Wanaume kabla ya kumhonga mdada pesa/kumhudumia, tujiulize hili swali moja tu

Wanaume kabla ya kumhonga mdada pesa/kumhudumia, tujiulize hili swali moja tu

Swali lenyewe ni hili, kama huyo mdada unae-date naye angekuepo kwenye nafasi ya kutoa msaada uliyo nayo wewe, huyo mdada angekupa huo msaada?

Mfano umempa mwanamke unae-date naye smartphone ya laki 3, je yeye angekuwa na uwezo na pesa za kutosha, hlf ninyi ni wapenzi, huyo mdada angekununulia wewe smartphone ya laki 3?

Mfano umempa mwanamke gari aina ya vanguard anaendesha, je huyo mwanamke angekuwa na hela ya kununua vanguard 10 angekununulia wewe Hata vanguard moja uendeshe? Mngekutana nae barabarani anaendesha gari wewe mwanaume unatembea kwa miguu, je ange-notice kuwa amepishana na mwanaume, achilia mbali kukununulia gari?

Ukichunguza kwa kutumia logic utagundua kwenye mahusiano 78% ya wanaume tumepigwa..

NB: Kwa asilimia kubwa ndugu wa kike eg mama, shangazi, dada, mama wadogo, binamu, wako very supportive kwenye maisha ya mwanaume, kuliko wapenzi wa kike K.v girlfriends, michepuko na wake sijui kwanini
Tafadhali tafadhali usitufundishie ubahili wanaume wetu tafadhali tafadhali kaka hatutaki matatizo na ww.
 
Tafadhali tafadhali usitufundishie ubahili wanaume wetu tafadhali tafadhali kaka hatutaki matatizo na ww.

amu Lovelovie DeepPond Sipingi wanaume kuwapa hela a.k.a kuwahudumia wake zao/wachumba zao maana hilo ni jukumu letu, sitetei umarioo, ila ninachokataa ni mahusiano ambayo hayana usawa wa kihisia.

Wanawake wengi kabla hawajaingia kwenye mahusiano na wanaume, kichwani wanakuwa na bad selfish thoughts, wanajiuliza watafaidika vipi kipesa toka kwa huyo mwanaume, mbaya zaidi anamwona huyo mwanaume havutii ila anaigiza kuwa anampenda huyo mwanaume ili apewe hela, it's all about her, na hafikirii kuwa amepata life partner wa maisha. Hicho ndio nachowaambia wanaume wenzangu waache kuwapa hela wanawake wa aina hio
 
amu Lovelovie DeepPond Sipingi wanaume kuwapa hela a.k.a kuwahudumia wake zao/wachumba zao maana hilo ni jukumu letu, sitetei umarioo, ila ninachokataa ni mahusiano ambayo hayana usawa wa kihisia.

Wanawake wengi kabla hawajaingia kwenye mahusiano na wanaume, kichwani wanakuwa na bad selfish thoughts, wanajiuliza watafaidika vipi kipesa toka kwa huyo mwanaume, mbaya zaidi anamwona huyo mwanaume havutii ila anaigiza kuwa anampenda huyo mwanaume ili apewe hela, it's all about her, na hafikirii kuwa amepata life partner wa maisha. Hicho ndio nachowaambia wanaume wenzangu waache kuwapa hela wanawake wa aina hio
Utajuaje kama mwanamke ulonae yupo kwa ajili ya pesa ilihali anatabia njema na zenye kupendeza.
 
Utajuaje kama mwanamke ulonae yupo kwa ajili ya pesa ilihali anatabia njema na zenye kupendeza.
Kumgundua mwanamke ambaye yupo na mimi kwa ajili ya pesa ni rahisi sana, labda mwanaume ujitoe ufahamu, ntawatambua kwa matunda yao Yesu alisema mti mwovu hauwezi zaa matunda mema, na mti mwema hauwezi zaa matunda mabaya, mdada hawezi akawa na mm kwa ajili ya pesa halafu akanionesha tabia njema za kupendeza from the beginning, that's impossible kwa mwanamke.

1)Mfano, kumtongoza mdada leo, kesho anaomba hela hiyo ni redflag.
2)Unaanza mazoea na binti, haijafahamiana vizuri, ndo mko mwanzo wa urafiki halafu anakuuliza unafanya kazi gani that's redflag.
3)Mwanzoni alikuwa ananichukulia Kawaida, baada ya kusikia nimenunua gari, nimepata kazi nono, mpunga mrefu, anaanza kunishobokea that's redflag
4) Nina kitambi na ni mzee nina kipensheni halafu binti mdogo ananishobokea thats redflag
5) Full makeup, Mikucha hiyo, kutwa kukesha instagram na TikTok, anafanya ubaamedi, slayqueen wa kukesha club, that's redflag Lovelovie
 
Huu ni mutego.
Huu ni mutego.
Wanawake tushtuke wanaume marioo wako wengi sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena wamejaa kibao mnooo.
 
MUNGU wa ajabu sana. Aliona udhaifu mkubwa sana kwenye fikra za mwanamke. Ndio maana kawapa wanaume uwezo wa kufikiri zaidi ya mwanamke.
Mwanamke kwa ROHO MBAYA,CHAFU walizonazo wawe wao ndio wanaume. Dunia ingekuwa imesambaratika. Kungekuwa na vita kali upande wa dunia kuna wanawake tupu na upande kuna wanaume
 
Huna experience na ulisemalo,,,elewa jambo dogo tu kuwa mwanamke akikupenda yupo tayari kufanya jambo lolote lililo ndani ya uwezo wake. Hao unaokutana nao wewe hawakuelewi brother that's why unaona wanawake wote wanafanana.
 
amu Lovelovie DeepPond Sipingi wanaume kuwapa hela a.k.a kuwahudumia wake zao/wachumba zao maana hilo ni jukumu letu, sitetei umarioo, ila ninachokataa ni mahusiano ambayo hayana usawa wa kihisia.

Wanawake wengi kabla hawajaingia kwenye mahusiano na wanaume, kichwani wanakuwa na bad selfish thoughts, wanajiuliza watafaidika vipi kipesa toka kwa huyo mwanaume, mbaya zaidi anamwona huyo mwanaume havutii ila anaigiza kuwa anampenda huyo mwanaume ili apewe hela, it's all about her, na hafikirii kuwa amepata life partner wa maisha. Hicho ndio nachowaambia wanaume wenzangu waache kuwapa hela wanawake wa aina hio
Wewe wanaume wenzako wakiwapa hela wanawake zao unaumia kitu gani? Yaan unawapangia hela wanazotafuta kwa jasho lao nini cha kufanyia? Toa kama unacho kama huna jikatae zako kimya. Hakuna mtu atakushikia bakora kukulazimisha utoe.
 
Kumgundua mwanamke ambaye yupo na mimi kwa ajili ya pesa ni rahisi sana, labda mwanaume ujitoe ufahamu, ntawatambua kwa matunda yao Yesu alisema mti mwovu hauwezi zaa matunda mema, na mti mwema hauwezi zaa matunda mabaya, mdada hawezi akawa na mm kwa ajili ya pesa halafu akanionesha tabia njema za kupendeza from the beginning, that's impossible kwa mwanamke.

1)Mfano, kumtongoza mdada leo, kesho anaomba hela hiyo ni redflag.
2)Unaanza mazoea na binti, haijafahamiana vizuri, ndo mko mwanzo wa urafiki halafu anakuuliza unafanya kazi gani that's redflag.
3)Mwanzoni alikuwa ananichukulia Kawaida, baada ya kusikia nimenunua gari, nimepata kazi nono, mpunga mrefu, anaanza kunishobokea that's redflag
4) Nina kitambi na ni mzee nina kipensheni halafu binti mdogo ananishobokea thats redflag
5) Full makeup, Mikucha hiyo, kutwa kukesha instagram na TikTok, anafanya ubaamedi, slayqueen wa kukesha club, that's redflag Lovelovie
Sasa ukishamtambua wa hivyo si uachane nae unakua unangoja nini?
 
Huwa sipendi sana kuanzisha uzi ili kuepuka kureveal my ideentity sababu kuna vitu vingine naviandika ni real ila asilimia 70 huwa naandika uwongo hasa auzo wa kula tunda kimasihara. Ila hii ya leo ni stori ya kweli.
Wakuu mm nadate na mschana mdogo. Na nina bahati mbaya sijui nature ya kazi zangu ninakutanaa na vischana vilivyomaliza secondari hasa olevel ss wapenzi wangu wote huwa ni aga ya 18 hadi 24 sijawahi date na mtu mzima
Huyu nliye naye nlianza kudate naye akiwa na 17 yrs sasa ana 18.
Sida huyu mschana ni pasua kicha ila nampenda saana na yy ananipenda sana, why? Nlijaribu kufeki kufulia kama miezi 4 mfululizo sikuwahi kumpa hela ila ngozi naomba napewa vizuri tu tena mda mwingine anarisk kutoroka kwao kuja kulala kwangu.
Ss huyu dem ameenda kusoma chuo mkoa flan and nalipa kila kitu sababu kwao choka mbaya hata mlo mmoja tu shida. Mama mtu anaujua mchongo mzima and dtunawasiliana sana tu. Dem akija likizo huwa anafikia kwangu two weeks na two weeks kwao.
Ss shida inakuja tunagombana sana yaan sana ila ss tukigomban naapa kumtelekeza but akilia shida tu huruma inakuja naachia mtonyo.
Hisia zangu zinanituma ana mvulana chuo sababu movement zake ssizielewi kabisa. Mfano. Naweza kupiga simu asipokee, ama naweza kumwandikia sms asijibu ila simu anapokea
Maongezi yetu pia huwa siyaelewi kuna mds yupo romantic kuna mda anaongea na ww kisela sana.
Akija likizo simu inakuwa cilent ile total cilent ana disable notification zote, simu ikiita hata km unayo hauwezijua utakuta micd calls tu.
Anatumia whatsap gb mm pia naitumia tunaotumia hii kitu ni nomer tunaijua unawezaficha chats picha na vitu kibao mtu ukampa simu akae nayo hata mwezi haweziona kutu. Ss nikainyaka moja akagoma kutoa fingerprint tuligombana sana kama wiki tupo2 tu room anashinda bila nguo mzigo nakula ila tumenuniana.
Leo kanivuruga sijalala usiku wote msegene yy kalala fresh tu. Nikiwithdraw walah anarudi nyumbaniaana wazazi wake hawana ishu kabisa hata mda flan mm huwa nalisha familia kupitia binti yao. Ila nddo walizaa pis kali. Nawaza kukata mrija wa huduma maana naonekanaa zwazwa sasa.
 
Back
Top Bottom