Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
Jamaaa analalamika kila uzi π€£π€£π€£Humu sifa zinawaponza πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaaa analalamika kila uzi π€£π€£π€£Humu sifa zinawaponza πππ
Mnamalizana kwenye mashamba ya mipunga na mahindi, manake nasikia huwa hata guests ni shidaπ€£π€£ sema siku ukihamia jiji la chalamila utafute version ya jf, achana na walamba lips.Sisi wakulima tutaliwa na wakulima wenzetu
Kumbe unapita sana kule, dondoo zote unazo.π€£Kuna mmoja walimchapia demu kwa ujinga wake wa kuleta screenshot kudadeki π€£π€£π€£π€£
Mnawadownload sana wanaume, kwasasa download fail hahaa mb zimewaishia.(no money for play boys)Michango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!
Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?
Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....
Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.
Msiwafanye wanawake objects.
Povu ruksa.
Nimeshatoka huko hakuna maajabu Sema nikutumie ticket uje kushangaashangaa huku nilipoMnamalizana kwenye mashamba ya mipunga na mahindi, manake nasikia huwa hata guests ni shidaπ€£π€£ sema siku ukihamia jiji la chalamila utafute version ya jf, achana na walamba lips.
Maana unasema ulibananishwa usikute ni wewe mwenyewe ulikipeleka gheto kwa mwambaHii inaelekea wapi kwani? Hebu niache!!
Wakiyaleta lazima tuyasome hata hapa jamaa anaweza kuja kuanza kulalamika π€£π€£π€£π€£π€£π€£Kumbe unapita sana kule, dondoo zote unazo.π€£
Hiyo ni vayolensi halisi sasaMkichoka kubishana mkutane bondeni mzichape[emoji3]
Inawezekana mnaliaga liaga sanaMaana unasema ulibananishwa usikute ni wewe mwenyewe ulikipeleka gheto kwa mwamba
Kwahio ndio maana ukampa sio sasa una lalamika nnInawezekana mnaliaga liaga sana
Hivi jitu la miaka 25-27 na katoto ka miaka 14-17 zinaenda?Kwahio ndio maana ukampa sio sasa una lalamika nn
Ilikuaje hadi katoto kakazoeana na jituHivi jitu la miaka 25-27 na katoto ka miaka 14-17 zinaenda?
π€£π€£π€£π€£ Wacha weeNiuwe tu lamolove mamb mengine hata mbinguni yanaelezekaππ
πππ Nitakuchapaπ€£
Nisamehe bure ila nilipata kumbukumbu ya picha kutoka kwa kaka yako.
π€£π€£π€£ ana vitu adimuUmeona hadi msukuma ameamua amlogeπππππ akinunuliwa hata crocs tu insta yote itajua
πππ Wacha weeUnataka niseme π€£ππ mimi nina kifua nimeshakwambia
Jiulize sasaIlikuaje hadi katoto kakazoeana na jitu
Achana naye mwambie ajilinganishe na kipato km mwanaume kweli πππSijaongelea kimo mkuuu hiyo ni mipango ya Mungu
Vyote kwa pamoja laaziz π€£π€£π€£Nimetetemeka atiiiii πππ€£
Hivi umeniambiaje nipige tizi au nije maana akili imesha hama
Ningekutumia, utasema niko na mdogo wangu mwisho.π€£πππ Nitakuchapa