Wanaume JF acheni kuwafanya wanawake kuwa "objects"

Chunguza tena, kama ni mstarabu sana huenda ana id nyingine anayojiachia nayo humu.
 
Inasikitisha sana na tatizo ndio limeshajikita mizizi inabidi kuishi tu umo umo. Uchi wa mwanamke umeshuka sana thamani.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Namsanua hawana jema, mnachat vizuri anakutumia pesa kwa nyege zake mwenyewe!!
Akiomba papuchi ukikataa tayari mbio jukwaani kujaza server za Mello na malalamiko yake ya afu tatu [emoji23][emoji23][emoji23]
Una maneno mazito

Hayafai kuonekana kwenye mboni za macho yangu🤣🙌.

Nyuzi za namna hii sifungui nikikukuta🤣
Good night.
 
mhn! mvua inakoroma........ lakini haina meno! mpaka inatokea unafananishwa na object halitokei hivihivi; elewa kuwa kule unakofungia mzigo wa kuni sisi ndo tunakojisaidia hivyo hiyo miti unayochukua kuni zake zimestawishwa na kinyesi chetu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…