Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahaaaa. Nimecheka sana.

Walio wengi watapita kimya kimya. Ila wanaume muwe mnapiga jamani pale mnapoomba namba na mkafanikiwa kupewa
Busy sana mama!!
Kuna namba ninazo humu hata siwakumbuki ni akina nani.

Siombi tena

Sent From Ikulu-Magogoni street
 
Busy sana mama!!
Kuna namba ninazo humu hata siwakumbuki ni akina nani.

Siombi tena

Sent From Ikulu-Magogoni street
Nipo mangi. Mie mzima wa afya kabisa.

Hahahaaaa. Bora usiombe tena kama ndio hivyo. Lakini ujue umewaacha na maswali hawaelewi kwa nini umeomba namba lakini hujawapigia.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]lol! Umeeleweka sana tu. lakini huchoki kukimbia Emmy? [emoji4][emoji4][emoji4]

Haya wasalimie hao warembo mtaani kwenu waambie yule mkorofi na mpenda muziki BAK wa JamiiForums anawasalimia sana nawapenda pia. [emoji1419][emoji1419][emoji1419]


[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

BAK yatakuwa hayo hayo wala hujakosea. [emoji85]

[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Ulikuwa uzi wa kule siasani Mkuu. Jamaa baada ya kukosa hoja ya nguvu akaamua kunitusi. Nikaamua kumtolea uvivu na kumpa za uso. Akaamua kukimbilia kwa MODS kwenda kushtaki na mods badala ya kuuliza/kuangalia nani alianza kurusha matusi wakanipa kifungo.

Swahiba ilikuwaje?? Nliona cheo chako kimebadilika ghafla toka Expert Member mpaka "Banned"

Au yale majaa yalikuudhi ukayapa za uso?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]lol! Umeeleweka sana tu. lakini huchoki kukimbia Emmy? [emoji4][emoji4][emoji4]

Haya wasalimie hao warembo mtaani kwenu waambie yule mkorofi na mpenda muziki BAK wa JamiiForums anawasalimia sana nawapenda pia. [emoji1419][emoji1419][emoji1419]

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Na mwili wangu huu hata sichoki kukimbia kwa kweli. Zimefika salamu karibu tena na wao wanakupenda pia.

[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ulikuwa uzi wa kule siasani Mkuu. Jamaa baada ya kukosa hoja ya nguvu akaamua kunitusi. Nikaamua kumtolea uvivu na kumpa za uso. Akaamua kukimbilia kwa MODS kwenda kushtaki na mods badala ya kuuliza/kuangalia nani alianza kurusha matusi wakanipa kifungo.
Ndo kawaida yao... wao wanamsikiliza aliyeripoti bila kuangalia aliyeanzisha ugomvi...

Uzuri ni kwamba hawakupunguzii uzito wala afya...

Maisha yanasonga mbele...
 
mie huwa naona kero! kuna sk mkaka mmoja akaishiwa 500 akaniambia mbiti ongezea hapa (hapo tupo kwa daladala wanachuo) !heee fika hotelini aliuliza bei ya koka na pepsi! nilipomaliza kunywa soda huyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
ukiona manyoya.....
 
Nimekumbuka tu enzi hizo mwanaume anakuja vizuri tu anaomba namba unampa bila hiyana ila siku inapita wiki, mpaka mwezi haupokei simu kutoka kwake.

Kwanini unaomba namba na kusave kabisa kama hauna nia ya kupiga?
Inakera mjue.

Kijiweni mashosti nao wakaligusia hili, eti "kuna jamaa kaomba namba kwenye basi wiki sasa hajapiga kabisa, sijui aliomba ya nini mxieee"

Wanaume mjirekebishe bwana kama mtu hautaki mawasiliano nae usiombe namba, inakera halafu ni kama kumchoresha mtu.

Hasa kwa wale watu ambao bado wanasearch au MBA's inakera.Ndiyo maana siku hizi ukiomba namba mwanamke anakwambia nipe ya kwako.

Please remember to call back.

4b015155e1b3215f74aacab08cf5c8a8.jpg



Hivi ndivyo simu zenu huwa zinasubiriwa!![emoji23] [emoji23]
Ni pm namba yako nitapiga mi huwa siachi kupiga.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom