Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

mi sijuia kwanini sijawahi kuwatamani hawa wadada wa kazi sijui kwa nini yani ntakua na matatizo mimi wakuu au.. halaf ni wa hapo singidani yani watoto wazuri aisee lakin kwenye swala la hisia siinaga kabisa au mama tonny kanifanyia nini sijui
POle. Na nakushauri usilogwe kuanzakupiga beki 3,ukianza hutoacha.
Ni kama ka-ulevi fulani hivi.
 
Ukiwa na beki tatu nyumban unajihakikishia kyuma ya uhakika any time


Ila sasa mkeee...... Matatiz tyy samtime akikupa Leo unaogopa kesho utamuombaje kwa mahana utaskia " we mwanamme uridhiki si nilikupa Jana au unazani Nina kyuma ya mazoezi
ya mazoezi eehhhh.?
Unamshiti, unhamia kwa beki tatu.
yeye abaki nayo mpaka hapo itakapokuwa ni professional
 
TATIZO WANAWAKE MNAJISAHAU SANA. NIMEKUOA, LAKN NKIOMBA PAPUCH UNANPA KWA MBINDE NA UKINPA UNANPA KWA KIWANGO CHA CHNI KWA KUSNGZIA KUCHOKA.. LAKN BEKI 3 MDA WOWOTE MKIWA FREE UKMKAMATA TU IMO.. ANAKUPA POPOTE PALE ILI KUWE NA USALAMA... WAKE ZA WATU BADILIKEN.
mkuu inakera sana, unatoka kazini mwenyewe umejipanga leo naenda kupiga show...usiku ukiingia unaambiwa nimechoka tulale kdg ntakuamsha baadae au asubuh...wakt mm nataka sas, shida atake yeye sas hata kama umechoka atakusumbua hadi uliamshe,acheni ubinafsi
 
Maana wanaume huwa tunachepuka si kwamba tunawachukia wake zetu. Km mm mke wangu nampenda sana tu ila nachepuka kumsaidia kumpunguzia matatizo ya mgegedo kila siku
Hahaaa duuh!! Nimecheka sana
 
Baki tatu wanakuwa wapweke sana. Hàna muda wa kutoka kwenda kwenye mambo yale sasa huamua kuomba msaada kwa baba mwenye nyumba.
 
Hamna,ma house girl wana heshima sana,hata ukimuoa hawezi akakupindishia mdomo kama hawa wanawake wengine wakishaolewa wanajisahau kabisa wenyewe wanasema wameshatoa mkosi
Usijidanganye ukimuoa tu naye anatafuta msaidizi kama kazi aliokuwa nayo tena huwa wabaya kishinda maelezo kama hujaoa mchukue au kama unauwezo wakuwa nao wawili chukua
 
Sisi huwa hatuangalii hadhi ya beki tatu,tunaangalia papuchi tu,nyie mnaangalia hadhi ya mwanaume
Ndiyo siku ukimuona kitozi mwenzio unalilia tumboni, uwahi mtu anamfumania mkewe na kudundwa juu [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Abraham ndio alianzisha tabia ya kula beki tatu mpaka leo imekuwa kawaida kabisa mimi mwenyewe ni muhanga wa hayo mambo..
 
Mbona beki tatu hawana hayo malalamiko yenu
Yeye huyo si mmewe alizike asilizike hakuna shida lakini mke anakuona wewe ndiyo kila kitu sasa akiridhishwe wapi?,kwanza beki tatu hata muda wakujiandaa mnakuwaga nao si kama tu jogoo wanavyokimbizaga vile vikuku vidogo,
 
mi sijuia kwanini sijawahi kuwatamani hawa wadada wa kazi sijui kwa nini yani ntakua na matatizo mimi wakuu au.. halaf ni wa hapo singidani yani watoto wazuri aisee lakin kwenye swala la hisia siinaga kabisa au mama tonny kanifanyia nini sijui
Hahahaaaaa
 
Tatizo la mabeki tatu sio wachoyo.

Kuna mmoja nikiwa sekondary nilipiga mimi,binamu yangu, mjomba na mwisho nikastuka mzee nae kapiga.

Hawa viumbe ni hatari sana tukiwatumia vibaya kama anayo maradhi anaweza maliza familia zima

Tusishabikie ujinga.ukimwi upo pia homa ya inni
Orodha
 
Back
Top Bottom