Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
Kwa kigezo chako aslimia 98 sio 78 tumepigwaSwali lenyewe ni hili, kama huyo mdada unae-date naye angekuepo kwenye nafasi ya kutoa msaada uliyo nayo wewe, huyo mdada angekupa huo msaada?
Mfano umempa mwanamke unae-date naye smartphone ya laki 3, je yeye angekuwa na uwezo na pesa za kutosha, hlf ninyi ni wapenzi, huyo mdada angekununulia wewe smartphone ya laki 3?
Mfano umempa mwanamke gari aina ya vanguard anaendesha, je huyo mwanamke angekuwa na hela ya kununua vanguard 10 angekununulia wewe Hata vanguard moja uendeshe? Mngekutana nae barabarani anaendesha gari wewe mwanaume unatembea kwa miguu, je ange-notice kuwa amepishana na mwanaume, achilia mbali kukununulia gari?
Ukichunguza kwa kutumia logic utagundua kwenye mahusiano 78% ya wanaume tumepigwa..
NB: Kwa asilimia kubwa ndugu wa kike eg mama, shangazi, dada, mama wadogo, binamu, wako very supportive kwenye maisha ya mwanaume, kuliko wapenzi wa kike K.v girlfriends, michepuko na wake sijui kwanini
Bonge la pointiKwanini mapenzi yanawatesa sana wakuu, kwani hamna vitu vingine vyakufanya mka enjoy?
π€£π€£π€£nondoBeing nice to a girl is not simping
Giving everything she wants, But not receiving anything in return
That is definition of simping.
Always look for an equal value Exchange
Upo sawa kabisa, mwanaume asipoweka efforts hakuna ndoa wala mahusiano hapoWengi wenu Nyie wadada sio supportive kwa boyfriends wenu, hata wewe unajua ukweli, mdada hata kukuchemshia chai hawezi, kila siku mwanaume ndio uweke effort ya kuendeleza relationship Amehlo
Aliewadanganya kwamba ke ameumbwa kutoka kwa me aliwaweza kweli kweli. Mana kawafanya watu mmekuwa watumwa wa wanawake!
Yaan kawa brainwash totally hamuwez hata kuamua kwa kutumia logic.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaa tuwaache wallah.sijui kwanini watu wanajiwekea limitations za furaha kiasi hichi, anyway ngoja tuwaache na maisha yao.
Wengine wana honga kwa mabasha wachokolewee, wengine wanahonga kwa wanawake wadukuliwe nyuma na dildo.Yaani watoto wa siku hizi nyie uanamume unapungua kwa kasi sana. Hakuna raha ambayo mwanaume anaipata kama kum-contol mwanamke. Yaani mwanamke awe submissive kwa mwanaume. Sasa utawezaje kumcontrol mwanamke kama unataka haki sawa kwa kila kitu? Kwa sisi wanamume hasa tunatengeneza mazingira mwanamke ajione bila wewe hawezi kitu ikiwa ni pamoja na kumzidi upeo wa kufikiri, uongo wenye matumaini makubwa, maguvu, kumhudumia na kumchakata vizuri mbususu yake.
Hata kama mwamake anauwezo wa kukupa gari, kataa, la huwezi kukataa ichukue uza then pesa fanyia kitu kingine cha maana ambapo hata yeye atajiona kweli amepata kidume. Huko kuendekeza endekeza usawa ndio kuna fanya idadi ya wanaume wanaochokolewa nyuma kuongezeka, Mwanaume yoyte anayehonga hawezi kuwa choko
Kweli dunia pana maninerWengine wana honga kwa mabasha wachokolewee, wengine wanahonga kwa wanawake wadukuliwe nyuma na dildo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dunia pana hii
Hili jukwaa la MMU stori zetu mapenzi na ngono muda wote mkuuKwanini mapenzi yanawatesa sana wakuu, kwani hamna vitu vingine vyakufanya mka enjoy?
Una mambo wewe mtoto wa nyanda za juu kusini πWengine wana honga kwa mabasha wachokolewee, wengine wanahonga kwa wanawake wadukuliwe nyuma na dildo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dunia pana hii
pata Pepsi moja bariiidi, DroneD analipaMana kawafanya watu mmekuwa watumwa wa wanawake!
Wanaume bhana.Swali lenyewe ni hili, kama huyo mdada unae-date naye angekuepo kwenye nafasi ya kutoa msaada uliyo nayo wewe, huyo mdada angekupa huo msaada?
Mfano umempa mwanamke unae-date naye smartphone ya laki 3, je yeye angekuwa na uwezo na pesa za kutosha, hlf ninyi ni wapenzi, huyo mdada angekununulia wewe smartphone ya laki 3?
Mfano umempa mwanamke gari aina ya vanguard anaendesha, je huyo mwanamke angekuwa na hela ya kununua vanguard 10 angekununulia wewe Hata vanguard moja uendeshe? Mngekutana nae barabarani anaendesha gari wewe mwanaume unatembea kwa miguu, je ange-notice kuwa amepishana na mwanaume, achilia mbali kukununulia gari?
Ukichunguza kwa kutumia logic utagundua kwenye mahusiano 78% ya wanaume tumepigwa..
NB: Kwa asilimia kubwa ndugu wa kike eg mama, shangazi, dada, mama wadogo, binamu, wako very supportive kwenye maisha ya mwanaume, kuliko wapenzi wa kike K.v girlfriends, michepuko na wake sijui kwanini
NakaziaHii aina ya wanaume ndio wale wanataka nusu nusu na wanawake, mwisho wa siku wanaishia kupasuliwa pia...huwezi kumuhudumia mwanamke kaa kando