Wanaume JF acheni kuwafanya wanawake kuwa "objects"

Wanaume JF acheni kuwafanya wanawake kuwa "objects"

Nipo kwenye ndoa na "mbwa" fulani tunayevumiliana!
Sasa Upo kwenye Ndoa Makasiriko na povu lote hili la Nini? Au unatudanganya, basi kama ni ukweli itakua huyo Jamaa yetu ana shida sana!!!
NB: Kingine Ukitunza hiyo K yako hakuna mwanaume atakae kuja kukubaka na kukuharibu ila ukitanguliza tamaa mwisho wake ndo hivyo utatumika then utatemwa Bado ya hapo utaitwa Malaya. So acha kulalamikia wanaume jilalamikie wewe mwenyewe unaye toa
 
Mwanamke saivi Hana Thamani, kabisa sabab ni wanawake hao hao ndo wamejishusha Thamani yao kwa kutangliza tamaa mbele!! Sasa hapo kwanini wanaume wasiwatumie wanavyo taka.
Kifupi wote me na ke thamani imeshuka, ngono imekuwa kipaumbele chetu.
Na nyie wanaume mmejivua uanaume wenu baadhi yenu, mmeamua kugeuzwa kwa tamaa hizo hizo za fedha.
 
Sasa Upo kwenye Ndoa Makasiriko na povu lote hili la Nini? Au unatudanganya, basi kama ni ukweli itakua huyo Jamaa yetu ana shida sana!!!
NB: Kingine Ukitunza hiyo K yako hakuna mwanaume atakae kuja kukubaka na kukuharibu ila ukitanguliza tamaa mwisho wake ndo hivyo utatumika then utatemwa Bado ya hapo utaitwa Malaya. So acha kulalamikia wanaume jilalamikie wewe mwenyewe unaye toa
Kwa hiyo kisa nimeolewa sijui kinachoendelea duniani? Au unafikiri kwa kua nimeolewa sipati heka heka zinazosababishwa na wanaume
 
Uzuri tu tunategemeana, yaani Me bila Ke and vice versa haiwezekani, au kihisia, kimwili na kivyovyote...hii vita haina mwisho. Manake sasa bila Ke nitaishije mimi, puchu siwezi tena, kupika nishasahau, kufua mara moja sana. Someone wa kutaniana, kutoka out, kukasirikiana nk...
 
Uzuri tu tunategemeana, yaani Me bila Ke and vice versa haiwezekani, au kihisia, kimwili na kivyovyote...hii vita haina mwisho. Manake sasa bila Ke nitaishije mimi, puchu siwezi tena, kupika nishasahau, kufua mara moja sana. Someone wa kutaniana, kutoka out, kukasirikiana nk...
Hii imeenda
 
Michango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!

Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.

Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?

Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?

Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....

Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.

Msiwafanye wanawake objects.

Povu ruksa.
Haya mabaharia kujeni huku kumekucha hebu mwenye kujitetea alianzishe maana mimi ninapita tu.
 
Back
Top Bottom