuka, maana wanawake hawaeleweki.
Utasikiaje visivyosemwa?womens are complicated bro!View attachment 3030993
😂Pole sanaNaona kuna kitu hujakielewa kuhusu kisa cha hawa na adam
Kama angempa tunda unalosema wewe si wangevua ndio walile,sasa wangejikuta uchi kivip wkt walivua nguo?
Ndugu yangu bado haujauona mwanga ngoja kichwa chako kijae mambo mengi halafu urudi utueleze kama utapata muda wa kumsikiliza mkeo unaemhudumia kila kitu.Iko hivi,,hela itatafutwa uwe single au na mwenza,,tuache kisingizio cha kutafuta hela na kuukwepa ukweli
Binadamu yoyoye anayejitambua hatamtumia kipenz chake kama daraja eti kisa tu yeye ni mwanaume,,bali atahakikisha anamfanya awe na furaha na amani, kama ambavyo yeye anapenda awe na furaha na amani
Kama hamjui mapenzi ni nini,basi muwe single daima
Umeongea kitu kikubwa sana.Hivi bado mnakimbizina na kuuridhisha moyo wa mwanamke ili mpate nn? Zaidi ya vifo na maumivu tu
Nakazia sanaSikuwahi kumuona Babu yangu akimuita Bibi yangu baby, wala kuonyesha aina yoyote ya utii kwa bibi yangu. Mara zote nilimuona Bibi yangu ni mtu wa kupokea maelekezo na kutekeleza bila ya kuwa na maswali mengi, BTW wameishi kwenye ndoa zaidi ya miaka 50. Siku zote nilimuona bibi ni mtu wa furaha tu.
Huu ushenzi wa kuleta 'demokrasia' kwenye mahusiano/ndoa utawagharimu sana
Uko sahihi .Tuishi nao kwa akili tu, hata uwafanyie nini wakiamua kubadilika wanabadilika.
Sikuwahi kumuona Babu yangu akimuita Bibi yangu baby, wala kuonyesha aina yoyote ya utii kwa bibi yangu. Mara zote nilimuona Bibi yangu ni mtu wa kupokea maelekezo na kutekeleza bila ya kuwa na maswali mengi, BTW wameishi kwenye ndoa zaidi ya miaka 50. Siku zote nilimuona bibi ni mtu wa furaha tu.
Huu ushenzi wa kuleta 'demokrasia' kwenye mahusiano/ndoa utawagharimu sana
Ishu iko hivi, sio lazima nifanye mwanamke anavyotaka ili awe na mimi, kwa sababu mapenzi sio mchezo wa usawa, kwenye mapenzi mwenye nguvu/ power/ value zaidi ndio anayeshikilia mahusiano, sasa kama mimi namzidi value mwanamke wangu basi lazima akubali nachotaka bila mimi kuendana na yale anayotaka, hivi kati ya kiongozi na anayeongozwa nani hufuata mawazo ya mwingine?Maandishi ya mwanzo yako vizur sana ila paragrafu ya mwisho kama umefeli hivi,,,na ndiyo niliyo zungumza
Linapokuja swala mapenzi,,wote tunahitaji mapenzi,kuhisi unapewa kipaumbele,unapewa thamani na mambo kama hayo,je iweje mke asitake hayo?
Hapo tunafeli big time
No, kumpenda mwanamke ni kumwongoza kwenye njia sahihi kwa kutumia akili ( rational mind) sio kusikiliza hisia zake hata kama zinatengeneza mkanganyiko eti sababu uonekane unajali, haya sio mapenzi ya mwanaume kwa mwanamke.Kuna uelewa mbaya sana miongoni mwetu
Tofautisha kuwa kichwa cha familia na kumpenda mkeo
Kichwa cha familia ni kuwa kiongozi na mlezi wa familia yako na mwamuzi wa mwisho
Lakini kupenda ni kujali,kuthamini hisia zake na kumpa furaha
Kama zipo lakini.Tuishi nao kwa akili tu.