Wanaume, kwanini mnaoa wanawake wasio warembo kisha mnafumaniwa na warembo?

Wanaume, kwanini mnaoa wanawake wasio warembo kisha mnafumaniwa na warembo?

Mwanamke mzuri kimuonekano ni presha, hata awe na msimamo vipi kwa mumewe atabana ataachia kwa wakulungwa. Wale wa kawaida hawasumbuliwi ndio maana wanawekwa ndani na hao wazuri mara nyingi wanatumiwa kimatamanio tu .
 
Mimi naenda direct, unakuta asilimia kubwa wakaka wanaoa wadada wasio na mashepu mazuri ila wanafumaniwa na wadada wa aina hiyo.

Unakuta mchepuko ni hatari mkali na anawaka ila wife wa huyo kaka wa kawaida sana tu hadi unajiuliza kulikoni?

Je, tatizo nini?

Tuambizane.

Hakuna mwanamke asiye mrembo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Vggvv ggvggg5 vgvgg65v ggt5 gttvgg5g gg. G gtgvgggggv tttgttttgtg6gg tgggggggtg5gt t5v t t 5gg tgg5g5tg5gg5ttg55. 5gg5ggggtvvgg t5gtg5tg5v5vtt5tgt5gg55gg5g5g ggt5g5t5t5 gt g5g55vtvgg tvtvgt5t g5gtgtg5gvggtgctggtgvggt5gggtgggggt. G g5vvvtgt. G ggvtgg v tg 55gv gtgggg5vg g g5gtt t ggt655tg6. 6g. G g v g
 
Mimi naenda direct, unakuta asilimia kubwa wakaka wanaoa wadada wasio na mashepu mazuri ila wanafumaniwa na wadada wa aina hiyo.

Unakuta mchepuko ni hatari mkali na anawaka ila wife wa huyo kaka wa kawaida sana tu hadi unajiuliza kulikoni?

Je, tatizo nini?

Tuambizane.


Kingine ni kua wanawake wengi warembo wao wenyewe hua hawataki kuolewa! Binti akishajijua ni mrembo yeye anataka kula bata, kuzunguka viwanja mbalimbali na hoteli nzurinzuri, kusafiri nje ya nchi dubai joberg nairobi nk. Leo hii ukimfuata umuambie eti unataka kumuweka ndani, umbebeshe mimba aanze kulea watoto hawezi kukuelewa!

Ndio maana sisi tunaoa wanawake wa kawaida ambao hawana mambo mengi na wako tayari ku settle down.
 
Kingine ni kua wanawake wengi warembo wao wenyewe hua hawataki kuolewa! Binti akishajijua ni mrembo yeye anataka kula bata, kuzunguka viwanja mbalimbali na hoteli nzurinzuri, kusafiri nje ya nchi dubai joberg nairobi nk. Leo hii ukimfuata umuambie eti unataka kumuweka ndani, umbebeshe mimba aanze kulea watoto hawezi kukuelewa!

Ndio maana sisi tunaoa wanawake wa kawaida ambao hawana mambo mengi na wako tayari ku settle down.
Akili zinawakaa vizuri umri ukienda wanakuja kugundua vyote batili,hapo sasa wanakazi ya kuzunguka makanisani na wachungaji nao wanajilia vyao,mwisho wa siku anamtafuta yanki hasiye na mbele wala nyuma anamzalisha, anajifariji na mtoto aliyempata.
 
Mimi naenda direct, unakuta asilimia kubwa wakaka wanaoa wadada wasio na mashepu mazuri ila wanafumaniwa na wadada wa aina hiyo.

Unakuta mchepuko ni hatari mkali na anawaka ila wife wa huyo kaka wa kawaida sana tu hadi unajiuliza kulikoni?

Je, tatizo nini?

Tuambizane.


Ni kweli wale unaodhani wameoa WAREMBO wake zao wana amani? Yani ni kweli mwanaume akioa mwanamke MREMBO anakuwa mtulivu, hachepuki sana kama yule aliyeoa asiye MREMBO?
 
Mimi naenda direct, unakuta asilimia kubwa wakaka wanaoa wadada wasio na mashepu mazuri ila wanafumaniwa na wadada wa aina hiyo.

Unakuta mchepuko ni hatari mkali na anawaka ila wife wa huyo kaka wa kawaida sana tu hadi unajiuliza kulikoni?

Je, tatizo nini?

Tuambizane.

Kufuga nyuki nyumbani unapoishi yataka ujasiri sana
Unaweza kupanda miwa na usipate tatizo kubwa

Lakinu asali ni adimu kuliko sukari
 
Twiga huwa ni wazuri mno na wanapendeza sana wakiwa porini, lakini sioni wakifugwa..!![emoji1614][emoji276]
 
Wa tamaa ndio namba 1 namba mbili wa maisha
Yule mwanamke wa kuoa kuwa sio mzuri na hana shape ile huwa ni defence mechanism kwa watu wanaopenda wake za watu, sasa wakija kwa mke wangu wanakuta ni wakawaida sana, ila ukioa mwanamke mzuri, daah wahuni watakupigia mke wako sana
 
Mfano huyu naona sasa hivi anahitaji family, mpaka kaamua kuandika ig.
Screenshot_20210725-203750_Instagram.jpg

Screenshot_20210725-203656_Instagram.jpg


Na sio kwamba atongozwi anatongozwa sana, ila watu nia yao ni kupiga na kusepa.
 
Back
Top Bottom