Agiza chochote...bili juu yangu....namba yangu ni 0743$$$$$$Nitoe tahadhari, hata hao wasio na elimu kubwa the same wana matatizo kama huyu binti msomi, wakipata mwenye pesa kukuzidi hakuna rangi utaacha kuona. Oeni wacha Mungu, hawa wanajua thamani ya ndoa hata kama ni wasomi wakubwa na wana pesa hawaharibu ndoa zao. Ndoa kwao ni sehemu ya ibada na ni maadili mema katika jamii. Kuoa kibishibishi kwa tamaa ya kuoa pisi kali au mbaya bila ku predict tabia zake mficho hatari kwa ndoa huja kuleta majuto baadae na ndoa kusambaratika
ahsanteAgiza chochote...bili juu yangu....namba yangu ni 0743$$$$$$
Wachache sana mmoja kwa mia,kiasili mwanamke ni mbinafsi sana mbele ya hela yake.Wanawake wanaoweza kumvumilia mwanamme hasiye na kitu ni wachache mnooo.Hii ipo kwa pande zote hata kwa wanawake wapo kibao wamekula za uso kwa kukubali kuolewa na wanaume wanaojitafuta baada ya kuwewezeshwa na hao wanawake wakawatenda
Malipo ni hapa hapa mbona, kule tunaenda kulala tu.Kitu ambacho wanaume wengi hamkijui ni Tabia za mwanamke ambae Anajitafuta au ana hali ngumu kimaisha huwa ni kama simba jike mwenye njaa kali so chochote kitakachotokea mbele yake kama kimenona anapita nacho, Maisha ya Binti alietoka Chuoni hana kazi wala Pesa huwa ni kama Wife Material full adabu na utii
Ndio hawa wanawake wa vyuoni au waliomaliza na ajira hawana, simaanishi kuwa hawana haki ya kupata wenza ila uwe makini sana kuwasoma kabla ya kuwaowa, Hao wakishaolewa huwa wanaendelea kuhaso kutafuta ajira sasa usiombee atume maombi alafu ukute upo nae Dar alafu uskie kapangiwa kituo cha kazi Dodoma huko or Mwanza au apate kazi ya maana ukiwa nae hapo ndio utaanza kujua tabia zake halisi
Mwaka 2017 nilimpotezaga kaka yangu, alikipenda kibinti kikiwa mwaka wa pili chuoni akawa anakihudumia,hadi kinamaliza Chuo akakiowa bwana ila kwenye uchumba tu ugomvi ulikuwa hauishi maana kulikuwa na Tetesi yule binti alikuwa na mpenzi wake wa zamani kwa siri ila kilichompeleka pale kwa Bro ni pesa
Kaka akaowa kibishi, Ndoa iko Mwaka wa kwanza tu, Binti akala shavu Kigoma huko shirika linalodeal na wakimbizi pesa nje nje, Ndoa ndio ilipoanza kuwa ndoano hapo maana ilikuwa ni Marufuku kaka kumfuata yule Binti kigoma hadi arudi yeye Dar hao ni wanandoa yani
Za chini chini wambea wakamtonya Kaka kuwa yuke Binti huwa anamsafirisha yule Mwanaume wake wazamani hadi kigoma anafikia kwake mara kwa mara na anamrudisha Dar tena kwa Ndege, Na ndio maana Binti hakutaka kaka Awe anaenda kigoma
Kaka mwaka 2016 mwishoni akanywa sumu ila aliponyea kufa yote ni kama alipata sonona ,akawa hana mtu wa kumwambia, Baada ya lile tukio ndio akaipa Familia ukweli sasa, familia ikaweka kikao yule Binti akaitwa ila akasema yupo Bize Kigoma huko yote jeuri ya pesa na pumzi
Ikabidi sisi kama familia sasa tuongeze ukaribu uliopitiliza, ili ile hali iondoke tukawa tunakaa kwake kwa zamu yote kumpa kampani maana tulishaona Dalili mbaya na ndio tulikuwa tunamtegemea yani wadogo zake ametusomesha na kutupigania sana, Wifi tukawa tukimpigia simu hata kupokea hapokei
Mwaka 2017 mwezi wa Sita akaanza kuugua vitu visivyoeleweka mara Presha mara anadondoka kazini, Alipopelekwa Hospitali kwa uchunguzi ikaonekana Mishipa yake ya moyo imeanza kutanuka tukaambiwa anatakiwa arelax na aache kuwa mtu wa Mawazo , ila kila tukijaribu ikawa mtihani, 2017 mwishoni akafariki alidondoka tu bafuni kumkimbiza Hospitali tayari akawa ameshaondoka hili pigo siwezi kulisahau
Baada ya hili tukio kutokea Baba nae hadi leo hajawahi kuwa sawa kabisa, ila aliwaita watoto wake wote wa kiume kitu nachokumbuka alisema oweni wanawake wenye elimu za kawaida msije kusumbuana huko mbele, na akasema tumewasomesha kwa garama kubwa na sasa mna kazi zenu yeyote atakaeleta tena Mwanamke hapa kama ana Elimu ya juu basi huyo Mwanamke naye ni Sharti awe na pesa na kazi kabla hamjafahamiana yaani kiwaunganishe upendo sio Pesa mlizokuwa nazo
Akasema kuwa ukiniletea hapa Mwanamke Mwenye elimu ya juu na hana kazi wala pesa basi mkatafute baba mwjngine ampokee huyo mwanamke kama mnae la sivyo aishie huko huko, yaani Baba ni kama alivurugwa na ile hali
Ila wansemaga Dam ya mtu ni kama nzito or inaweza kukulilia ila sijui kama ni kweli but yule Binti mwaka 2022 Tabora huko, alipataga ajali mbaya sana Gari aliyokuwa anaendesha ikagongana na lori miguu yote ikabanwa mean ikasagika akakatwa miguu yote kwa sasa ni mlemavu kabisa hana miguu.
Muda mwingine hakuna cha damu nzito wala nini, hahaAlikuja tena uso mweupe ila kwa sasa ni mlemavu hana miguu miwili yalimkuta makubwa Dam ya mtu nzito sana
Ukioa mwenye elimu zaidi ya hapa ni ujingaKijana unaetaka kuoa tafuta binti darasa la saba sogea sogea mpaka form four or six weka ndani kula maisha.
Usicheze na hao wacheza porn vyuoni kwa kigezo cha kusaidiana maisha siku akipata kazi,na kiuhalisia hiyo ni sababu ndogo sana ya kukufanya uje kujuta cuz hakuna kusaidiana maisha kati ya mwanamke na mwanaume dunia hii hilo mnadanganywa na ma-feminaa
Unataka kusema slay queens hawana moyo wa kumpenda mwanaume 😁 joseph1989Wachache sana mmoja kwa mia,kiasili mwanamke ni mbinafsi sana mbele ya hela yake.Wanawake wanaoweza kumvumilia mwanamme hasiye na kitu ni wachache mnooo.
Kundi jingine la wanawake wake hawafai hata kidogo Slay Queens, waanika matako na sura Social networks, yaani hawa piga acha.Kuna wapuuzi wengine wanakurupuka na kuishia kula za uso.
Mimi nashangaa sana
Mtu unaoaje strenger?
Inamaana kwenye kukua kwako hakuna wasichana mliokuwa nao mtaani wazuri tu
Au ulipoenda secondary hukuwa na target za wife material kichwani
Hata chuo miaka minne unaweza ukalenga mke anayejitambua tu
Oweni hata house girl wa baba mwenye nyumba mwenye akili ya maisha .Mimi nashangaa sana
Mtu unaoaje strenger?
Inamaana kwenye kukua kwako hakuna wasichana mliokuwa nao mtaani wazuri tu
Au ulipoenda secondary hukuwa na target za wife material kichwani
Hata chuo miaka minne unaweza ukalenga mke anayejitambua tu
Hawana na hawajui kuvumilia changamoto za kimaisha.Unataka kusema slay queens hawana moyo wa kumpenda mwanaume 😁 joseph1989
Hapana mkuu,sio sawa.Kama mmezaa watoto nae,we mpeleke akasome.Mimi nilipofikia,siogopi mwanamke kunikengeukia,iwe ni kwa kuo gezeka elimu yake au pato lake. Ninachojua hawezi kuwatupa watoto wake,atawalea tu.mke wangu alinambia nimsomeshee eti nimpeleke chuo akasome nlicheka mpka nkapaliwa...
Wala sio jini,Karma is realBila ya shaka miguu yake ipo busy Kigoma, Duh wahuni nyie hamkumpa jini lakini🤣🤣🤣
Nyie wanawake ni wabinafsi sana, mwanamke akimdhuru mumewe, chama cha wanawake wa haki sijui za nini hakikemei, akifanyiwa ubaya mwanamke ndo kelele kibao mitandaoni.Taratibu mnaanza kuukubali uhalisia, kwamba mwanamke anamtii mwanaume endapo tu hana elimu wala ajira, tukiwaambia hali halisi iliyopo mnajidai mna mihemko na kuanza kututukana
Siyo ubinafsi bali ni kwa sababu jamii ilishaaminishwa kwamba mwanaume ni kiumbe strong hawezi kuzidiwa akili wala nguvu na mwanamke ambaye yeye ni kiumbe dhaifu, jamii ilishaaminishwa kwamba katika mgogoro wowote ule baina ya mwanaume na mwanamke siku zote mwanamke ndiye anayepoteza mwanaume yeye hana cha kupoteza hivyo mwanamke hatakiwi kushindana na mwanaume maana yeye ndiye atakuwa victim, sasa kutokana na hiyo imani iliyojengeka inakuwa ngumu kuamini kwamba eti wanaume nao wanadhuriwa na wanawake ndio maana wanaume wanapolalamika jamii inawapuuza kwa kudhani kwamba hayo malalamiko ni batili na hayana uhalisiaNyie wanawake ni wabinafsi sana, mwanamke akimdhuru mumewe, chama cha wanawake wa haki sijui za nini hakikemei, akifanyiwa ubaya mwanamke ndo kelele kibao mitandaoni.