Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Ningependekeza tusiwaite beki tatu kuanzia leo....tuanze kuwaita Makamu wa Mke. Maana Mungu anajua ni jinsi gani hawa viumbe wanavyosaidia kuokoa ndoa nyingi katika jamii. Unakuta Baba anarudi kazini mapema na hapendi kuzurura na kwenda kushinda kwenye mabar....sababu ni beki 3.
Heshima kwa mabeki tatu ulimwenguni kote. Arnold Schwarzenegger alitafuna mpaka akazaa na beki tatu wa nyumbani kwake.
 
Mara usininyonye Kissimmee unanipaka mimate. Maliza haraka nilale. Usinishike Chuchu zinauma...kumbe kuna jitu lilikuwa linazinyonya mchana kutwa.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] shoziniga
 
Mara usininyonye Kissimmee unanipaka mimate. Maliza haraka nilale. Usinishike Chuchu zinauma...kumbe kuna jitu lilikuwa linazinyonya mchana kutwa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu yamekutokea nini???
 
mi sijuia kwanini sijawahi kuwatamani hawa wadada wa kazi sijui kwa nini yani ntakua na matatizo mimi wakuu au.. halaf ni wa hapo singidani yani watoto wazuri aisee lakin kwenye swala la hisia siinaga kabisa au mama tonny kanifanyia nini sijui
Unamheshimu mkeo na kumdhamini
 
Na mada imefungwa.
 
Mie naonaga ni heri nkatafute kulumbembe huko nje ila kutembea na beki 3 humo humo ndani ya nyumba huwa naona sio fair kwakwl kwa mama watt
Baba mwenye makuzi mazuri hata awe machepele vipi humo ndani hakuna, kuna wengine akiwa na mchepuko tu unaambiwa siku jishaue mke wangu akujue nami tunaishana hapo hapo sasa hao wengine ndiyo kinakuwa kisu chakumkatia mkewe, hongera mkuu
 
Kama zombie vile mnapangana pangana huko alikuwa anawacheka tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Umeshatafuna ma.h.gal wako wangapi?
 
Hapa ndio wanaume wanapobugi, hawa mabinti wengi wagonjwa!!
Tumia kinga kwa beki tatu pia.
Wanajiaminisha balaa wakati wakiwa makazini majirani humo, wauza sijui nini humo kama kuna mkata nyasi hapo naye anaponea humo duu
 
Jamaa atakuwa mfuasi wa nabii tito
 
Na ukitaka dhambi hii ikolee sana kwako zaidi fuga hausi gero nyumbani kwako uku wife anakuletea pozi kwenye kukupa papuchi na akikupa akupi kwa kiwango cha lami.
 
Nikama ulivyo eleza hapo juu mnakosewa heshima kwa kuwa hamna heshima na wadada wa kazi wana heshima ni hivyo tu wakezetu mtusamehe na mjirekebishe
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu yamekutokea nini???
Ni uhalisia wa ndoa nyingi kwa sasa mkuu. Watu wanakufa na tai shingoni. Ndio maana janga la mababa na wajakazi limeshamiri sana nyakati hizi.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…