Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
robot hilo mie hapana, bado ghali sanaMambo ya dronedrake haya[emoji4]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] msisimko wake utakua wa hatar sanaBado nawaza likapata hitilafu wakati wa show,,,, hiyo shoti atakayokula mjuba[emoji119][emoji119][emoji119][emoji16][emoji16][emoji16]
Chaputa VVIP class[emoji4]Chaputa wameongeza tawi lingine la matajiri
Ha ha ha ....bajeti yako hatar Sana[emoji38]robot hilo mie hapana, bado ghali sana
nakomaa na BabyCare, mchawi 5000/- kila mwaka
Naiona fursa ya ki biashara hasa hasa huku afrika unalinunua na kua unakodisha kama playstation vile na ona fursa yaki biashara 😊😊😊🤓😂Hapo vip!!
Hatimae roboti za kike zinashika kasi sana Duniani.Wanasema hizi roboti ni watamu kuliko wanawake wakaida...
Nawaza miaka 100 ijayo Hali itakuaje[emoji848]KUNA VITA KUU MBILI DUNIANI KWASASA:
1. Vita ya kumfanya mwanamke kiongozi...ilianzia kwenye 50/50
Na ilianzia Beijing
2. Vita ya pili ni kuisusa Kei ya mwanamke...imeanzia Magharibi kupigia debe kupumuliana wanaume na sasa Midoli ya kike
boraTupo tu usijali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bado nawaza likapata hitilafu wakati wa show,,,, hiyo shoti atakayokula mjuba[emoji119][emoji119][emoji119][emoji16][emoji16][emoji16]
Unafungua kituo cha jim halafu kenyewe unakaweka kwenye kachumba kake maalum watu wanajipigia dah ni hatari utapiga mihela, halafu unakaseti kwa muda kama vile enzi za internet cafeNaiona fursa ya ki biashara hasa hasa huku afrika unalinunua na kua unakodisha kama playstation vile na ona fursa yaki biashara 😊😊😊🤓😂
naona kama shetani kaamua kuvunja ghala lake la sihalaAiseeeeee mpaka bwana Yesu arudi tutashuhudia mengi...