Wanaume, kumfanyia hivi mwanamke wako haiondoi uanaume wako ila inakupa thamani kubwa sana kwake

Wanaume, kumfanyia hivi mwanamke wako haiondoi uanaume wako ila inakupa thamani kubwa sana kwake

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Kaka ishi nayo hii, haiondoi uanaume wako ila inakupa thamani kwake na kuwa mtu bora sana

Wakati mwingine tunamchosha kwa hekaheka za usiku, amelala hoi kwasababu ya hekaheka za mahakamani yawezekana mchuano ulikuwa mkali na wenye hoja ulimlazimu kujitetea sana.

Yawezekana yupo kwenye period yenye maumivu ya tumbo, basi amka umwandalie chochote na umpumzishe kazi apumzike/alale

Yawezekana amechoka anahitaji kupumzika

Wakati mwingine hata kama hajachoka fanya hayo kwa mapenzi yako kwasababu ni sehemu ya maisha wala haindoi uanaume wako kabisa.

Mapenzi makubwa hujengwa majambozi na vitu vidogovidogo ambavyo wanaume wengi huvipuuza na kuviona si vitu vya maana kwao.


1731128583506.jpg
 
Kaka ishi nayo hii, haiondoi uanaume wako ila inakupa thamani kwake na kuwa mtu bora sana

Wakati mwingine tunamchosha kwa hekaheka za usiku, amelala hoi kwasababu ya hekaheka za mahakamani yawezekana mchuano ulikuwa mkali na wenye hoja ulimlazimu kujitetea sana.

Yawezekana yupo kwenye period yenye maumivu ya tumbo, basi amka umwandalie chochote na umpumzishe kazi apumzike/alale

Yawezekana amechoka anahitaji kupumzika

Wakati mwingine hata kama hajachoka fanya hayo kwa mapenzi yako kwasababu ni sehemu ya maisha wala haindoi uanaume wako kabisa.

Mapenzi makubwa hujengwa majambozi na vitu vidogovidogo ambavyo wanaume wengi huvipuuza na kuviona si vitu vya maana kwao.View attachment 3147565
Mmmmm kazi ipo sana.....
 
Kaka ishi nayo hii, haiondoi uanaume wako ila inakupa thamani kwake na kuwa mtu bora sana

Wakati mwingine tunamchosha kwa hekaheka za usiku, amelala hoi kwasababu ya hekaheka za mahakamani yawezekana mchuano ulikuwa mkali na wenye hoja ulimlazimu kujitetea sana.

Yawezekana yupo kwenye period yenye maumivu ya tumbo, basi amka umwandalie chochote na umpumzishe kazi apumzike/alale

Yawezekana amechoka anahitaji kupumzika

Wakati mwingine hata kama hajachoka fanya hayo kwa mapenzi yako kwasababu ni sehemu ya maisha wala haindoi uanaume wako kabisa.

Mapenzi makubwa hujengwa majambozi na vitu vidogovidogo ambavyo wanaume wengi huvipuuza na kuviona si vitu vya maana kwao.View attachment 3147565
uko sawa bro 🙏
 
Unamjua baltzar?

unamaanisha huyu fool?!
MWAMBA KASHINDA KESI.
Mahakama Kuu ya Equatorial Guinea imemuona Bartazar Engonga hana hatia kufuatia kadhia ya video za ngono alizorekodi alipokuwa akifanya vitendo vya ngono na wanawake zaidi ya 460.

Mahakama imeridhika kuwa akina mama hao walikuwa ni watu wazima wenye maamuzi yao binafsi, hakumwambukiza yeyote kati yao gonjwa la zinaa.

Kwa upande mwingine wanaume wengi ambao walikuwa waume wa hao wanawake wamemshukuru kwa kuwasaidia kujua tabia halisi za wake zao na wengi weamua kuachana nao rasmi. Mwamba kashinda kesi.

MWAMBA ANASEMA ATAWASHITAKI WALIOVUJISHA VIDEO HIZO KWA KUMUHARIBIA FARAGHA YAKE NA KUMDHARIRISHA KWA MKE WAKE NA FAMILI NA JAMII KWA UJUMLA NIPE MAONI YAKO.
 
Kaka ishi nayo hii, haiondoi uanaume wako ila inakupa thamani kwake na kuwa mtu bora sana

Wakati mwingine tunamchosha kwa hekaheka za usiku, amelala hoi kwasababu ya hekaheka za mahakamani yawezekana mchuano ulikuwa mkali na wenye hoja ulimlazimu kujitetea sana.

Yawezekana yupo kwenye period yenye maumivu ya tumbo, basi amka umwandalie chochote na umpumzishe kazi apumzike/alale

Yawezekana amechoka anahitaji kupumzika

Wakati mwingine hata kama hajachoka fanya hayo kwa mapenzi yako kwasababu ni sehemu ya maisha wala haindoi uanaume wako kabisa.

Mapenzi makubwa hujengwa majambozi na vitu vidogovidogo ambavyo wanaume wengi huvipuuza na kuviona si vitu vya maana kwao.



View attachment 3147565
Dr Mwaka alifanya yote haya,lakini kiko wapi?
 
Mwanamke ni kiumbe asiyejielewa usije kuwekeza muda , akili na rasilimali kwake Acha yeye awekeze kwako kama hataki mwache akapigwe matukio mbele ya safari atakukumbuka
 
Unajua karahaa za kuamka saa kumi lukwili? Unajua uchofu wa kutindua zege au lami barabarani? Unajua uchovu wa kuchimba shimbo la choo kwenye ardhi yenye mawe? Unajua uchovu wa kunyanyua tofali 500 kwa siku kumpeleka fundi? Mungu kaweka sawa kila kitu ,mwanamke kufua ,kuosha vyombo ,kupiga ,kufagia/kupiga deki ni vitu ambavyo kwake siyo tabu ,ilitakiwa kumrahishia ni kumuwekea washing mashine ,mdada wa kazi etc ,kupika siku moja una request msosi wa KFC au sehemu yeyote wenye misosi ya kurequest.siyo lazima uingie jikoni.
 
unamaanisha huyu fool?!
MWAMBA KASHINDA KESI.
Mahakama Kuu ya Equatorial Guinea imemuona Bartazar Engonga hana hatia kufuatia kadhia ya video za ngono alizorekodi alipokuwa akifanya vitendo vya ngono na wanawake zaidi ya 460.

Mahakama imeridhika kuwa akina mama hao walikuwa ni watu wazima wenye maamuzi yao binafsi, hakumwambukiza yeyote kati yao gonjwa la zinaa.

Kwa upande mwingine wanaume wengi ambao walikuwa waume wa hao wanawake wamemshukuru kwa kuwasaidia kujua tabia halisi za wake zao na wengi weamua kuachana nao rasmi. Mwamba kashinda kesi.

MWAMBA ANASEMA ATAWASHITAKI WALIOVUJISHA VIDEO HIZO KWA KUMUHARIBIA FARAGHA YAKE NA KUMDHARIRISHA KWA MKE WAKE NA FAMILI NA JAMII KWA UJUMLA NIPE MAONI YAKO.
Acha uongo
 
Back
Top Bottom