Gentleman 446
Senior Member
- Mar 26, 2021
- 112
- 407
Khaaaaaa 😂😂😂😂𝐔𝐦𝐞𝐚𝐧𝐝𝐢𝐤𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐡𝐞𝐦𝐮𝐤𝐨 𝐰𝐚 𝐡𝐚𝐬𝐢𝐫𝐚 𝐥𝐚 𝐬𝐢𝐯𝐲𝐨 𝐧𝐢 𝐧𝐲𝐞𝐠𝐞 𝐭𝐮 𝐳𝐢𝐧𝐚𝐤𝐮𝐭𝐞𝐬𝐚.
Wifi wifi wifiNa akikubali kutoka out ukimnunulia Kuku mzima na soda anaanza kukufundisha matumizi, utasikia "Baba nanihii hii pesa si bora tungenunua tofali", na mlemba wake kitenge Kama katoka Congo🤣🤣🤣
Hata Mimi nashangaa eti kunyimwa???Hivi nyie mnaonyimwa mnanyimwaje nyimwaje? Au hamuwafikishi kunako???
Mimi Kwa kweli sikumbuki hata lini nililala na night dress, ni mwendo wa chuku chuku Yani mume akinigusa hata sikio nishageukaa🤣🤣🤣 Naona Kama mnatupigia Stori za uongo🤣🤣🤣
Yani badala mle good time, kinakuwa kikao cha masimango.Wifi wifi wifi
Nimekuita mara tatu 😂😂😂
Na skuna zake za umoja wa wanakwaya nyanda za juu kusini 🤣🤣
Hebu nisaidie kumuuliza mana notification za mentions zimekuwa nyingi 😳Una agenda gani na shemeji yangu?😅
Anajikuta wife material 🤣🤣🤣Yani badala mle good time, kinakuwa kikao cha masimango.
Lijamaa linafaidi sana, kifupi tu watu wananyimwa sana. Wanawake wachache wanalala bila bila, yaani any time t mzigo usome? Jamaa anafaidi.Hivi nyie mnaonyimwa mnanyimwaje nyimwaje? Au hamuwafikishi kunako???
Mimi Kwa kweli sikumbuki hata lini nililala na night dress, ni mwendo wa chuku chuku Yani mume akinigusa hata sikio nishageukaa🤣🤣🤣 Naona Kama mnatupigia Stori za uongo🤣🤣🤣
Hapo hajaanzisha nongwa, utasikia "kumbe unavochelewaga kurudi unakujaga huku eenh"Anajikuta wife material 🤣🤣🤣
[emoji38][emoji38]Na akikubali kutoka out ukimnunulia Kuku mzima na soda anaanza kukufundisha matumizi, utasikia "Baba nanihii hii pesa si bora tungenunua tofali", na mlemba wake kitenge Kama katoka Congo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
HapanaKwahiyo Umeolewa na Malaya?
Uwezi kupingana na nature dada angu. Kama shemeji anakujali anatimiza wajibu wake kama mwanaume nyumbani hayo mengine potezea tu.Samahani sana ,so wewe ni mbwa koko ??
Maana huwezi kutulia kwako. Wewe ni kila mtu tu upo nAye. Maana hata mbwa wa home anamipaka
Kwani utamu wa eet-sum-mor na dairyland icecream ni sawa?Ndani hampati
Nani eti huyo??Anajikuta wife material 🤣🤣🤣
mchizi kakupiga tukio nini?Naswali la heshima why mnacheat.
Na mna mke mwema, mke anakupenda na kukusaidia, nakukujali anakuzalia anafanya uitwe baba fulani.
Ila nyie kazi kuwa malaya tu ndio kazi yenu, sijui kwanini mnaoa yanini kama hamjui shida zake.
Mnakera sana nyie wamalaya mnaboa . Samahanini ila kweli mnatia hasira . Sana na hamuoni.
Kha maisha yandoa mliojiingiza sio marahisi na mkiwa malaya ndio shida na mikosi mnailetea familia zenu. Na hamuoni
Kwani na wanaume wote mnafanana utamu🤣🤣🤣Kwani utamu wa eet-sum-mor na dairyland icecream ni sawa?
Nyie mnavyotuona wa maana pindi tunapo kuwa nazo tu, Na kutuona hatufai tukiwa hatuna mnafikirigi sisi hatujui kwamba kwanini mnafikia kukubali kuolewa na sisi? Kwa taarifa yako Yunik Flawa tabia yenu wanawake tunaijua na ndo maana tukizipata hatutulii tunajua tunahitajika na wengi hivyo sisi hufanya maudhurio😁Naswali la heshima why mnacheat.
Na mna mke mwema, mke anakupenda na kukusaidia, nakukujali anakuzalia anafanya uitwe baba fulani.
Ila nyie kazi kuwa malaya tu ndio kazi yenu, sijui kwanini mnaoa yanini kama hamjui shida zake.
Mnakera sana nyie wamalaya mnaboa . Samahanini ila kweli mnatia hasira . Sana na hamuoni.
Kha maisha yandoa mliojiingiza sio marahisi na mkiwa malaya ndio shida na mikosi mnailetea familia zenu. Na hamuoni