Wanaume, kwanini mnaoa wanawake wasio warembo kisha mnafumaniwa na warembo?

Wanaume, kwanini mnaoa wanawake wasio warembo kisha mnafumaniwa na warembo?

Warembo akili na nguvu zimeishia kwenye urembo. Hawa wa kawaida wana mengi ya kufanya kuziba hilo pengo la urembo.
Hakuna mwanaume mjinga wa kuoa urembo ambao ndani ya miaka kumi + unaisha. Tunaona vitu vinavyodumu.
 
Kingine,
Mwanaume anaoa mwanamke anayeweza kuvumilia madhaifu na maujinga yake. Kama huyu wa kwangu hakuna rangi hajawahi kuona, mpaka nilipoamua kutulia nna uhakika hakuna baya jingine ninaweza kumtupia akakimbia.
Sasa hao wanaoitwa 'warembo', wana option nyingi ukimzingua kidogo anapeperuka. Na hapo hajui MILUZI MINGI HUMPOTEZA MBWA!
 
Unique Flower wanawake wengi hao wanaitwa wazuri wanakua ni ngumu kuwa handle yani financial, kiuaminifu, pamoja na kuwa control kiujumla.
So mara nyingi wanaume wanaowa wanawake ambao sio chagua lao ndani ya nafsi lakini mazingira ndivo yanavyoruhusu kwa muda ule.

Napia mara nyigi sana wanaume baada ya kuoa ndio huanza kupata wanawake wazuri wazuri, ma ndipo wanapomletea mitihani
 
Kingine,
Mwanaume anaoa mwanamke anayeweza kuvumilia madhaifu na maujinga yake. Kama huyu wa kwangu hakuna rangi hajawahi kuona, mpaka nilipoamua kutulia nna uhakika hakuna baya jingine ninaweza kumtupia akakimbia.
Sasa hao wanaoitwa 'warembo', wana option nyingi ukimzingua kidogo anapeperuka. Na hapo hajui MILUZI MINGI HUMPOTEZA MBWA!

Yaani mimi ndio niwe wa kurushiwa maumivu kwa jina la ndoa...unifanyie mapichapicha kisa umenioa? Hiyo ndoa imekua ni uhai! Kupenda ndoa bila kujithsmini ndio matokeo yake haya yaan mtu anajisifia kbs hakuna baya ntamtupia akakimbia[emoji28][emoji28] heri kuikosa hiyo ndoa nikiwa mzima kuliko niipate na gonjwa la moyo juu!
 
Kwa Kifup Sana wanawake waremboo maranyingi hupenda Sana anasa na starehe,.

Pili huu tumia uzuri wao kama fimbo, ngao, au garantii ya maisha yao.

Mwanamke mrembo Ana kosa uvumilivu kutokana na changamoto toka huko nje.
Mfano kila siku Ana tongozwa na watu wenye pesa, muone kano, magari, nk alafu wew kwako uwe ume furia unazani kutakuwa na usalama??
 
Wadada kujeni mpitie uzi huu. Kuna salamu zenu.

Manake kuna wadada wanapenda sana waume za watu... Sijui why. Yaani wakiona pete tu ya ndoa wanaona ahaaa sponsor si ndo huyu.

Halafu wanajimwambafy kabisa na kuhakikisha wake wa ndoa wanagundua kwamba na wao wapo katika maisha ya huyo mwanamme.

Huku wakitaka hao wanaume wawaache wake zao waolewe wao kisa ni wazuri sana.

Kujeni sasa muone mnavyotumika na ndoa zao hawavunji ng'o.
Wewe upo upande gani mama
 
Hapana. Wa maisha ni namba 1 na wa tamaa ni namba 2. Iko hivi, wanaume tumeumbiwa tamaa lakini sio kila tunachotamani lazima tulipate au kukitumia. Ukiona nimekuchukua nikakuweka ndani Kama mke jua tu kuwa kwanza nilikutamani then nikaona unafaa kuwa wa maisha yangu. Pamoja na kukufanya wa maisha Haina maana kuwa ndio mwisho wa tamaa zangu hapana. Bado nutaendelea kutamani kwa sababu ni udhaifu wetu wanaume, Sasa hizi tamaa baada ya kuona ndio zinaamua Aina ya mwanaume wako na jinsi alivyo na uwezo wa kushinda tamaa zake na jinsi alivyo chagua kukuheshimu na hapa ndipo panapotutafutisha Sana.
Lakini pia tupo ambao tunatamani baaada ya kuoa tukaamua kupita na kusepa lakini pia tupo ambao tukitamani na kuonja tunataka kurudi tena kuonja kwa Mara ya Pili na hili ni kosa kubwa sana ambalo linapelekea kuwa na permanent mchepuko. Sasa Basi permanent mchepuko ni kirusi kibaya Sana kwenye ndoa kwa sababu kinaitafuna ndoa ndani kwa ndani na kujikuta linakuwa sehemu ya maisha yetu ya ndoa.


NB. Sijaoa na natamani kuoa Ila naogopa maana wanawake wengi ni michepuko kwenye ndoa za watu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nilikuwa na limwanamke lenye makalio makubwa kama kitimoto, aisee alikuwa anaona kama masaburi yake ndo kila kitu. Nyodo dharau vilimjaa eti madai yake yeye ni mzuri hataki kupangiwa maisha. [emoji38][emoji38][emoji38] Nilimpiga chini baada ya miezi mitano nakutana nae kachoka mbaya [emoji1787][emoji1787]
Hivi kwanini kila mwanaume ukiachana na mwanamke baada ya miezi sita unakutana nae kachoka sana? Kwanini mnapenda sana hizi hadithi[emoji16][emoji1787][emoji1787]...kwamba we ndo ulikuwa unamfanya anawiri??



Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Uwiii hahahahahhahaa uwiii hahahahah


Kumbe hujui sisi wanaume akili zetu zilivyo???


Umewahi jiuliza kwann wanawake wazuri wa sura na mashep hawaolewi, wengi wanazalishwa tu ?????.



Kwa Taarifa yako, kwenye Kuoa, Mwanaume anayejitambua Hutafuta Mwanamke yule kweli aliyekomaa kubeba maisha yake yenye Udhaifu na Uimara, mapungufu, uvumilivu, upendo wa dhati n.k kwa 90%.


Hawa wazuri, wapuuuzi sana, kwanza sio watiifu , pili Akili zao wanahamishia kwenye mitako na sura na lishep. Kwahiyo niwepesi kukubaisha sababu anatongozwa sanaaaa

Tatu, mwanamke anayetongozwa sanaaaaaaa kiuhalisia, atakwepa mishale 999 ila ule mmoja wa 1000 unamnasa.



Naweza kuelezeaa mengi mpaka yakatosha kitabu.



Ila la msingi...MWANAMKE MAKINI NDIO ATAOLEWA BILA KUJALISHA, SURA, UMBO N.K


namwanamke asiye makini, Atakua mchepuko tu ..hamna namna[emoji120]
Mwanaume rijali kusema uuwii!! Haaaa!! Kama Mange ni dalili ya ushoga mkuu.
 
Kingine,
Mwanaume anaoa mwanamke anayeweza kuvumilia madhaifu na maujinga yake. Kama huyu wa kwangu hakuna rangi hajawahi kuona, mpaka nilipoamua kutulia nna uhakika hakuna baya jingine ninaweza kumtupia akakimbia.
Sasa hao wanaoitwa 'warembo', wana option nyingi ukimzingua kidogo anapeperuka. Na hapo hajui MILUZI MINGI HUMPOTEZA MBWA!
[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji1787][emoji16]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Yaani mimi ndio niwe wa kurushiwa maumivu kwa jina la ndoa...unifanyie mapichapicha kisa umenioa? Hiyo ndoa imekua ni uhai! Kupenda ndoa bila kujithsmini ndio matokeo yake haya yaan mtu anajisifia kbs hakuna baya ntamtupia akakimbia[emoji28][emoji28] heri kuikosa hiyo ndoa nikiwa mzima kuliko niipate na gonjwa la moyo juu!
Nimeshangaa sana sana

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom