POle. Na nakushauri usilogwe kuanzakupiga beki 3,ukianza hutoacha.mi sijuia kwanini sijawahi kuwatamani hawa wadada wa kazi sijui kwa nini yani ntakua na matatizo mimi wakuu au.. halaf ni wa hapo singidani yani watoto wazuri aisee lakin kwenye swala la hisia siinaga kabisa au mama tonny kanifanyia nini sijui
ya mazoezi eehhhh.?Ukiwa na beki tatu nyumban unajihakikishia kyuma ya uhakika any time
Ila sasa mkeee...... Matatiz tyy samtime akikupa Leo unaogopa kesho utamuombaje kwa mahana utaskia " we mwanamme uridhiki si nilikupa Jana au unazani Nina kyuma ya mazoezi
Na wake pia wamebaki wachache sanaMme ndiyo huyu hongera sana, ukianza na mmoja beki3 itakuwa kila anayekuja unamtamani waume mmebaki wachache sana
mkuu inakera sana, unatoka kazini mwenyewe umejipanga leo naenda kupiga show...usiku ukiingia unaambiwa nimechoka tulale kdg ntakuamsha baadae au asubuh...wakt mm nataka sas, shida atake yeye sas hata kama umechoka atakusumbua hadi uliamshe,acheni ubinafsiTATIZO WANAWAKE MNAJISAHAU SANA. NIMEKUOA, LAKN NKIOMBA PAPUCH UNANPA KWA MBINDE NA UKINPA UNANPA KWA KIWANGO CHA CHNI KWA KUSNGZIA KUCHOKA.. LAKN BEKI 3 MDA WOWOTE MKIWA FREE UKMKAMATA TU IMO.. ANAKUPA POPOTE PALE ILI KUWE NA USALAMA... WAKE ZA WATU BADILIKEN.
Mbona nyie hamuombi divorce sasa hahaaaa mi baby wangu akizingua atajutraaa oooh
Nachangamsha genge, wanazingua hawa wanawakeExtrovert anaukimbiza huu uzi hatari [emoji23] [emoji23]
Hahaaa duuh!! Nimecheka sanaMaana wanaume huwa tunachepuka si kwamba tunawachukia wake zetu. Km mm mke wangu nampenda sana tu ila nachepuka kumsaidia kumpunguzia matatizo ya mgegedo kila siku
Usijidanganye ukimuoa tu naye anatafuta msaidizi kama kazi aliokuwa nayo tena huwa wabaya kishinda maelezo kama hujaoa mchukue au kama unauwezo wakuwa nao wawili chukuaHamna,ma house girl wana heshima sana,hata ukimuoa hawezi akakupindishia mdomo kama hawa wanawake wengine wakishaolewa wanajisahau kabisa wenyewe wanasema wameshatoa mkosi
Ndiyo siku ukimuona kitozi mwenzio unalilia tumboni, uwahi mtu anamfumania mkewe na kudundwa juu [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Sisi huwa hatuangalii hadhi ya beki tatu,tunaangalia papuchi tu,nyie mnaangalia hadhi ya mwanaume
Lazima kupambana ukikaa kimya ndiyo hao mabeki6 wanabeba mmeNdoa uwanja wa mapambano
Kwa wapinzani [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Siri za kambi
Yeye huyo si mmewe alizike asilizike hakuna shida lakini mke anakuona wewe ndiyo kila kitu sasa akiridhishwe wapi?,kwanza beki tatu hata muda wakujiandaa mnakuwaga nao si kama tu jogoo wanavyokimbizaga vile vikuku vidogo,Mbona beki tatu hawana hayo malalamiko yenu
Hahahaaaaami sijuia kwanini sijawahi kuwatamani hawa wadada wa kazi sijui kwa nini yani ntakua na matatizo mimi wakuu au.. halaf ni wa hapo singidani yani watoto wazuri aisee lakin kwenye swala la hisia siinaga kabisa au mama tonny kanifanyia nini sijui
Ni ujinga tu hakuna kingine utakuta huko kwao ndugu zake ni matembele na kisamvu mpaka masufuria yanabadilika rangi yeye huku kutembeza tumjusiUnajua sababu za mmeo kuchepuka?
OrodhaTatizo la mabeki tatu sio wachoyo.
Kuna mmoja nikiwa sekondary nilipiga mimi,binamu yangu, mjomba na mwisho nikastuka mzee nae kapiga.
Hawa viumbe ni hatari sana tukiwatumia vibaya kama anayo maradhi anaweza maliza familia zima
Tusishabikie ujinga.ukimwi upo pia homa ya inni
Kwani mkiwa wachumba beki 3 anakuwepo si anakuja baada ya majukumu kuongezekaSasa kwa nini ulikubali akuoe?