Mnaoa wake wa ajabu kweli nigombane na mme kisha nimuache beki 3 nyumbani? Halafu nawe unamwingiza chumba cha wewe na mkeo duu mlikutana kweli hakuna wakusimama kumuongoza mwingineDaaahhh nakumbuka mwaka 2014..wife alisusa nyumba akapanda gari kwenda kwao na mtoto... Hahahha hayakupita hata masaa 2 Dada wakazi nikamuhamishia chumbani kwangu... Huyu bint sijui yupo wapi kwasasa... Alikuwa Mrembo haswa na mwenye huruma... Wife angeendelea na kisirani ningejimilikisha Yule bint
Sijawahi kulala na mwanaume hata mmoja....Umeshalala na Wanaume wangapi?
Jamii Forun hakuna Bk wew... Wachaa uongooooo[emoji3][emoji3][emoji125][emoji125]Sijawahi kulala na mwanaume hata mmoja....
Ushawahi kujiuliza kwa nini mchepuko anakojozwa mara tano, ila mwanamke mkeo asikojoeWanaume wengi ni wabakaji ndoani hawajui mapenzi nyie kuchomeka tu nakutoa ila mkijua jinsi yakutukojoza heshima lazima iongezeke Mara dufu ila nyie huwa mnatuchafua tu, mwanaume machine
HahahaaaaMara usininyonye Kissimmee unanipaka mimate. Maliza haraka nilale. Usinishike Chuchu zinauma...kumbe kuna jitu lilikuwa linazinyonya mchana kutwa.
Kweli kabisa nimearibu kila kituNa huwezi kuaminiwa tena
Pole sana, jaribu kila siku kusawazisha inaumiza sana ikiwa unamwamini mtu halafu doa likaingia auKweli kabisa nimearibu kila kitu
Ilitokea kwa housegirl wa uncle. Uncle katia mimba akabambikwa mtu flani ila Ukweli ni mtoto ni wa uncle na ukoo Wote unajua kasoro shangazi tu. Siku akijua yule mdada hapatakalikaHizo ndiyo akili sasa miaka 3 mnaishi uke wenza usijue si anaweza akazaa mtoto akatunzwa humo humo usijue akamtaja mkaka asiyekuwepo ukamtunza kumbe niwa mmeo, mwenye akili hata dalili utajua tu unatibua
Atakua uncle sugu huyo...Ilitokea kwa housegirl wa uncle. Uncle katia mimba akabambikwa mtu flani ila Ukweli ni mtoto ni wa uncle na ukoo Wote unajua kasoro shangazi tu. Siku akijua yule mdada hapatakalika
Uncle sugu ndo naniAtakua uncle sugu huyo...
Kwa hiyo huyo aliyebambikiwa naye ni sehemu ya mpango (amesomeshwa) au hajui chochote?Ilitokea kwa housegirl wa uncle. Uncle katia mimba akabambikwa mtu flani ila Ukweli ni mtoto ni wa uncle na ukoo Wote unajua kasoro shangazi tu. Siku akijua yule mdada hapatakalika
Kwa hiyo wanaume wa Jamii Forum tunalala na wanaume wenzetu..??? Uwe unauliza kwanzaJamii Forun hakuna Bk wew... Wachaa uongooooo[emoji3][emoji3][emoji125][emoji125]
Hajui chochote na ana mke wake.. ameapa Miungu yote kwamba hakuwahi hata kumtongoza. Katoto sasa kana miaka kama minne plus ...mjomba anahudumia kisiri mke asigundue.Kwa hiyo huyo aliyebambikiwa naye ni sehemu ya mpango (amesomeshwa) au hajui chochote?
Huyo ulomtaja hapoUncle sugu ndo nani
Sasa hapo Unle akidanja (Mungu aepushie mbali) mtoto ndio atakuwa muhanga.Hajui chochote na ana mke wake.. ameapa Miungu yote kwamba hakuwahi hata kumtongoza. Katoto sasa kana miaka kama minne plus ...mjomba anahudumia kisiri mke asigundue.