Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

Nikikuomba namba dont expect a call as soon as you think/want. Hata mwaka
 
Unaangalia na mtu mwenyewe aliyekupa namba maana unaweza kukuta baada ya kupiga simu tu ukageuzwa baba mzazi ,ila kwangu mie napiga tu tena immediately !
 
Pls unaweza ukanipa namba yako ya simu?
 
hahahah duh !mie mbiti nna nnyodo?? hahaha sijawah ambiwa kuwa naringa aiseee !we ndo wa kwanza !qasante
Kuringa na nyodo tofauti kidogo..
.nyodo iko karibu zaidi na mbwembwe
Vipi kijana alisha-settle ile school fees? [emoji16][emoji16][emoji16]
 

Nitumie pm nikupigie mie sinaga hizo tabia.........
 
Kuringa na nyodo tofauti kidogo..
.nyodo iko karibu zaidi na mbwembwe
Vipi kijana alisha-settle ile school fees? [emoji16][emoji16][emoji16]


hahaha siringi bwana we naringa nn sasa ! uzi gan nimeonesha kuringa ? haahhaa jaman ! bas mie kila mtu anaenifaham paap huwa ananiambia mbiti ni talkative !bas naongeza na lako kuwa naringa !

yes school fees baba wa kufikia nanyupu atanitumia kwa acc leo !
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…