Wanaume mliooa jitahidini kutimiza wajibu wenu kadri inavyowezekana

Huyo mtu anayekaa mwezi mzima hajamtia mkewe ni mzima kweli au hana nguvu za kiume? Yaani nilale na mbususu kitanda kimoja then zipite siku 2 sijaila?
 
Wanaume wengi huwa mnapenda kazi sana na kujisahau kutenga mda wa kuwa na familia mnafikiri mkishampa mke pesa na msosi na kulipa ada inatosha
Kwani kuna nini tena cha ziada mnahitaji?
 
Hata wako analiwa wewe usijifanye unayajua mapenzi unakula wa wengine na wako analiwa na wengine usidhani unawakomoa
 
Wasiotaka kuwajibika watakuja kukunanga ila imepenya hii💊💉

Mwanaume kuwa kichwa cha familia ni mpango wa Mungu na mwanamume kutimiza wajibu wake ni utaratibu wa Mungu

Mungu awatunze wanaume na kuwabariki katika kutimiza majukumu yenu
🤣🤣🤣
 
Huyo mtu anayekaa mwezi mzima hajamtia mkewe ni mzima kweli au hana nguvu za kiume? Yaani nilale na mbususu kitanda kimoja then zipite siku 2 sijaila?
Unakuta anajisifia eti anakula wake za watu wakati na mke wake kuna sehem analiwa ni ujinga tu huo ukiiba na wewe unaibiwa malipo ni hapahapa
 
Sioni kosa akisaidia kumtoa hamu huyo dada, wanaume wengi huwa wanajifanyaga busy na kazi hata mda na mke hawana Sasa unategemea nini, na hivi sikuhizi wanaume Wana nguvu kiduchu za kiume ndio haswa wanawake watachepuka sana na watu wakuwaridhisha
Na wewe mme wako akiliwa hatutaona kosa unashabikia ujinga
 
Huyo mtu anayekaa mwezi mzima hajamtia mkewe ni mzima kweli au hana nguvu za kiume? Yaani nilale na mbususu kitanda kimoja then zipite siku 2 sijaila?
Umeoa mkuu? Na kama umeoa ndoa yako ina miaka mingapi?
 
Nondo ya uhakika,, ndo kitu huwaambia lakini wanashupaza shingo. Usichukue nafasi ya kifo ktk agano la ndoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…