Mtu Alie Nyikani
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 949
- 2,038
Sasa Upo kwenye Ndoa Makasiriko na povu lote hili la Nini? Au unatudanganya, basi kama ni ukweli itakua huyo Jamaa yetu ana shida sana!!!Nipo kwenye ndoa na "mbwa" fulani tunayevumiliana!
Mara moja moja huwa unapatia kama ilivyo saa mbovu!Ukijifanya "object" unakuwa ni "object" kweli.
Mwanamke hatunzwi na mwanamme, mwanamke mwenye kujielewa hujitunza mwenyewe na kumtunza mwanamme.
Itafikiaje mpaka mwanamme akufanye "object"?
Yupo sahihi kabisaa.....Au kasema uwongo?
Mimi ndio mliki wa simu yke na Id yke,so mpka nimeandika nijidhirsha na mengi juu yke Sina mashaka naye kwa loloteChunguza tena, kama ni mstarabu sana huenda ana id nyingine anayojiachia nayo humu.
Kifupi wote me na ke thamani imeshuka, ngono imekuwa kipaumbele chetu.Mwanamke saivi Hana Thamani, kabisa sabab ni wanawake hao hao ndo wamejishusha Thamani yao kwa kutangliza tamaa mbele!! Sasa hapo kwanini wanaume wasiwatumie wanavyo taka.
Kweli kabisa.Mwanamke saivi Hana Thamani, kabisa sabab ni wanawake hao hao ndo wamejishusha Thamani yao kwa kutangliza tamaa mbele!! Sasa hapo kwanini wanaume wasiwatumie wanavyo taka.
Acha tu tuishi umo umo, hata ivyo hao wakina dada wanatuokoa sisi mabachela huku magetoni [emoji846][emoji846]Umeshuka sababu wengine wamefanya km vyanzo vya mapato wanagawia mpk matahira
Hongera sana mkuu, man wako tutamjengea lisanam lake unapotaka.Mimi ndio mliki wa simu yke na Id yke,so mpka nimeandika nijidhirsha na mengi juu yke Sina mashaka naye kwa lolote
Kwa hiyo kisa nimeolewa sijui kinachoendelea duniani? Au unafikiri kwa kua nimeolewa sipati heka heka zinazosababishwa na wanaumeSasa Upo kwenye Ndoa Makasiriko na povu lote hili la Nini? Au unatudanganya, basi kama ni ukweli itakua huyo Jamaa yetu ana shida sana!!!
NB: Kingine Ukitunza hiyo K yako hakuna mwanaume atakae kuja kukubaka na kukuharibu ila ukitanguliza tamaa mwisho wake ndo hivyo utatumika then utatemwa Bado ya hapo utaitwa Malaya. So acha kulalamikia wanaume jilalamikie wewe mwenyewe unaye toa
Hii imeendaUzuri tu tunategemeana, yaani Me bila Ke and vice versa haiwezekani, au kihisia, kimwili na kivyovyote...hii vita haina mwisho. Manake sasa bila Ke nitaishije mimi, puchu siwezi tena, kupika nishasahau, kufua mara moja sana. Someone wa kutaniana, kutoka out, kukasirikiana nk...
Ndio muache kuwasimanga na kutujumlisha wote. Wengine tupo na wanaume zetu tumetuliaAcha tu tuishi umo umo, hata ivyo hao wakina dada wanatuokoa sisi mabachela huku magetoni [emoji846][emoji846]
HakikaNdio muache kuwasimanga na kutujumlisha wote. Wengine tupo na wanaume zetu tumetulia
tunawapenda sana, msitunyime utamu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wapeane zamu nani aanze kubon’goka shenzy zao
Ila mjitahidi kupunguza tamaa, mwanaume akikuona una tamaa sana atakutumia kama object tu, hutakuwa na thamani kwake. Jitunze na kujihudumia hadi uolewe, ila kama ndio kudandia kila Me na kudemand akuhudumie as if ni mume, hakika vijana wamecharuka sana, watawatumia na kuwatangaza.Hii imeenda
Nyie si majeuri mpeane wenyewe tuone km mtafika mbali 😂😂tunawapenda sana, msitunyime utamu
Haya mabaharia kujeni huku kumekucha hebu mwenye kujitetea alianzishe maana mimi ninapita tu.Michango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!
Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?
Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....
Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.
Msiwafanye wanawake objects.
Povu ruksa.
Uchumi ndo ukufanye ujiuze kwa afu tatu?Tatizo ni uchumi
Kulia zaidi.iwe 009000 au ?