Wanaume kuweni makini sana kuoa wanawake waliotoka Vyuoni

Agiza chochote...bili juu yangu....namba yangu ni 0743$$$$$$
 
Hii ipo kwa pande zote hata kwa wanawake wapo kibao wamekula za uso kwa kukubali kuolewa na wanaume wanaojitafuta baada ya kuwewezeshwa na hao wanawake wakawatenda
Wachache sana mmoja kwa mia,kiasili mwanamke ni mbinafsi sana mbele ya hela yake.Wanawake wanaoweza kumvumilia mwanamme hasiye na kitu ni wachache mnooo.

Kundi jingine la wanawake wake hawafai hata kidogo Slay Queens, waanika matako na sura Social networks, yaani hawa piga acha.Kuna wapuuzi wengine wanakurupuka na kuishia kula za uso.
 
Malipo ni hapa hapa mbona, kule tunaenda kulala tu.
 
Ukioa mwenye elimu zaidi ya hapa ni ujinga
 
Unataka kusema slay queens hawana moyo wa kumpenda mwanaume 😁 joseph1989
 
Mimi nashangaa sana

Mtu unaoaje strenger?

Inamaana kwenye kukua kwako hakuna wasichana mliokuwa nao mtaani wazuri tu

Au ulipoenda secondary hukuwa na target za wife material kichwani

Hata chuo miaka minne unaweza ukalenga mke anayejitambua tu

Mimi nashangaa sana

Mtu unaoaje strenger?

Inamaana kwenye kukua kwako hakuna wasichana mliokuwa nao mtaani wazuri tu

Au ulipoenda secondary hukuwa na target za wife material kichwani

Hata chuo miaka minne unaweza ukalenga mke anayejitambua tu
Oweni hata house girl wa baba mwenye nyumba mwenye akili ya maisha .
 
Jadda hajakomenti kabisa
Taratibu mnaanza kuukubali uhalisia, kwamba mwanamke anamtii mwanaume endapo tu hana elimu wala ajira, tukiwaambia hali halisi iliyopo mnajidai mna mihemko na kuanza kututukana
 
mke wangu alinambia nimsomeshee eti nimpeleke chuo akasome nlicheka mpka nkapaliwa...
Hapana mkuu,sio sawa.Kama mmezaa watoto nae,we mpeleke akasome.Mimi nilipofikia,siogopi mwanamke kunikengeukia,iwe ni kwa kuo gezeka elimu yake au pato lake. Ninachojua hawezi kuwatupa watoto wake,atawalea tu.
Mimi sihitaji fake loyalty.Ukitaka mwanamke awe loyal kwako kwa kumnyima elimu na chance ya kuongeza kipato,huenda akawa na mapenzi ya kinafki kwako.You never know, huenda pia mkeo yupo kati ya wale 1/100 ambao hata wawe na elimu na pato gani,bado wanaziheshimu ndoa zao.
Bila ya shaka miguu yake ipo busy Kigoma, Duh wahuni nyie hamkumpa jini lakini🤣🤣🤣
Wala sio jini,Karma is real
 
Taratibu mnaanza kuukubali uhalisia, kwamba mwanamke anamtii mwanaume endapo tu hana elimu wala ajira, tukiwaambia hali halisi iliyopo mnajidai mna mihemko na kuanza kututukana
Nyie wanawake ni wabinafsi sana, mwanamke akimdhuru mumewe, chama cha wanawake wa haki sijui za nini hakikemei, akifanyiwa ubaya mwanamke ndo kelele kibao mitandaoni.
 
Nyie wanawake ni wabinafsi sana, mwanamke akimdhuru mumewe, chama cha wanawake wa haki sijui za nini hakikemei, akifanyiwa ubaya mwanamke ndo kelele kibao mitandaoni.
Siyo ubinafsi bali ni kwa sababu jamii ilishaaminishwa kwamba mwanaume ni kiumbe strong hawezi kuzidiwa akili wala nguvu na mwanamke ambaye yeye ni kiumbe dhaifu, jamii ilishaaminishwa kwamba katika mgogoro wowote ule baina ya mwanaume na mwanamke siku zote mwanamke ndiye anayepoteza mwanaume yeye hana cha kupoteza hivyo mwanamke hatakiwi kushindana na mwanaume maana yeye ndiye atakuwa victim, sasa kutokana na hiyo imani iliyojengeka inakuwa ngumu kuamini kwamba eti wanaume nao wanadhuriwa na wanawake ndio maana wanaume wanapolalamika jamii inawapuuza kwa kudhani kwamba hayo malalamiko ni batili na hayana uhalisia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…