Wanaume huwa mnahitaji nini?

Mwambie akajitambulishe ukweni, muda wote huo anaonja kwani Chumvi haijakoa tuπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
kwa lugha ngumu ni kwamba hamja match kwa hiyo hakuna upendo ila unahitajiana na yeye hakuhitaji sana ila kipo anachohitaji kwako! kwa kifupi piga chini vinginevyo kwa kuwa wanawake mnaouwezo wa kubeba yote mawili endelea kuwa naye huku ukijua hakupendi na jipange jinsi ya kukabiliana na vidonda vya tumbo, pressure na ndugu zake yanayoweza kutokana na mateso ya nafsi yako (maumivu ya ndani) kwa ajili ya mapenzi.
 

Ulijihakikishia kuwa huyo mtu ana tabia njema? Maana wengi wanalalamika lakini kumbe kajiingiza kwa vijana wale wanaokwenda kuscrub nyuso na kutia dawa ndevu!! Wale vijana wanasukwa na kwenda saloon za kike kukatwa kucha!!

Jitoe nae, kata mawadiliano nae, kumbuka mabaya yake pekee utasonga mbele!!

Hakikisha unaonyesha misimamo yako, ukisimamia kwamba tabia zako zimefanya nione wewe si mume mwema tena kwangu!! Hakikisha unasimama hivyo!! Unapobabaika na kubadili misimamo ndipo unampa credit ya kuwa hata akiharibu, atakubembeleza utarudi tuu!! Thus why anarudia rudia uovu wake kwako.

Laah! Endelea kuvumilia akuletee magonjwa!!
 
Hiyo sio kwa wanaume tu hata wanawake ila bref hakupendi huyo.
Fanya maamuzi,Kwenye mapinduzi yoyote lazima kuwe na wakati mgumu wa mapito"

Unaogopa kuachana nae kwa kuhofia huo wakati.
Hakuna wa kukuonea huruma hapa,bali jionee mwenyewe na nafsi yako ndio huruma pekee inayoweza kufanya kazi na kukuponya.

Usije ukasema haujaambiwa, ukitiwa chumvi huko shaulako.
 
acha kupoteza muda wako kwa huyo jamaa, anarud sio kwamba anakupenda bali anajua ndo anapopendwa
 
Vibaya mno hapo jamaa anajikosha tu apige rungu dharau zirudi mbona atakoma afu jamaa pengine amtie na mimba kabisa atie kufuli ..Over
Si bora mimba utazaa?

Akimuomba kwingine kwa kigezo kwamba atatulia?

Atakataa kwa alivyokufa na kuoza?
 
Pole sana
Ila naomba uliza.... Jimbo lipo wazi ? Tuanze tuma maombi?
 
Wameachana kina Billgates nyie wengine ni kina nani hasa hapa chini ya jua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…