Wanaume kabla ya kumhonga mdada pesa/kumhudumia, tujiulize hili swali moja tu

Wanaume kabla ya kumhonga mdada pesa/kumhudumia, tujiulize hili swali moja tu

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Swali lenyewe ni hili, kama huyo mdada unae-date naye angekuepo kwenye nafasi ya kutoa msaada uliyo nayo wewe, huyo mdada angekupa huo msaada?

Mfano umempa mwanamke unae-date naye smartphone ya laki 3, je yeye angekuwa na uwezo na pesa za kutosha, hlf ninyi ni wapenzi, huyo mdada angekununulia wewe smartphone ya laki 3?

Mfano umempa mwanamke gari aina ya vanguard anaendesha, je huyo mwanamke angekuwa na hela ya kununua vanguard 10 angekununulia wewe Hata vanguard moja uendeshe? Mngekutana nae barabarani anaendesha gari wewe mwanaume unatembea kwa miguu, je ange-notice kuwa amepishana na mwanaume, achilia mbali kukununulia gari?

Ukichunguza kwa kutumia logic utagundua kwenye mahusiano 78% ya wanaume tumepigwa..

NB: Kwa asilimia kubwa ndugu wa kike eg mama, shangazi, dada, mama wadogo, binamu, wako very supportive kwenye maisha ya mwanaume, kuliko wapenzi wa kike K.v girlfriends, michepuko na wake sijui kwanini
 
Swali lenyewe ni hili, kama huyo mdada unae-date naye angekuepo kwenye nafasi ya kutoa msaada uliyo nayo wewe, huyo mdada angekupa huo msaada?

Mfano umempa mwanamke unae-date naye smartphone ya laki 3, je yeye angekuwa na uwezo na pesa za kutosha, hlf ninyi ni wapenzi, huyo mdada angekununulia wewe smartphone ya laki 3?

Mfano umempa mwanamke gari aina ya vanguard anaendesha, je huyo mwanamke angekuwa na hela ya kununua vanguard 10 angekununulia wewe Hata vanguard moja uendeshe? Mngekutana nae barabarani anaendesha gari wewe mwanaume unatembea kwa miguu, je ange-notice kuwa amepishana na mwanaume, achilia mbali kukununulia gari?

Ukichunguza kwa kutumia logic utagundua kwenye mahusiano 78% ya wanaume tumepigwa..

NB: Kwa asilimia kubwa ndugu wa kike eg mama, shangazi, dada, mama wadogo, binamu, wako very supportive kwenye maisha ya mwanaume, kuliko wapenzi wa kike K.v girlfriends, michepuko na wake sijui kwanini
Kwanini unatukaripia ?
 
Maswali yako hayana logic...
Wanawake wanapenda mtu baada ya mda mrefu....
Mwanzoni wanachofanya ni kwenda na flow ..tu...

Ndo maana baada ya ndoa ya miaka kadhaa mwanamke anaweza hata kukupa hela yake kuongeza mtaji au kuuguza mama yako...

Hayo maswali unayo uliza Kwa msichana Tu ambae sio mkeo au hujazaa nae wala hatambuliki kwenu hayana maana ....uliza walioa zaidi ya miaka 5 mangapi wake zao wamefanya for free
 
Maswali yako hayana logic...
Wanawake wanapenda mtu baada ya mda mrefu....
Mwanzoni wanachofanya ni kwenda na flow ..tu...

Ndo maana baada ya ndoa ya miaka kadhaa mwanamke anaweza hata kukupa hela yake kuongeza mtaji au kuuguza mama yako...

Hayo maswali unayo uliza Kwa msichana Tu ambae sio mkeo au hujazaa nae wala hatambuliki kwenu hayana maana ....uliza walioa zaidi ya miaka 5 mangapi wake zao wamefanya for free
Hapo mwanzo umesema kweli kabisa
 
Women were designed to be natural receivers bt not givers.

Mwanamke aliumbwa kutoka kwa mwanaume kwa hiyo atapokea kila kitu kutoka kwa mwanaume.

Ndio maana unasikiags wakisema " chako Ni chenu wewe na mkeo ila Cha mkeo Ni chake peke yake"
 
Wengi wenu Nyie wadada sio supportive kwa boyfriends wenu, hata wewe unajua ukweli, mdada hata kukuchemshia chai hawezi, kila siku mwanaume ndio uweke effort ya kuendeleza relationship Amehlo
Mimi sipo hivyo kwa kweli
 
Akununulie smartphone ya nini wakati anakupa mbususu? Wewe shukuru ukipewa hata boksa as long as unapata mbususu kila unapoihitaji inatosha [emoji16]

Wanawake wameumbwa kupewa na siyo kutoa. Na hii ipo karibu kwenye animal kingdom nzima. Nenda hata Serengeti ukaone midume kutoka species mbalimbali inavyohangaika kuhonga na kujitutumua ili ipate mbususu....

Toa bila kutegemea cho chote kutoka kwa pisi yako....

Ukipewa cho chote shukuru....
 
Maswali yako hayana logic...
Wanawake wanapenda mtu baada ya mda mrefu....
Mwanzoni wanachofanya ni kwenda na flow ..tu...

Ndo maana baada ya ndoa ya miaka kadhaa mwanamke anaweza hata kukupa hela yake kuongeza mtaji au kuuguza mama yako...

Hayo maswali unayo uliza Kwa msichana Tu ambae sio mkeo au hujazaa nae wala hatambuliki kwenu hayana maana ....uliza walioa zaidi ya miaka 5 mangapi wake zao wamefanya for free
Exactly...!!
 
Hapo mwanzo umesema kweli kabisa

The Boss Dejane usidanganyike, kama mwanamke hakupendi na anakuona Nyani hata umfanyie nini ataendelea kukuona nyani tu, ishu ya mwanamke kupenda baada ya mda mrefu inatokea, ila ni kwa baadhi ya wanawake, sio wote.

Mwanamke asipokupenda atakaa na wewe kwenye ndoa hata kwa miaka 50+ (mimi ni shuhuda wa macho katika hili) kwasababu hana option ingine, wanaume aliowataka hawaeleweki, wamemkataa, wamemla mzigo wamesepa, anatafuta stara ya ndoa, na kubwa zaidi ni kuwa unampa sehemu ya kula, kulala, na pesa. Tafuta kitabu cha Rollo tomassi kinaitwa rational male soma positive masculinity na preventive medicine ndo utaona concept yangu
 
Yaani watoto wa siku hizi nyie uanamume unapungua kwa kasi sana. Hakuna raha ambayo mwanaume anaipata kama kum-contol mwanamke. Yaani mwanamke awe submissive kwa mwanaume. Sasa utawezaje kumcontrol mwanamke kama unataka haki sawa kwa kila kitu? Kwa sisi wanamume hasa tunatengeneza mazingira mwanamke ajione bila wewe hawezi kitu ikiwa ni pamoja na kumzidi upeo wa kufikiri, uongo wenye matumaini makubwa, maguvu, kumhudumia na kumchakata vizuri mbususu yake.

Hata kama mwamake anauwezo wa kukupa gari, kataa, la huwezi kukataa ichukue uza then pesa fanyia kitu kingine cha maana ambapo hata yeye atajiona kweli amepata kidume. Huko kuendekeza endekeza usawa ndio kuna fanya idadi ya wanaume wanaochokolewa nyuma kuongezeka, Mwanaume yoyte anayehonga hawezi kuwa choko
 
Women were designed to be natural receivers bt not givers.

Mwanamke aliumbwa kutoka kwa mwanaume kwa hiyo atapokea kila kitu kutoka kwa mwanaume.

Ndio maana unasikiags wakisema " chako Ni chenu wewe na mkeo ila Cha mkeo Ni chake peke yake"
Aliewadanganya kwamba ke ameumbwa kutoka kwa me aliwaweza kweli kweli. Mana kawafanya watu mmekuwa watumwa wa wanawake!

Yaan kawa brainwash totally hamuwez hata kuamua kwa kutumia logic.
 
Back
Top Bottom