Wanaume kabla ya kumhonga mdada pesa/kumhudumia, tujiulize hili swali moja tu

Wanaume kabla ya kumhonga mdada pesa/kumhudumia, tujiulize hili swali moja tu

Huwa sipendi sana kuanzisha uzi ili kuepuka kureveal my ideentity sababu kuna vitu vingine naviandika ni real ila asilimia 70 huwa naandika uwongo hasa auzo wa kula tunda kimasihara. Ila hii ya leo ni stori ya kweli.
Wakuu mm nadate na mschana mdogo. Na nina bahati mbaya sijui nature ya kazi zangu ninakutanaa na vischana vilivyomaliza secondari hasa olevel ss wapenzi wangu wote huwa ni aga ya 18 hadi 24 sijawahi date na mtu mzima
Huyu nliye naye nlianza kudate naye akiwa na 17 yrs sasa ana 18.
Sida huyu mschana ni pasua kicha ila nampenda saana na yy ananipenda sana, why? Nlijaribu kufeki kufulia kama miezi 4 mfululizo sikuwahi kumpa hela ila ngozi naomba napewa vizuri tu tena mda mwingine anarisk kutoroka kwao kuja kulala kwangu.
Ss huyu dem ameenda kusoma chuo mkoa flan and nalipa kila kitu sababu kwao choka mbaya hata mlo mmoja tu shida. Mama mtu anaujua mchongo mzima and dtunawasiliana sana tu. Dem akija likizo huwa anafikia kwangu two weeks na two weeks kwao.
Ss shida inakuja tunagombana sana yaan sana ila ss tukigomban naapa kumtelekeza but akilia shida tu huruma inakuja naachia mtonyo.
Hisia zangu zinanituma ana mvulana chuo sababu movement zake ssizielewi kabisa. Mfano. Naweza kupiga simu asipokee, ama naweza kumwandikia sms asijibu ila simu anapokea
Maongezi yetu pia huwa siyaelewi kuna mds yupo romantic kuna mda anaongea na ww kisela sana.
Akija likizo simu inakuwa cilent ile total cilent ana disable notification zote, simu ikiita hata km unayo hauwezijua utakuta micd calls tu.
Anatumia whatsap gb mm pia naitumia tunaotumia hii kitu ni nomer tunaijua unawezaficha chats picha na vitu kibao mtu ukampa simu akae nayo hata mwezi haweziona kutu. Ss nikainyaka moja akagoma kutoa fingerprint tuligombana sana kama wiki tupo2 tu room anashinda bila nguo mzigo nakula ila tumenuniana.
Leo kanivuruga sijalala usiku wote msegene yy kalala fresh tu. Nikiwithdraw walah anarudi nyumbaniaana wazazi wake hawana ishu kabisa hata mda flan mm huwa nalisha familia kupitia binti yao. Ila nddo walizaa pis kali. Nawaza kukata mrija wa huduma maana naonekanaa zwazwa sasa.
Never date a broke girl bro hasa kama na wewe unatoka choka mbaya
 
Mfano umempa mwanamke unae-date naye smartphone ya laki 3, je yeye angekuwa na uwezo na pesa za kutosha, hlf ninyi ni wapenzi, huyo mdada angekununulia wewe smartphone ya laki 3?
Laki tatu tu inakusumbua hivyo? Oa basi usihonge honge tu, akikusaidia itakuwa kwa manufaa.
 
amu Lovelovie DeepPond Sipingi wanaume kuwapa hela a.k.a kuwahudumia wake zao/wachumba zao maana hilo ni jukumu letu, sitetei umarioo, ila ninachokataa ni mahusiano ambayo hayana usawa wa kihisia.

Wanawake wengi kabla hawajaingia kwenye mahusiano na wanaume, kichwani wanakuwa na bad selfish thoughts, wanajiuliza watafaidika vipi kipesa toka kwa huyo mwanaume, mbaya zaidi anamwona huyo mwanaume havutii ila anaigiza kuwa anampenda huyo mwanaume ili apewe hela, it's all about her, na hafikirii kuwa amepata life partner wa maisha. Hicho ndio nachowaambia wanaume wenzangu waache kuwapa hela wanawake wa aina hio
Muonekano wa mwanaume haujawahi kuwa kivutio kwa mwanamke,, binafsi sijawahi kabisa kutizama muonekano wa mwanaume, sasa wewe unataka uvutie ili iwe nini, hivi kushusha utelezi unadhani rahisi eeeh kawaulize mashoga km wanao
 
Wanaume tunakula kwa jasho na damu get that in your head brazia
Acha ufala jipende, jijari lionee huruma jasho lako kula kwa hasho ni kuhudumia Jamii ikiwamo watu wasio jiweza eg wazee watoto wasio na wazazi na sio kufulahisha wanawake
 
Wengi wenu Nyie wadada sio supportive kwa boyfriends wenu, hata wewe unajua ukweli, mdada hata kukuchemshia chai hawezi, kila siku mwanaume ndio uweke effort ya kuendeleza relationship Amehlo
Haya mambo ya one sided efforts ndo siwezi penz ni letu sote basi kwa pamoja tuwajibike.
 
Wanaume mmeanza kudai haki sawa?...basi samaleko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom