dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
asije huku, Mvuti tunashindia ming'oko , aje Tabata huko kila siku Makange😂😂 Aje tu mtaishi Kama Mitume ya Mungu jangwani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asije huku, Mvuti tunashindia ming'oko , aje Tabata huko kila siku Makange😂😂 Aje tu mtaishi Kama Mitume ya Mungu jangwani.
Hamna, ni upendo tu....unaona kabisa mtu anakupenda, anakuthamini,anakuheshimu na kukujali Kwanini nimbanie sasa☺️Duh basi uko tofauti
Jamani😂😂😂😂🙌Wanawake tupunguze huruma wabong’oane wenyewe Kwa wenyewe ndio dawa yao [emoji23][emoji23]
😂 Dunia ya leo akiwa kwako wako akiwa mbali malaya.asije huku, Mvuti tunashindia ming'oko , aje Tabata huko kila siku Makange
Chunguza tena, kama ni mstarabu sana huenda ana id nyingine anayojiachia nayo humu.Achana nao washamba hao,humu Kuna. Wanaume wanajiheshi na wanaakili timamu wakwanza mme wangu,yupo humu na nilimpata humu na sijawah kuona upuuz wowote amechangia na ananiheshimu,sijutii kumfahamu.So hao wanna ropokaga ni vilaza tu na wengi hawana hela,wenye hela hawana mda wa kuandiaka ujinga.
Akapige nini etiNamwelewa sana😃😃😃... namvuta tu nimpe moja kubwa akatafute babycare apige nyeto alale, mimtu mingine sijui ikoje🤣🤣🤣🤣🙌
hawezi replace nafasi ya babycare, maana ntataka mara nne kila siku😂 Dunia ya leo akiwa kwako wako akiwa mbali malaya.
Ngoja tufanye namna umtuishe mjengoni.
Acha roho mbaya[emoji1787],ndio uanaume huo
Jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Hapo unajiona Malkia siyo🤣🤣 Wajibu ww yawezekana ndo Kuna Mchumba humo Mungu amekuletea.Thanks yaani wakware kweli imagine message tano zote Hi, hello, mambo
Inasikitisha sana na tatizo ndio limeshajikita mizizi inabidi kuishi tu umo umo. Uchi wa mwanamke umeshuka sana thamani.Tatizo linaanzia kwetu wenyewe kwann ukubali kutumika hovyo??
Hivi wanawake tugome kuwapa wanaume hovyo hizo guts za kutusema MALAYA watazitolea wapi??
Tatizo baadhi yetu tuko cheap na vitamaa vya kingese ndiomana tunadhalilishwa. Mara tunagongwa kwa sate sauzandi, mara 3k
Mou anashkuru kuachana na Jini la mvuti.hawezi replace nafasi ya babycare, maana ntataka mara nne kila siku
Moureen mwenyewe kagonga mwamba
Oooh ooohhWapumbavuuu
Lijitu linanunua Malaya likishakojoa linaleta thread wanawake wote ma.laya🤣🤣
Tabia za mbwa dume huwa ni mchafu kwa asili
Yako radhi yakomalie jike moja afu yakishakojoa ndo akili zinarud
Mchumba tenaHapo unajiona Malkia siyo🤣🤣 Wajibu ww yawezekana ndo Kuna Mchumba humo Mungu amekuletea.
kanilia 9000 yangu yule, roho bado inaniuma kinomaMou anashkuru kuachana na Jini la mvuti.
Una maneno mazito[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Namsanua hawana jema, mnachat vizuri anakutumia pesa kwa nyege zake mwenyewe!!
Akiomba papuchi ukikataa tayari mbio jukwaani kujaza server za Mello na malalamiko yake ya afu tatu [emoji23][emoji23][emoji23]
mhn! mvua inakoroma........ lakini haina meno! mpaka inatokea unafananishwa na object halitokei hivihivi; elewa kuwa kule unakofungia mzigo wa kuni sisi ndo tunakojisaidia hivyo hiyo miti unayochukua kuni zake zimestawishwa na kinyesi chetu!Michango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!
Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?
Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....
Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.
Msiwafanye wanawake objects.
Povu ruksa.