Wanaume kuweni makini sana kuoa wanawake waliotoka Vyuoni

mke wangu alinambia nimsomeshee eti nimpeleke chuo akasome nlicheka mpka nkapaliwa...
Mke wa kaka yangu mkubwa alianza kutukana mamba kabla hajavuka mto. Alimwambia kaka nikipata chuo nasoma halafu nikiajiriwa nakuacha naondoka na mwanangu..jamaa akasema sasa na chuo sikupeleki,na hakumpeleka kweli,hadi leo kawa mama wa nyumbani
 
Kaka yangu mdogo alienda Dar kutafuta maisha,kweli mambo yakaanza kwenda vizuri,akamzalisha mdada,sasa mama zake na huyo KE wakamwita kuwa umemzalisha lakini sisi tunataka kumpeleka chuo,mtoto akikua itabidi uchanggie nusu ya gharama za masomo,jamaa akakubali.
Mwanamke kamaliza diploma yake akaajiriwa serikalini ila akapiga hesabu akaona kazi nimepangiwa mkoani karibu na kwao na jamaa,akafanya mipango akabadilishiwa kituo cha kazi afanyie Dar.Kilichofuatia akamwambia kaka kuwa tusijuane tena na mtoto humpati. Alichanganyikiwa sana na baada ya miaka mitatu mwanamke akajiendeleza kusoma UDSM. Maisha ya kaka yakaanza kuwa magumu ila alivumilia,bahati nzuri alisoma shule ya kilimo hivyo kupata kazi kwenye viwanda vya kusindika vyakula kwake haikuwa ishu.Baadae akaenda kusoma NIT,akahama Dar akarudi mkoani na yeye amepata kazi serikalini....Hawa viumbe sio kabisa
 
Hili ni funzo,sikatai kuwa wengi wa hii aina ya wanawake ukijifanya unamchekea itakutafuna,ni sumu mbaya sana,licha ya kuchukua maamuzi ya kujiua unaweza kujikuta umeingia kwenye umalaya wa kutupwa ukifikiri unamkomesha,mwisho wake ukajikuta umeokota ugonjwa bila kujielewa,ni hatari kwakweli...
 
Kakatika miguu yote dadeki.njoo.dm nikutumie picha zake
 
Daah! Poleni sanaa. Waathirika wakubwa wa swala la mapenzi tumekua wanaume sisi, mbaya zaidi wengi wetu hatuwezi ku withstand usaliti toka kwa wenza wetu.
Cases nyingi za kujiua kwa visa vya mapenzi ni wanaume 49/50.

Mungu okoa kizazi chetu hiki cha usasa.
 
1. Jamaa aliyekuwa anasafirishwa na ndege alikuwa anakiwashaaaaaa sawasawa ila kaka marehemu alikuwa anapiga kistaa.

2. Elimu kubwa kwa mwanamke si chanzo cha shida kwenye ndoa. Jambo la msingi mwanaume hakikisha mwanamke wako hakuzidi kipato. Ikitokea amekuzidi kipato hakikisha hakuzidi akili. Mfanye awe tegemezi kwa kitu ambacho ni cha msingi kwake.

3. Oa mwalimu ndugu. Achana na watu wanaosomea makzoi gani hayo hawana uoga wa maisha.

4. Ishi kwa akili ukiamini muda na wakati wowote unaweza kubadilikiwa. Jiandae kisaikolojia usiishi kama dunia iko fair kwa kila mtu. Dunia haina fair

5. R.I.P Kaka..
 
Enzi hizo...ukipata mwanachuo semester ikiishs upon nae shkuru mungu.

Yaani chuo ni mwendo wa kuachwa...labda uwe na mawe
 
Ana endeleaje kiuchumi kwa sasa huyo binti ?!
 
Wanawake hawa walisoma degree za kukariri na kujibia tu mitihan sio poa .ila kuna wengine ni materials kabisa ila asilimia kubwa huwa maisha yanawachanganya na kuharibu mbeleni.! Kuna mwanangu yeye alitangulia kuoa kama mwaka na alioa mfanyakazi yeye ni material lakin jamaa kama anahisi kakosea kuoa kwa sababu anajimudu kwa kila kitu lakin hawez mwambia mke aache kazi kwa kuwa kamkuta

Alinisisitiza sana kuwa nisioe mwanamke mfanyakazi mtasumbuana sana na ndoa itakuwa haina amani kivile maana lengo la ndoa ni utulivu sasa kama hupati utulivu mtasumbuana.

Mana kulikuwa na kibint cha first year udsm. Jamaa kaniambia piga chini huyo tafuta form 4 tu mambo usiyafanye mengi kutaka mje kusaidiana maisha sijui nini utafeli pakubwa brother.

Kuna mchizi na yeye alimfungulia biashara mke wake kwa sababu yupo nyumbani tu matokeo yake kapata bwana huko kwenye biashara. Mwisho wa siku kakosa mke na biashara...

Yote tisa wanawake hawana formula hawaeleweki kabisa unaweza chukua huyo wa mtaani na mkasumbuana kweli kweli na pia akakusaliti.!

Ushauri wangu kwa vijana ni kuwa mke anaandaliwa tanga chini sio umeona binti ana tako na ziwa ,nywele ndefu ukaona huyo ndio mke utapata ukimwi wazazi wako walie peke yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…