Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunawastiri tu ila habari zao tunazoUkianza kusikia pdf ujue mtu kaliwa Hela tayar alaf wanajifanya miamba😂😂
Mi nimetolewa nikiwa skuli ya o level.Takwimu unazo bibie za hao watoto
🤣🤣🤣🤣🤣hivi kwani muhimu ni idadi au satisfaction, ni lazima viwe vingi mkuu? Manake hapa nitafeli pakubwa🤣🤣Hawa wanaolia kuombwa afu tatu ndo wawe na nguvu ya kupiga vi8?!! 😂😂😂😂
Wakijitahidi viwili tena sio vya kuunganisha na alkasusu imehusika hivi hivi hatoboi
Sitakuja kusema 😄raraa una kiranga huu mziki mnene UTAUWEZA?!! 🤣🤣🤣
Ww kwann uniruhusu nikuamshe hisia,ajigiji ajigiji ajigijiiNimeupitia masihara mengine ni kama ubakaji! Na story nyingi anayeanzisha masihara ni mwanaune!
Chanzo ni nyie! Kwanini uniamshe hisia halafu nikikupa ukanitangazie umalaya!
Upo na video tuone 🤗Unasema tu, huko Bonyokwa hamna shughuli, njoo kwa jf upate version ya Riki(hutatangazwa), uchezee kitu usiku kucha🤣🤣
😀😀Tunawastiri tu ila habari zao tunazo
Njoo nikuonyeshe, practical makes perfect 🤣🤣Upo na video tuone 🤗
Subiri unogewe wewe km hujaanza kuacha kuomba pesa 😂😂😂😂Nmefika nimejaa Tele nisogezee mkinga wangu hapa nimpe mahaba kama yote 🥰
Ebhanaeeeeeeeee embu tuone 👀👀😋Mi nimetolewa nikiwa skuli ya o level.
Marafiki zangu wote wa o level hakuna aliyekua nayo.... Sasa nani anayo
Hv sugu ni mkinga....halafu me napendaga watu kama kina sugu yaani Ana ubaba na ugentleman humohumo...taita kama taitaSubiri unogewe wewe km hujaanza kuacha kuomba pesa 😂😂😂😂
Kaka zangu wanajua kuchachua mpk wanagombewa si umemuona sugu Faiza kila siku anakumbuka show yake 🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Utafeli vipi na wewe na wazee wenzio wa hovyo ndo mnajisifu mnapiga vingi?🤣🤣🤣🤣🤣hivi kwani muhimu ni idadi au satisfaction, ni lazima viwe vingi mkuu? Manake hapa nitafeli pakubwa🤣🤣
Anza kupiga tiz 😂😂😂Sitakuja kusema 😄
Chitaki😆Njoo nikuonyeshe, practical makes perfect 🤣🤣
Tawileee, Cha ajabu mashoga watu wa zuri kwao, Ila sisi tuliowazaa wabaya Kama hawajazaliwa na mwanamke., Mara kataa ndoa, lakini mzigo wanataka, hapo chacha.Michango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!
Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?
Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....
Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.
Msiwafanye wanawake objects.
Povu ruksa.
Acha baasiiii mpaka nimedondosha haka katecno kangu 😋🔥🔥🔥🔥🔥Anza kupiga tiz 😂😂😂