Lamzettttt
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,218
- 3,481
Tuwaheshimu wanawake jaman ... Tukiwala tusiwatangaze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi, Mimi ke siwezi kuwa na hisia kwa mtu nisiyempenda hata anitomase vipi 🚮. Sipendi hata anisogelee.Nimeupitia masihara mengine ni kama ubakaji! Na story nyingi anayeanzisha masihara ni mwanaune!
Chanzo ni nyie! Kwanini uniamshe hisia halafu nikikupa ukanitangazie umalaya!
Huduma lazima mhudumieDear nikwambie kitu simu yangu imevunjika na huyuu baba mwenye nyumba anasumbua, ile gas mbona hujatuma boda boda ailete, akileta apitie nyama vitu vya kupika vimeisha na hii ni sms ya mwishoo maana kifurushi kinaisha mda si mrefu na sina vocha.
mkuu kwema lakini mbona umepanik hivyoo kwani situlikubaliana kwamba wanaume wote sisi ni mbwa. inakuaje unalalamika tena mkiguswa kidogo.
Relax elezea kwa vituo shida niniMichango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!
Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?
Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....
Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.
Msiwafanye wanawake objects.
Povu ruksa.
Alisemaje!Nimeolewa na aliyenioa wala hajanikuta bikra! Kuna tabu?
Tubebe lawama sawa!Relax elezea kwa vituo shida nini
Mimi naona ni bora kuwanyamazia tu.Hiyo shida yake! Wakati mnatunyemelea tukiwa skuli kuzitoa hizo bikra mlipanga kutuoa?
Hivi thinking ya wanaume ikoje? Yaani unamtoa mtu bikra na hutaki kumwoa!!
Halafu siku unaoa natakaaa bikraa! Bikra si mlishazitoa?
Inaboa yaani. Kutwa kunyemelea vitoto vya shule halafu kuoa eti wanataka bikra!Mimi naona ni bora kuwanyamazia tu.
Kwanza si "kuwala" ni "kukulana"Tuwaheshimu wanawake jaman ... Tukiwala tusiwatangaze
🚮 angalia kama huyo mwengine usikute ni mdogo wangu kabisa ananiambia nanuka maziwa🤣🤣🤣🤣.Inaboa yaani. Kutwa kunyemelea vitoto vya shule halafu kuoa eti wanataka bikra!
Haeleweki😂🙌.Nini hiki umeandika
Tusamehe sisi mama,tumekosa sana haturudiiiHiyo shida yake! Wakati mnatunyemelea tukiwa skuli kuzitoa hizo bikra mlipanga kutuoa?
Hivi thinking ya wanaume ikoje? Yaani unamtoa mtu bikra na hutaki kumwoa!!
Halafu siku unaoa natakaaa bikraa! Bikra si mlishazitoa?
Sawa
Ananifundisha dogo mnuka maziwa 😂🚮🤣 haya maneno ya kweli au unamtupia laana binti wa watu?
Usimtishe atalia muda si mrefu huyo.
KukulanaKwanza si "kuwala" ni "kukulana"
Kumekuchaaaa!!! Wameamka kujibu mapigo sasa[emoji23][emoji23][emoji23]bado hawajasemaMichango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!
Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?
Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....
Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.
Msiwafanye wanawake objects.
Povu ruksa.
Kwahiyo we kila anaekutaka unampa?Nimeupitia masihara mengine ni kama ubakaji! Na story nyingi anayeanzisha masihara ni mwanaune!
Chanzo ni nyie! Kwanini uniamshe hisia halafu nikikupa ukanitangazie umalaya!