princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
hapo kwenye wanaume ungeandika "Wenzangu"ingekua inaleta maana sana
hivyo umesound kama mwanamke
hivyo umesound kama mwanamke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boxer zinanuka kama perege aloozaBhanaaaeee we umejuaje boxer ya mwanaume mwenzio imekuwa nyeusi tii
Nishawahi ona ka 2-3 me wakinusa boxer wavuapo sijui why? labda ka halinuki wasifueee eeeee
Ila una Umama kwa Mbaaaali,unabadili Boxer ×3 kwa siku!!!? DUH!!!!!!!!!Ndio mimi ni mwanaume niletee uone
wakivua unanusa😳?Wakivua zinanuka
Wenzangu kivipi?? Mimi huwa nafua siwezi kujijumlishahapo kwenye wanaume ungeandika "Wenzangu"ingekua inaleta maana sana
hivyo umesound kama mwanamke
Umeamua kututolea uvivu 😀Unakuta mwanaume nguo ya ndani hajafua Wala kuivua mwezi mzima na joto hili la Dar, huwa najiuliza sana hivi kweli umetoka bafuni kuoga utarudia kuvaa boxer hiyo hiyo??
Boxer imekuwa nyeusi tii ngumu kweli kweli ukiiweka chini inasimama ni inanuka uvundo mtupuuu hadi kero mnakeraaaa. Unawezaje kuvaa boxer mwezi mzima tena wengine wanapiga nusu muhula (miezi Sita) hajawahi kufua Wala kubadilisha boxer
MIMI binafsi kila nikitoka bafuni kuoga huwa navaa nguo zingine zilizofuliwa au Mpya (boxer, shat, vest na suruali au pensi) hata kama nikaoga Kwa kutwa Mara tano
Wanaume badilikeni mnakera, kuwa mchafu sio sifa ndio maana wake zenu tunawatafuna huku maana wanafata usafi, mvuto ni usafi Raba Kali, pamba za kutosha, manukato na mavitu yakukuvutia kibao yani unakuwa comfortable afu uko huru na una makonfidensi kama yote yani
No hata ikiwekwa tu pembeni harufu unaskia, hata kama ameivaa Kuna kaharufu kanatokawakivua unanusa[emoji15]?
san lg huyu 😅 sasa basha yake hafuagiWe umejuaje Huwa hawafui!?
Unafikili uongo?Hapo kwenye wakivua zinanuka,ndio napata wasiwasi
Duh hayaNo hata ikiwekwa tu pembeni harufu unaskia, hata kama ameivaa Kuna kaharufu kanatoka
NaonaSa wewe umeonaje hizo boxer za wanaume wenzio hadi kuzinusa
Unaishi na watu wangapi ghetto kwako?Naona
Huwa naona dunia imewaacha mbali sanaVijana wa Dar ni vijana wa hovyo, hivi unafikiri tunaoishi nje ya Dar ni nyani au ?
Siishi gheto Nina nyumba yangu mkuuUnaishi na watu wangapi ghetto kwako?
una tabia ya kwenda kwenye rooms zao kuzinusa?Siishi gheto Nina nyumba yangu mkuu
JF inapungua ubora, wengi wanakuja humu wakidhani kuna great thinkers, kumbe ni kinyume chakeHuwa naona dunia imewaacha mbali sana
Kuna mambo yanastaajabisha mnoo🤔🤔wakivua unanusa😳?