Wanaume kuweni makini sana kuoa wanawake waliotoka Vyuoni

Uzi una comments nyiiiiiingiiii lakini nimesikitika sana wale feminist wa JF wameupita kushoto ila wanauzoom tu. Nimeona comments za wawili tu.

Anyways kaka apumzike kwa amani huko alipo. Mwanamke akishakua na KAZI au ELIMU ya CHUO inahitaji umakini sana kuanzisha nae mahusiano. Katika mwanamke wa kuoa siwezi gusa pisi za aina hiyo.
 
Nitoe tahadhari, hata hao wasio na elimu kubwa the same wana matatizo kama huyu binti msomi, wakipata mwenye pesa kukuzidi hakuna rangi utaacha kuona. Oeni wacha Mungu, hawa wanajua thamani ya ndoa hata kama ni wasomi wakubwa na wana pesa hawaharibu ndoa zao. Ndoa kwao ni sehemu ya ibada na ni maadili mema katika jamii. Kuoa kibishibishi kwa tamaa ya kuoa pisi kali au mbaya bila ku predict tabia zake mficho hatari kwa ndoa huja kuleta majuto baadae na ndoa kusambaratika
 
Enhee ikawaje? kaka yako naye anakunywaje sumu juu ya mwanamke aliyekutwa naye ukubwani?
Hayo mambo yasikie tu but hayana formula. how man percieve pain ni tofauti na mtu, wapo wenye experience so hawayumbi sana, wapo wageni lazima liwayumbishe, wapo wavumiliv wana suffer once after that wanakaa sawa
Ni kuomba Mungu akuvushe salama
 
Mwanaume anahitaji kusikilizwa , problem is kwa wanawake wasomo wengi they cant provide that
 
Mume aheshimiwe na mkewe wakati huo mke asikilizwe na mumewe, tofauti na hivyo hakuna ndoa salama
 
Afu kuna mvulana anakuja anasema tafuteni Pesa B'se Mwanamke bila Pesa humuwezi



Pesa haiwezi kumkeep mwanamke kwa MWANAUME kamwe, ataact unyenyekevu at the beginning of relationship kwasababu ya Pesa na vitu na mali lakini akishapata UWEZO/Pesa hawezi kubaki b'se kilichokua kinamuweka keshakipata abaki afanyaje?


Kijana wa kiume kua na kitu kingine cha thamani ambacho halionekani kwa macho ya nyama na damu ambacho kitamfanya mwanamke awe proud of you and love you na Sio vitu vya kuonekana kwa macho ya nyama na damu hata kama una Pesa


Tengeneza mazingira mwanamke akupende upendo wa Kweli na sio kwasababu ya vitu au mali au Pesa
 
Hili suala ni kweli ndugu
 
Khakhakha wanaume wa JF wamekuskia ....
Chakushangaza sasa wanaolewa kila siku na wffgvcvcxxxc😂 nkae kimya tu maana nitavxcdgfdffggxddf
 
Hayanaga Formulo
 
Jadda hajakomenti kabisa
 
Samahani lakini ukweli ni kwamba makosa ni ya kaka yako. Alikuwa anamng"ang'ania alitaka kuvumbua nini?
Ukishaona red flags mbili tatu piga chini..
Huko kwenye vikao vyenu wanaume huwa mnadiscuss nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…