Wanaume kwanini tunashoboka kwa wanawake wasiotutaka na wenye nyodo?

Ukiona pisi Kali tumia condom hata kama umeoa##
 
We jamaa una akili sana sema ungekata hela uliyokuwa unamdai ingekua swadakta
Ukute hawakuandikishiana mkataba. Kwa kuwa huyo demu ameshamuonesha uwezo wake wa kutunga uongo ili kudhulumu pesa asingeshindwa kumruka na kwenye ishu hiyo pia na kumsambazia kwa mkewe ule uongo wa mwanzo aliomwambia rafiki yake kuwa anamtaka.

Bila maandishi deni halina ushahidi. Mwishi wa siku jamaa angeonekana muongo na kudhalilika tena kwa mara nyingine kwa mdomo wa mdada huyohuyo mmoja.

Kwa hiyo alichofanya ndo sahihi zaidi.
 
Alimjuaje WIFE wako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…