Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Kwakweli itakua hivyo 😌Huyu ni Ladies and gentlemen
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli itakua hivyo 😌Huyu ni Ladies and gentlemen
Watu mshamvutia mafile yake tayari 😂😂😂
Kumbe anasema ukweliAnatuandama bila sababu bn😁😁hata kama ni ww msimu baridi ukivaa boksa miezi sita ina shida Gani🤣
Ulimi mkubwa kamba ya kumfungia ngombe wetu😂😂Kichwa kikubwa na huo mwili mwembamba kama mwenge ,kiuno kidogo kama tochi ya mabetri,kichwa kikubwa kama tenki la kijiji
Kumbe anasema ukweli
ukizoea kuongea utumbo hata sku ukiongea cha maana kina kuwa utumbo tuUnakuta mwanaume nguo ya ndani hajafua Wala kuivua mwezi mzima na joto hili la Dar, huwa najiuliza sana hivi kweli umetoka bafuni kuoga utarudia kuvaa boxer hiyo hiyo?
Boxer imekuwa nyeusi tii ngumu kweli kweli ukiiweka chini inasimama ni inanuka uvundo mtupuuu hadi kero mnakeraaaa. Unawezaje kuvaa boxer mwezi mzima tena wengine wanapiga nusu muhula (miezi Sita) hajawahi kufua Wala kubadilisha boxer
MIMI binafsi kila nikitoka bafuni kuoga huwa navaa nguo zingine zilizofuliwa au Mpya (boxer, shat, vest na suruali au pensi) hata kama nikaoga Kwa kutwa Mara tano
Wanaume badilikeni mnakera, kuwa mchafu sio sifa ndio maana wake zenu tunawatafuna huku maana wanafata usafi, mvuto ni usafi Raba Kali, pamba za kutosha, manukato na mavitu yakukuvutia kibao yani unakuwa comfortable afu uko huru na una makonfidensi kama yote yani
Umeshiwa na matani sura mbaya kama mkaanga sumu, tshirts zako kubwa kama maputo ya kondom, wewe ni mfupi kama kigoda cha bibi, ukicheka utazani unamawazo , shida zote unazipata kisa watu wanadhani wewe nikibabu ulivyonyong'onyeaUlimi mkubwa kamba ya kumfungia ngombe wetu😂😂
Tatizo dogo una pigo za jinsi ke maana huu uzi uliandika mwenyeweUnakuta mwanaume nguo ya ndani hajafua Wala kuivua mwezi mzima na joto hili la Dar, huwa najiuliza sana hivi kweli umetoka bafuni kuoga utarudia kuvaa boxer hiyo hiyo?
Boxer imekuwa nyeusi tii ngumu kweli kweli ukiiweka chini inasimama ni inanuka uvundo mtupuuu hadi kero mnakeraaaa. Unawezaje kuvaa boxer mwezi mzima tena wengine wanapiga nusu muhula (miezi Sita) hajawahi kufua Wala kubadilisha boxer
MIMI binafsi kila nikitoka bafuni kuoga huwa navaa nguo zingine zilizofuliwa au Mpya (boxer, shat, vest na suruali au pensi) hata kama nikaoga Kwa kutwa Mara tano
Wanaume badilikeni mnakera, kuwa mchafu sio sifa ndio maana wake zenu tunawatafuna huku maana wanafata usafi, mvuto ni usafi Raba Kali, pamba za kutosha, manukato na mavitu yakukuvutia kibao yani unakuwa comfortable afu uko huru na una makonfidensi kama yote yani
Njoo tukupe sketi mkuu. Wewe uliona lini boxer za wanaume wenzio? Kumbe huyu ndugu Ni shoga na shosti mwenzetuUnakuta mwanaume nguo ya ndani hajafua Wala kuivua mwezi mzima na joto hili la Dar, huwa najiuliza sana hivi kweli umetoka bafuni kuoga utarudia kuvaa boxer hiyo hiyo?
Boxer imekuwa nyeusi tii ngumu kweli kweli ukiiweka chini inasimama ni inanuka uvundo mtupuuu hadi kero mnakeraaaa. Unawezaje kuvaa boxer mwezi mzima tena wengine wanapiga nusu muhula (miezi Sita) hajawahi kufua Wala kubadilisha boxer
MIMI binafsi kila nikitoka bafuni kuoga huwa navaa nguo zingine zilizofuliwa au Mpya (boxer, shat, vest na suruali au pensi) hata kama nikaoga Kwa kutwa Mara tano
Wanaume badilikeni mnakera, kuwa mchafu sio sifa ndio maana wake zenu tunawatafuna huku maana wanafata usafi, mvuto ni usafi Raba Kali, pamba za kutosha, manukato na mavitu yakukuvutia kibao yani unakuwa comfortable afu uko huru na una makonfidensi kama yote yani
OhooooNjoo tukupe sketi mkuu. Wewe uliona lini boxer za wanaume wenzio? Kumbe huyu ndugu Ni shoga na shosti mwenzetu
Asante [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Tatizo dogo una pigo za jinsi ke maana huu uzi uliandika mwenyewe
Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA...www.jamiiforums.com
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Mpwayungu Village mbona unaleft group Kwa spidi ya 6G!?Unakuta mwanaume nguo ya ndani hajafua Wala kuivua mwezi mzima na joto hili la Dar, huwa najiuliza sana hivi kweli umetoka bafuni kuoga utarudia kuvaa boxer hiyo hiyo?
Boxer imekuwa nyeusi tii ngumu kweli kweli ukiiweka chini inasimama ni inanuka uvundo mtupuuu hadi kero mnakeraaaa. Unawezaje kuvaa boxer mwezi mzima tena wengine wanapiga nusu muhula (miezi Sita) hajawahi kufua Wala kubadilisha boxer
MIMI binafsi kila nikitoka bafuni kuoga huwa navaa nguo zingine zilizofuliwa au Mpya (boxer, shat, vest na suruali au pensi) hata kama nikaoga Kwa kutwa Mara tano
Wanaume badilikeni mnakera, kuwa mchafu sio sifa ndio maana wake zenu tunawatafuna huku maana wanafata usafi, mvuto ni usafi Raba Kali, pamba za kutosha, manukato na mavitu yakukuvutia kibao yani unakuwa comfortable afu uko huru na una makonfidensi kama yote yani
Swali muhimu: Umejuaje kama wanaume hawafui boxer? Jibu Kwa ushahidi kamili. Hii maada angeleta mwanamke hakika ilikuwa sawa Kwa hoja yake maana tungetafri kuwa amekutana na wanaume wengi waliopo Dar. Hivyo katoa fact. Sasa wewe kama mwanaume Kwa hoja hii, inafikirisha sana.Unakuta mwanaume nguo ya ndani hajafua Wala kuivua mwezi mzima na joto hili la Dar, huwa najiuliza sana hivi kweli umetoka bafuni kuoga utarudia kuvaa boxer hiyo hiyo?
Boxer imekuwa nyeusi tii ngumu kweli kweli ukiiweka chini inasimama ni inanuka uvundo mtupuuu hadi kero mnakeraaaa. Unawezaje kuvaa boxer mwezi mzima tena wengine wanapiga nusu muhula (miezi Sita) hajawahi kufua Wala kubadilisha boxer
MIMI binafsi kila nikitoka bafuni kuoga huwa navaa nguo zingine zilizofuliwa au Mpya (boxer, shat, vest na suruali au pensi) hata kama nikaoga Kwa kutwa Mara tano
Wanaume badilikeni mnakera, kuwa mchafu sio sifa ndio maana wake zenu tunawatafuna huku maana wanafata usafi, mvuto ni usafi Raba Kali, pamba za kutosha, manukato na mavitu yakukuvutia kibao yani unakuwa comfortable afu uko huru na una makonfidensi kama yote yani
Yani acha tyuuTatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Katika mazingira gani huwa wanakuvulia nguo? bila shaka mkiwa wawili tu!! Yaani umeamua kujitangaza kabisa!Wakivua zinanuka
Huyo keshakuwa mwanamke mwenzenu!! Tangu liniu mwanaume anakutana na boxer za wanaume wenzake!! bwabwa hilo!![emoji1787][emoji1787][emoji1787] wafuee boxer, Sasa kasema mwanaume mwenzenu
Lazima abadili! hapo marinda kwishney siku nyingi!!Ila una Umama kwa Mbaaaali,unabadili Boxer ×3 kwa siku!!!? DUH!!!!!!!!!