GANA BANKS
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 608
- 872
Tumechoka kuangaliaa chaneliiii teni tugeuzieni tuangalie kipindi cha wanyama apo tibisiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achomoe nani..🙃🤣🤣🤣🤣 Man down huchomoi.. ee
Watu wengine wana bahati ya kupata mpenzi mwema na mstarabu, lakini huchezea baraka hiyo. Mkuu huyo hakuthamni wala haoni thamani ya kuwa na wewe...piga chini na songa mbeleHabarini zenu ndugu zangu?
Kwa kweli inafikia kipindi nakuwa sielewi hizi ishu za mahusiano.
Mwenzenu nimekuwa kwenye mahusiano na mkaka wa miaka 33. Amenizidi miaka 4. Na tumekuwa naye kwa muda mrefu sana. Katika mahusiano yetu hayo, kiukweli sijisifii lakini nimejitahidi kuwa mwema sana kwake. Nimekuwa mnyenyekevu na msikivu sana kwa mwenzangu.
Tofauti na wengi wanavyosema kuwa ukiwa hivyo unaleta upendo lakini kwangu mimi naona inakuwa tofauti. Badala ya upendo, naonekana kama mtu mjinga ambaye nimekufa na nimeoza kwake kiasi kwamba siwezi kujitetea kwa lolote.
Tabia hii kwa mwenzangu, ikazua yeye kuwa na wanawake wengine kisirisiri na inapotokea nimegundua anataka kunifanya mimi nionekane nimemkosea adabu! Kweli nina madhaifu kama binadamu, lakini kwa upendo wa dhati kwa huyu mtu kwa kweli nilikuwa nao.
Yeye mwenyewe anajua na hiyo ilimtia sana kiburi. Sasa amezua tabia mpya. Inapotokea naona mwenzangu anafanya mambo ya kipuuzi na kuwa na wanawake wengine, namwambia achague. Na cha ajabu anachagua mwenzangu mie naendelea na maisha mengine. Lakini haiwezi kupita mwezi bila huyu jamaa kurudi na kuomba msamaha sana.
Nimechoka hali hii na ninahitaji sana kuendelea na maisha mengine wadau. Naombeni mnisaidie mawazo yenu labda wapi nakwama na nini nahitaji katika suala hili la mahusiano maana naona ule uvumilivu na upendo unakufa na chuki inaibuka moyoni mwangu juu ya huyu kaka. Nilidhani ni hali ya kawaida ila sasa nina siku ya tatu akinitafuta, sina uwezo wa kuongea naye vizuri. Kwa mara ya pili toka tuanze mahusiano nimemtukana na nimemruhusu aende anapotaka kwenda.
Ila bado analalamika kwa marafiki zake kuwa nimekuwa mjeuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anaambia watu umekuwa jeuri na hao watu wanakwambia?How?Mko wangapi kwenye hayo mahusiano?Au mna fans wa mahusiano yenu?..
As long as kuna 'hao watu 'una wa entertain ..you will never be free...
Mahusiano strong muongee wenyewe kila kitu..bila kuhusisha watu...
Kama hao watu huwa anawapa offer za bia
Siku zote watakushauri 'uvumilie'
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wameachana kina Billgates nyie wengine ni kina nani hasa hapa chini ya jua
Mara nyingi maandishi yako yana content iliyo makinika sanaEach time you forgive a man and take him back for the same mistake, he loses some level of respect for you.
Sasa jitafakari. Hapo hujaolewa wala hujazaa unadhalilika. Ukija kuolewa ama kupachikwa tu ki zygote kuna rangi utaacha kuona kweli?
Asante.Mara nyingi maandishi yako yana content iliyo makinika sana
Naomba urafiki mkuu
Jipatie Ofa Kabambe kabisa!Hakupendi huyo achana nae. Njoo kwangu uje uupumzishe moyo wako mrembo. kwa nin uteseke wakat ma gentleman tupo kwa ajiri yako.
Ifikie mahali wana jamii muweze kujamiiana vizuri panapo faragha huko pi emu!Asante.
Kwani urafiki wenyewe unasemaje Mkuu?
🤣🤣🤣🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🤭🤭🤭
Hasa ukiwa upande wa “Fala” utateseka mnoIla twende ndani turudi nje mapenzi yanauma..😬
Mi mwenyewe niliachwaga na pisi moja hiyo hasira zikaishia kwenye kung'ata mbao!
And this goes the other way round!Each time you forgive a man and take him back for the same mistake, he loses some level of respect for you.
Sasa jitafakari. Hapo hujaolewa wala hujazaa unadhalilika. Ukija kuolewa ama kupachikwa tu ki zygote kuna rangi utaacha kuona kweli?
The girl is innocentKwani wee hutongozwi jamani au huna tako mpaka unasumbuka na mwanaume mmoja?
Daaah au ndiyo mpaka nikutumie mavyeti huko pm ndiyo unifanyie vetting [emoji41]Asante.
Kwani urafiki wenyewe unasemaje Mkuu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2094][emoji2094][emoji2094][emoji2094][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Una hoja haswaa🥰🥰🥰 ishu ni upendo tu!Asiyekupenda hata uwe mwema kiasi gani utaonekana zuzu!
Tafakari chukua hatua