Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Na mkigoma kusimama, najitupa😂😂Kwakweli 😃😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mkigoma kusimama, najitupa😂😂Kwakweli 😃😂
Kwanini ujiumize na mlango upo😊🤗Na mkigoma kusimama, najitupa😂😂
Uko wapi??Kwanini ujiumize na mlango upo😊🤗
Vip hauzi boxer ninunie?Kwanini ujiumize na mlango upo😊🤗
zipo nyingi sana,, wewe tu sema unataka za aina gani🤗Vip hauzi boxer ninunie?
Ngoja nikustulie konda😃Uko wapi??
NAKAZIA.!naanza kupata wasiwasi na jinsia yako pengine ni san lg
Sijaelewa kizunguStop asking me questions
Calvin clein mkuuzipo nyingi sana,, wewe tu sema unataka za aina gani🤗
Yaani ulivyo na sura nzito Kama chapati iliyo kosa mafuta😂😂Anza na huyu Intelligent businessman hana boxer anagongea kwa washikaji
Huyu ni Ladies and gentlemenNilitaka niulize wewe ni Me au ke,, ila basi nimeghairi😌😌
Hapo kwenye kubadilisha nguo hata ukioga Mara tano nao huo ni ukosefu wa matumizi sahihi ya pesa na kufanya kazi!Unakuta mwanaume nguo ya ndani hajafua Wala kuivua mwezi mzima na joto hili la Dar, huwa najiuliza sana hivi kweli umetoka bafuni kuoga utarudia kuvaa boxer hiyo hiyo?
Boxer imekuwa nyeusi tii ngumu kweli kweli ukiiweka chini inasimama ni inanuka uvundo mtupuuu hadi kero mnakeraaaa. Unawezaje kuvaa boxer mwezi mzima tena wengine wanapiga nusu muhula (miezi Sita) hajawahi kufua Wala kubadilisha boxer
MIMI binafsi kila nikitoka bafuni kuoga huwa navaa nguo zingine zilizofuliwa au Mpya (boxer, shat, vest na suruali au pensi) hata kama nikaoga Kwa kutwa Mara tano
Wanaume badilikeni mnakera, kuwa mchafu sio sifa ndio maana wake zenu tunawatafuna huku maana wanafata usafi, mvuto ni usafi Raba Kali, pamba za kutosha, manukato na mavitu yakukuvutia kibao yani unakuwa comfortable afu uko huru na una makonfidensi kama yote yani
Kichwa kikubwa na huo mwili mwembamba kama mwenge ,kiuno kidogo kama tochi ya mabetri,kichwa kikubwa kama tenki la kijijiYaani ulivyo na sura nzito Kama chapati iliyo kosa mafuta😂😂
Usijali,, nimekutumia location uje😊Calvin clein mkuu