Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Kuna wanaume wana pewa equal treatment kujaliwa lakini ndo michepuko haiishi so kuchepuka ni umalaya tu hauhisiani na kujaliwa mapenzi hujengwa na wawili mi nikipata watoto kwa kweli mwanaume chepuka utakavyo utajiju babu eeeh
Hapo ndo mnapokosea,kwasababu una nguvu kubwa tu ya kumcontrol mume wako
 
Halafu hamjuagi kama mwanamke halizishwi hupoteza hamu yakufanya tendo la ndoa, jeuri lazima ubongo hujijenga hata kama akinipanda ni yaleyale hakuna jipya vifo vya mende tu ndivyo mnaongoza na mabeki 3 wenu
Mbona beki tatu hawana hayo malalamiko yenu
 
Ndo wanaookosea hapo
 
Unajua sababu za mmeo kuchepuka?
 
Yaani wanazubaa kweli wanazidiwa akili na vibeki tatu vya kijijini
 
Sasa kwa nini ulikubali akuoe?
 
Nini % zote hata zero simuamini mtu anaitwa mwanaume analala na papuch usiku Kucha anaamka anazua safari kumbe anaenda hoteli kugegeda papuch tena looh naanzaje kumuamini mwanaume
Lakini kuna sababu imemfanya achepuke
 
Sisi hatuangalii hadhi,papuchi ya housegirl wa darasa la saba inaweza kuwa tamu kuliko ya wewe msomi wa masters,nyie mnaangalia sijui mwanaume awe ana hela sisi hatuangalii hadhi
 
Gumu ndo nini?
 
Alikuwa wa iringa nini?
 
Kwa nini mwanaume asikuheshimu?
 
We jidanganye huyo labda huyo mumeo hana mbinu
 
Halafu wasivo na akili ana mlaumu mkewe aliye mzalia watoto, kulea tu ni kazi yeye anahangaika na Malaya hafu anajiona mjanja, dawa ya hawa viumbe ni kutafta kipoozeo tu nakumuonyeshea actions
Hapo ndo unatia petroli kwenye moto
 
Kwani una wanaume wangapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…