Wanaume matajiri wanawaoa maroboti ya kike

Mwanamke ni chanzo Cha umasikini na matatizo mengine Kwa mwanamke..

Ifike mahali , mwanamke ni kuajiri ya kuzaa watoto tu..
 
Na bila kuwa na hofu ya kugawa mali..eti eeh?
Kiukweli huu mpango una faida kubwa kwa wanaume sana..wanaume wengi Duniani wanapitia moto kwenye mahusiana.

Am talk about the real and gentle mens..sio hawa wanaume wahuni..unakuta mtu katafutamali yake miaka mingi.

Unaishi na mtu mwaka mmoja tu then mnagawana mali
 
Wanawake wapo wengi alafu wanaongeza na marobot ya kike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ