Wanaume kama umeoa hii inakuhusu

Wanaume kama umeoa hii inakuhusu

Aisee mbona mimi siamini kama mpo wanawake wa hivyo mpaka huwa nashangaa watu wanaongelea nguvu za kiume alafu za kike wamezisahau wakati ndo wanaongoza kutema gemu?
Mimi ndo nipo, Leo unaniona hapa saa hizi ujue Baba K kasafiri tangu juzi....
Akiwepo napanda kitandani Kama kila siku fainali, akinigusa nimegeuka....maisha yenyewe mafupi haya🤣🤣🤣 tukifika miaka 60 tutaanza kuangaliana tu
 
Mimi ndo nipo, Leo unaniona hapa saa hizi ujue Baba K kasafiri tangu juzi....
Akiwepo napanda kitandani Kama kila siku fainali, akinigusa nimegeuka....maisha yenyewe mafupi haya[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tukifika miaka 60 tutaanza kuangaliana tu
Hongera sana upo gado ,,, hapo ulipo unaweza kusukumiwa mwoto lisaa limoja au ndo wale wa dk 5?
 
Naswali la heshima why mnacheat.

Na mna mke mwema, mke anakupenda na kukusaidia, nakukujali anakuzalia anafanya uitwe baba fulani.

Ila nyie kazi kuwa malaya tu ndio kazi yenu, sijui kwanini mnaoa yanini kama hamjui shida zake.

Mnakera sana nyie wamalaya mnaboa . Samahanini ila kweli mnatia hasira . Sana na hamuoni.

Kha maisha yandoa mliojiingiza sio marahisi na mkiwa malaya ndio shida na mikosi mnailetea familia zenu. Na hamuoni
Ungelikuwa mwanaume ningekueleza ukikua utajua haya masuala, ila kwa vile ni mwana mama, naamini unataka kujifunza.

Chukua mfano umebanwa na mkojo, ukitafuta choo ikakosekana, hata aibu itakutoka utamaliza haja yako pembeni hata watu wakikuona utadai, Potelea mbali.

Kuna sababu nyingi za kuchepuka, hasa kwa waume waliooa wanawake kama ninyi ambao hamkufundwa. Mojawapo ni pale ambapo mwanamke hataki kumpa mme wake makusudi. Usisahau kuwa zile balls ni kiwanda ambacho huwa kinatengeneza mbegu. Zikijaa lazima zitoke. Ukiwa kijana utapunyetolize, ila ukizoea kuzitolea katika mwili wa binadamu, hata upunyetolize, haitamaliza ile kitu inaita ashki. Hivyo, kama unampenda mke wako sana, njia ni kutafuta shockabsorber ya muda (changu) na nikueleze ukichomeka tu hao waarabu wa DP World. Guilty Consciousness ya hilo tendo, mungu ndiye anajua.

Lakini, kabla ya kuoa, uki approach pisi kali, huwa zinakuruka ajabu. Ila ukishaoa, sijui huwa ni nini, pisi kali zinajigonga kwako. Imagine, ndani mwanamke anakueleza utakula jeuri yako wakati kuna huyu ambaye chuchu saa sita na yupo tayari apange loji kwa gharama yako.

Sababu ni nyingi lakini ujue, hakuna mwanaume ambaye ameoa anapenda kuchepuka!
 
Ungelikuwa mwanaume ningekueleza ukikua utajua haya masuala, ila kwa vile ni mwana mama, naamini unataka kujifunza.

Chukua mfano umebanwa na mkojo, ukitafuta choo ikakosekana, hata aibu itakutoka utamaliza haja yako pembeni hata watu wakikuona utadai, Potelea mbali.

Kuna sababu nyingi za kuchepuka, hasa kwa waume waliooa wanawake kama ninyi ambao hamkufundwa. Mojawapo ni pale ambapo mwanamke hataki kumpa mme wake makusudi. Usisahau kuwa zile balls ni kiwanda ambacho huwa kinatengeneza mbegu. Zikijaa lazima zitoke. Ukiwa kijana utapunyetolize, ila ukizoea kuzitolea katika mwili wa binadamu, hata upunyetolize, haitamaliza ile kitu inaita ashki. Hivyo, kama unampenda mke wako sana, njia ni kutafuta shockabsorber ya muda (changu) na nikueleze ukichomeka tu hao waarabu wa DP World. Guilty Consciousness ya hilo tendo, mungu ndiye anajua.

Lakini, kabla ya kuoa, uki approach pisi kali, huwa zinakuruka ajabu. Ila ukishaoa, sijui huwa ni nini, pisi kali zinajigonga kwako. Imagine, ndani mwanamke anakueleza utakula jeuri yako wakati kuna huyu ambaye chuchu saa sita na yupo tayari apange loji kwa gharama yako.

Sababu ni nyingi lakini ujue, hakuna mwanaume ambaye ameoa anapenda kuchepuka!
Mchango mzuri,,, kuna demu nilimuachaga na sikutakaga tena kusikia habari zake alikuwa mzee wa kupima bando sana ikimuuliza kwanini unafanya ivi sababu hazieleweki mpaka siku moja nilitaka kumtamkia unavidonda huko ndani,,,,huyo demu sasa kuchat ndo anataka hatari hata ukimwambia ninakaz ntakutafta hataki kuelewa niliona ananisumbua tu penzi lenyewe nusunusu mamayeee nikafyekelea mbaliiii
 
Kunywa maji..
Naswali la heshima why mnacheat.

Na mna mke mwema, mke anakupenda na kukusaidia, nakukujali anakuzalia anafanya uitwe baba fulani.

Ila nyie kazi kuwa malaya tu ndio kazi yenu, sijui kwanini mnaoa yanini kama hamjui shida zake.

Mnakera sana nyie wamalaya mnaboa . Samahanini ila kweli mnatia hasira . Sana na hamuoni.

Kha maisha yandoa mliojiingiza sio marahisi na mkiwa malaya ndio shida na mikosi mnailetea familia zenu. Na hamuoni
 
Sababu ni kama inavyojieleza kwenye uwasilishaji wako. Wanaume hatupendi kufokewa kama hivyo yaani. Mke mwema Sawa umenizalia vema kabisa Sasa huku kunifokea linatoka wapi🤔
Tatizo
 
Naswali la heshima why mnacheat.

Na mna mke mwema, mke anakupenda na kukusaidia, nakukujali anakuzalia anafanya uitwe baba fulani.

Ila nyie kazi kuwa malaya tu ndio kazi yenu, sijui kwanini mnaoa yanini kama hamjui shida zake.

Mnakera sana nyie wamalaya mnaboa . Samahanini ila kweli mnatia hasira . Sana na hamuoni.

Kha maisha yandoa mliojiingiza sio marahisi na mkiwa malaya ndio shida na mikosi mnailetea familia zenu. Na hamuoni
un@tk kujua halafu?
 
Nachukia sana kumcheat na inanipaga wakati mgumu sana ila unajikuta inakubidi automatically wewe imagine mnaishi ndio ila maisha mmnayoishi hayaeleweki bas tu kuna muda mtu hana time na wewe umerudii usiku kazini mmesalimiana kwema kwema umekula, umeoga kilamtu kulala usikumwema hakuna chakuongea,
Alafu kuna mdada huko haishi kukusumbua kwanza kukujulia hali asubuh,mchana na jion kuhakikisha kwamba uko salama ndo anapata amani,ukiwa na mastress yeye ndo wa kwanza kukufariji na kukutoa kwenye stress, unajitahid kumpotezea ili usije ukamcheat mkeo lakin wap Mrembo wawatu yumo tu anakomaa hakati tamaa ivi nikasema wacha nimvute tu karibu niruke nae maisha yaende kimya kimya je bado utanilalamikia kuwa Kwanini nimecheat et nauliza
 
Kuna wakati unataman mwanamke wako avae kimalaya avae kimin kile chenyewee...

avae taiti ile yenyewe atoke nnje nimuangalieee

Avae vigauni vya kutamanisha vifupi,.macho yangu yamuonee wivu ataibwa.

Nyie mkishaolewa kuvaa nguo fupi dhambi eti Heshima kwa mume, umeambiwa nataka kuheshimiwa kwa mavazi.

Vaaa kimitego,oooh ntaonekana sijiheshimu najiuza, sasa wanaume ndio tunawafata hao wanao onekana wanajiuza.

Katika wakati mwanamke unatakiwa uvae utoe watu mate lakini Lengo ni kumtega Mume wako ni kipindi umeolewa.

matokeo yake mnavaa hovyo wenyewe mkisema ndio Heshima, Ndoa haitaki heshima labda kaolewe na Sheikh au Askofu ila kina sisi THE BUMP nataka nikitoka nnje nikuona kwa mbele umepita nikuite nikuombe namba ukigeuka Kumbe ni MKE WANGU mwenyewe.

shida hamuwezi mpo mpo tu... halafu mnataka tutulie.
 
Back Years nshalala na mpenzi wangu almost a month simgusi sina hisia nae, why MAVAZI yake,namna alivyokua akijiweka mbele yangu.

Mwanaume hachepuki kama akili yake itakua kwako muda wote, na wanawake wengi uwezo wakuwafanya wanaume zenu wa wafikirie nyie kila waendapo hamna.

Sio wabunifu yani hamna mjualo mpo mpo tu. Na hatuachi chepuka.
 
Naswali la heshima why mnacheat.

Na mna mke mwema, mke anakupenda na kukusaidia, nakukujali anakuzalia anafanya uitwe baba fulani.

Ila nyie kazi kuwa malaya tu ndio kazi yenu, sijui kwanini mnaoa yanini kama hamjui shida zake.

Mnakera sana nyie wamalaya mnaboa . Samahanini ila kweli mnatia hasira . Sana na hamuoni.

Kha maisha yandoa mliojiingiza sio marahisi na mkiwa malaya ndio shida na mikosi mnailetea familia zenu. Na hamuoni
Unawazungumzia waasherati wala si WANAUME.
AKhsante.
 
Back
Top Bottom