Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
hiyo ni cnp mkuuAcha uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo ni cnp mkuuAcha uongo
Ukishakaa naye miaka 2 njoo ulete mrejesho,maana usifikiri kuna mwanaume hafanyi haya mapenzi yanapoanza.Wapo waliodiriki hata kupiga magoti wakati wa kuvisha pete za uchumba,wapo waliowabeba wake zao siku ya harusi,wako mpaka waliowafulia nguo za ndani,lakini shetani akishafanya yake,yote yanabakia kuwa ni ubatili mtupu......Kaka ishi nayo hii, haiondoi uanaume wako ila inakupa thamani kwake na kuwa mtu bora sana
Wakati mwingine tunamchosha kwa hekaheka za usiku, amelala hoi kwasababu ya hekaheka za mahakamani yawezekana mchuano ulikuwa mkali na wenye hoja ulimlazimu kujitetea sana.
Yawezekana yupo kwenye period yenye maumivu ya tumbo, basi amka umwandalie chochote na umpumzishe kazi apumzike/alale
Yawezekana amechoka anahitaji kupumzika
Wakati mwingine hata kama hajachoka fanya hayo kwa mapenzi yako kwasababu ni sehemu ya maisha wala haindoi uanaume wako kabisa.
Mapenzi makubwa hujengwa majambozi na vitu vidogovidogo ambavyo wanaume wengi huvipuuza na kuviona si vitu vya maana kHaya
Mwanamke ni tofauti na hawala huyo uliyenaye saivi muoe alafu ndo ujue rangi yake halisi.Kaka ishi nayo hii, haiondoi uanaume wako ila inakupa thamani kwake na kuwa mtu bora sana
Wakati mwingine tunamchosha kwa hekaheka za usiku, amelala hoi kwasababu ya hekaheka za mahakamani yawezekana mchuano ulikuwa mkali na wenye hoja ulimlazimu kujitetea sana.
Yawezekana yupo kwenye period yenye maumivu ya tumbo, basi amka umwandalie chochote na umpumzishe kazi apumzike/alale
Yawezekana amechoka anahitaji kupumzika
Wakati mwingine hata kama hajachoka fanya hayo kwa mapenzi yako kwasababu ni sehemu ya maisha wala haindoi uanaume wako kabisa.
Mapenzi makubwa hujengwa majambozi na vitu vidogovidogo ambavyo wanaume wengi huvipuuza na kuviona si vitu vya maana kwao.
View attachment 3147565
Huyo mpe muda Tu kitamkuta si unajua vitoto vya elfu 2 vikipata wanawake vinaona km Sisi tunakosea senaUkishakaa naye miaka 2 njoo ulete mrejesho,maana usifikiri kuna mwanaume hafanyi haya mapenzi yanapoanza.Wapo waliodiriki hata kupiga magoti wakati wa kuvisha pete za uchumba,wapo waliowabeba wake zao siku ya harusi,wako mpaka waliowafulia nguo za ndani,lakini shetani akishafanya yake yote yanabakia kuwa ni ubatili mtupu......
Kwani kafikishwa mahakamani SI kakamatwa Jana.unamaanisha huyu fool?!
MWAMBA KASHINDA KESI.
Mahakama Kuu ya Equatorial Guinea imemuona Bartazar Engonga hana hatia kufuatia kadhia ya video za ngono alizorekodi alipokuwa akifanya vitendo vya ngono na wanawake zaidi ya 460.
Mahakama imeridhika kuwa akina mama hao walikuwa ni watu wazima wenye maamuzi yao binafsi, hakumwambukiza yeyote kati yao gonjwa la zinaa.
Kwa upande mwingine wanaume wengi ambao walikuwa waume wa hao wanawake wamemshukuru kwa kuwasaidia kujua tabia halisi za wake zao na wengi weamua kuachana nao rasmi. Mwamba kashinda kesi.
MWAMBA ANASEMA ATAWASHITAKI WALIOVUJISHA VIDEO HIZO KWA KUMUHARIBIA FARAGHA YAKE NA KUMDHARIRISHA KWA MKE WAKE NA FAMILI NA JAMII KWA UJUMLA NIPE MAONI YAKO.
Sio ukweli huo ujumbeAcha uongo
Tufanye hivi njoo unioe kama hujaoa unifanyie hayo unayoyaandika hapohawajui, ila ukionesha kuwajali husaidia kuimarisha mahusiano na kuboresha uaminifu. kuwajali ni pamoja na kutotaka kuwaumiza hisia zao kwa kuchepuka
Dr Mwaka alifanya yote haya,lakini kiko wapi?
Baltazar EngongoUnamjua baltzar?
Baltazar EngongoMbona sijaona video ya Bhatzaar Engonga akifanya hayo
Upo sahihi mkuuhawajui, ila ukionesha kuwajali husaidia kuimarisha mahusiano na kuboresha uaminifu. kuwajali ni pamoja na kutotaka kuwaumiza hisia zao kwa kuchepuka
Bro,Kaka ishi nayo hii, haiondoi uanaume wako ila inakupa thamani kwake na kuwa mtu bora sana
Wakati mwingine tunamchosha kwa hekaheka za usiku, amelala hoi kwasababu ya hekaheka za mahakamani yawezekana mchuano ulikuwa mkali na wenye hoja ulimlazimu kujitetea sana.
Yawezekana yupo kwenye period yenye maumivu ya tumbo, basi amka umwandalie chochote na umpumzishe kazi apumzike/alale
Yawezekana amechoka anahitaji kupumzika
Wakati mwingine hata kama hajachoka fanya hayo kwa mapenzi yako kwasababu ni sehemu ya maisha wala haindoi uanaume wako kabisa.
Mapenzi makubwa hujengwa majambozi na vitu vidogovidogo ambavyo wanaume wengi huvipuuza na kuviona si vitu vya maana kwao.
View attachment 3147565
Hili nalo ni ubatili, ni upepoKaka ishi nayo hii, haiondoi uanaume wako ila inakupa thamani kwake na kuwa mtu bora sana
Wakati mwingine tunamchosha kwa hekaheka za usiku, amelala hoi kwasababu ya hekaheka za mahakamani yawezekana mchuano ulikuwa mkali na wenye hoja ulimlazimu kujitetea sana.
Yawezekana yupo kwenye period yenye maumivu ya tumbo, basi amka umwandalie chochote na umpumzishe kazi apumzike/alale
Yawezekana amechoka anahitaji kupumzika
Wakati mwingine hata kama hajachoka fanya hayo kwa mapenzi yako kwasababu ni sehemu ya maisha wala haindoi uanaume wako kabisa.
Mapenzi makubwa hujengwa majambozi na vitu vidogovidogo ambavyo wanaume wengi huvipuuza na kuviona si vitu vya maana kwao.
View attachment 3147565