Wanaume jitahidini kufua boxer zenu nauwe na boxer zaidi ya moja

Mtu mpaka boxer inanata haitoki akiivua ananuka kikwapa na anaenda kazini analipwa kwa mwezi
 
Hapo kwenye kubadilisha nguo hata ukioga Mara tano nao huo ni ukosefu wa matumizi sahihi ya pesa na kufanya kazi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ