Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
ntarudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia wanawake wengi wanaojiona wazuri wengi wao ndo hawana akili za maisha.
Na la kuongeza ni kuwa huwa mbunye zao zinakuwa zimetumika sana.
Hakuna mwanamke asiye mremboMimi naenda direct, unakuta asilimia kubwa wakaka wanaoa wadada wasio na mashepu mazuri ila wanafumaniwa na wadada wa aina hiyo.
Unakuta mchepuko ni hatari mkali na anawaka ila wife wa huyo kaka wa kawaida sana tu hadi unajiuliza kulikoni?
Je, tatizo nini?
Tuambizane.
Mimi naenda direct, unakuta asilimia kubwa wakaka wanaoa wadada wasio na mashepu mazuri ila wanafumaniwa na wadada wa aina hiyo.
Unakuta mchepuko ni hatari mkali na anawaka ila wife wa huyo kaka wa kawaida sana tu hadi unajiuliza kulikoni?
Je, tatizo nini?
Tuambizane.
Akili zinawakaa vizuri umri ukienda wanakuja kugundua vyote batili,hapo sasa wanakazi ya kuzunguka makanisani na wachungaji nao wanajilia vyao,mwisho wa siku anamtafuta yanki hasiye na mbele wala nyuma anamzalisha, anajifariji na mtoto aliyempata.Kingine ni kua wanawake wengi warembo wao wenyewe hua hawataki kuolewa! Binti akishajijua ni mrembo yeye anataka kula bata, kuzunguka viwanja mbalimbali na hoteli nzurinzuri, kusafiri nje ya nchi dubai joberg nairobi nk. Leo hii ukimfuata umuambie eti unataka kumuweka ndani, umbebeshe mimba aanze kulea watoto hawezi kukuelewa!
Ndio maana sisi tunaoa wanawake wa kawaida ambao hawana mambo mengi na wako tayari ku settle down.
Mimi naenda direct, unakuta asilimia kubwa wakaka wanaoa wadada wasio na mashepu mazuri ila wanafumaniwa na wadada wa aina hiyo.
Unakuta mchepuko ni hatari mkali na anawaka ila wife wa huyo kaka wa kawaida sana tu hadi unajiuliza kulikoni?
Je, tatizo nini?
Tuambizane.
Ni kweli wale unaodhani wameoa WAREMBO wake zao wana amani? Yani ni kweli mwanaume akioa mwanamke MREMBO anakuwa mtulivu, hachepuki sana kama yule aliyeoa asiye MREMBO?
Ndiyo ninahoji hapo.maana mtoa mada naona kama anapotosha kimtindoMwanamke yoyote hata awe mrembo kama malaika ukishamuweka ndani ukaishi nae kwa muda lazima utamchoka tuu.
Kufuga nyuki nyumbani unapoishi yataka ujasiri sanaMimi naenda direct, unakuta asilimia kubwa wakaka wanaoa wadada wasio na mashepu mazuri ila wanafumaniwa na wadada wa aina hiyo.
Unakuta mchepuko ni hatari mkali na anawaka ila wife wa huyo kaka wa kawaida sana tu hadi unajiuliza kulikoni?
Je, tatizo nini?
Tuambizane.
Yule mwanamke wa kuoa kuwa sio mzuri na hana shape ile huwa ni defence mechanism kwa watu wanaopenda wake za watu, sasa wakija kwa mke wangu wanakuta ni wakawaida sana, ila ukioa mwanamke mzuri, daah wahuni watakupigia mke wako sanaWa tamaa ndio namba 1 namba mbili wa maisha