Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Wazungu Wana mambo ya kijinga Sana.
Watasababisha Mungu aisambaratishe hii Dunia kwa hasira Sana.
Watasababisha Mungu aisambaratishe hii Dunia kwa hasira Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Vipi wamemwekea na jicho la nyuma kumla tigo sababu zungu akili zao wanazijua wenyewe
Mm nipo, sinunui roboti mmMlianza na kataa ndoa sasa mmekuja na maroboti sasa sisi atatuoa nan jaman[emoji24][emoji24]
Ubarikiwe sana mkuu kwa msimamo wako.Mm nipo, sinunui roboti mm
Shetani is illusion amka wewe. Aliyekuletea biblia hadi ukamjua shetani ndio kakuletea robots.Shetani mbaya sana!
Ameamua depopulation KWA style ya kipekee sana!
Naona illuminati wanafanikiwa kupunguza idadi ya uzao Duniani KWA kupiga puli ki electronic!!
Nipo pamoja nanyi hadi ukamilifu wa dahari mkuu[emoji1787][emoji1787]Ubarikiwe sana mkuu kwa msimamo wako.
Msitukimbie jamani[emoji23]
......kwani wewe bado hujaolewa hadi leo?!....Mlianza na kataa ndoa sasa mmekuja na maroboti sasa sisi atatuoa nan jaman😭😭
"hadi leo"🤔......kwani wewe bado hujaolewa hadi leo?!....
Hatari sana, sema nahisi kama siku ya hukumu ipo karibu sana..naona kama shetani kaamua kuvunja ghala lake la sihala
.......sasa unasubiri nini, ndo mtupe nafasi kabla maroboti hayajafika East Africa, tutalaumiana bure!!....."hadi leo"🤔
Unaweza jipigia tokea asubuhi hadi usiku wa manane na hautaona akilalamika wala kukuomba hela ya salooni.Dah! Unaoa kitu hakiendi haja yoyote ile[emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa.......sasa unasubiri nini, ndo mtupe nafasi kabla maroboti hayajafika East Africa, tutalaumiana bure!!.....
Hakiombi hata pesaDah! Unaoa kitu hakiendi haja yoyote ile😂😂😂
Hatari hayo marobot kukuua dakika 0 yakikasirika dah! 😂😂😂Hakiombi hata pesa