Wanaume jitahidini kufua boxer zenu nauwe na boxer zaidi ya moja

ukizoea kuongea utumbo hata sku ukiongea cha maana kina kuwa utumbo tu
 
Ulimi mkubwa kamba ya kumfungia ngombe wetuπŸ˜‚πŸ˜‚
Umeshiwa na matani sura mbaya kama mkaanga sumu, tshirts zako kubwa kama maputo ya kondom, wewe ni mfupi kama kigoda cha bibi, ukicheka utazani unamawazo , shida zote unazipata kisa watu wanadhani wewe nikibabu ulivyonyong'onyea
 
Tatizo dogo una pigo za jinsi ke maana huu uzi uliandika mwenyewe



Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
 
Njoo tukupe sketi mkuu. Wewe uliona lini boxer za wanaume wenzio? Kumbe huyu ndugu Ni shoga na shosti mwenzetu
 
Asante [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mpwayungu Village mbona unaleft group Kwa spidi ya 6G!?
 
Kama ni yeye basi tayari lile wazo lake la kubadili jinsia limetimia ila nahisi account yake imekuwa hacked na mwana dada fulani aliyekutana na mbaba asiefua boksa.
Nimewaza tu
 
Swali muhimu: Umejuaje kama wanaume hawafui boxer? Jibu Kwa ushahidi kamili. Hii maada angeleta mwanamke hakika ilikuwa sawa Kwa hoja yake maana tungetafri kuwa amekutana na wanaume wengi waliopo Dar. Hivyo katoa fact. Sasa wewe kama mwanaume Kwa hoja hii, inafikirisha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…