Wanaume mliooa jitahidini kutimiza wajibu wenu kadri inavyowezekana

Wanaume mliooa jitahidini kutimiza wajibu wenu kadri inavyowezekana

ni wanawake 2 kati ya 1000 ndiyo hawashindikani na ni sababu ya umaskini na kutokuwa na mwelekeo ......mwanamke akisha kuwa matawi ya juu harekebishiki ...wanawake wenye uwezo halafu wakawa wasikivu kwa waume zao ni 1:100,000

Wewe hao wa matawi ya juu kama hulingani nae waachie matawi ya juu wenzao, na wewe utafute matawi ya chini kama wewe.

Usivae kiatu kisichokutosha

Tafuta wa kufanana nae
 
Wasiotaka kuwajibika watakuja kukunanga ila imepenya hii[emoji381][emoji382]

Mwanaume kuwa kichwa cha familia ni mpango wa Mungu na mwanamume kutimiza wajibu wake ni utaratibu wa Mungu

Mungu awatunze wanaume na kuwabariki katika kutimiza majukumu yenu
Unashadidia ujinga tuu na kuendekeza ufuska, hivi mfumo wa maisha ya sasa yalivyo ya kuhangaika mtu unakuta mwenzio kaenda masomoni au kikazi au kibiashara mbali na wewe ndiyo usiende kutafuta kisa kulinda mke asigongwe? Mtu kapata dhamana katiwa ndani miezi au mwaka kama wale mashehe wa uamsho na wengine wengi tuu ndiyo utaenda kujiuza kabisa?? Majuzi hapa tumeona changamoto kwenye serikali kuhamia Dodoma kwa wafanyakazi waliokuwa Dar ambapo mume na mke wana kazi tofauti na uhamisho wa haraka ni vigumu je hapo utamwambia mke aache kazi akufuate? Mtu mhuni ni mhuni tuu...
 
Sioni kosa akisaidia kumtoa hamu huyo dada, wanaume wengi huwa wanajifanyaga busy na kazi hata mda na mke hawana Sasa unategemea nini, na hivi sikuhizi wanaume Wana nguvu kiduchu za kiume ndio haswa wanawake watachepuka sana na watu wakuwaridhisha
Sasa kwa nini usimuache ukaenda kwa anayekuridhisha? Yaani mtu ana nguvu kiduchu badala ya kumuacha uende kwa mwenye kutumia vumbi la Kongo bado unaye tuu [emoji12][emoji12]
 
wanaume wengi huwa wanajifanyaga busy na kazi hata mda na mke hawana Sasa unategemea nini
Kwamba tunajifanya tupo busy, ila sio kwamba tupo busy kweli...please EXPAND???
 
Unashadidia ujinga tuu na kuendekeza ufuska, hivi mfumo wa maisha ya sasa yalivyo ya kuhangaika mtu unakuta mwenzio kaenda masomoni au kikazi au kibiashara mbali na wewe ndiyo usiende kutafuta kisa kulinda mke asigongwe? Mtu kapata dhamana katiwa ndani miezi au mwaka kama wale mashehe wa uamsho na wengine wengi tuu ndiyo utaenda kujiuza kabisa?? Majuzi hapa tumeona changamoto kwenye serikali kuhamia Dodoma kwa wafanyakazi waliokuwa Dar ambapo mume na mke wana kazi tofauti na uhamisho wa haraka ni vigumu je hapo utamwambia mke aache kazi akufuate? Mtu mhuni ni mhuni tuu...

Punguza povu Igogondwa halafu rudi kasome post ili uelewe kabla hujalalamika eti nashadadia ujinga.
Maana sasa unaonekana wewe nawe mzembemzembe tu mwanaume usiyeweza kusimamia nafasi yako

Povu likizidi pita wodi namba3 upate💊💉

Nesi wa zamu nipo kukuhudumia
 
Sasa kwa nini usimuache ukaenda kwa anayekuridhisha? Yaani mtu ana nguvu kiduchu badala ya kumuacha uende kwa mwenye kutumia vumbi la Kongo bado unaye tuu [emoji12][emoji12]
Simuachi ng'o maana huo ni udhaifu mdogo sana sio wakuacha mtu
 
Kwamba tunajifanya tupo busy, ila sio kwamba tupo busy kweli...please EXPAND???
Wanaume wengi huwa mnapenda kazi sana na kujisahau kutenga mda wa kuwa na familia mnafikiri mkishampa mke pesa na msosi na kulipa ada inatosha
 
Huu ni ushauri kwa wanaume wenzangu mliooa, jitahidini kadri ya uwezo wenu kutimiza wajibu wenu.

Naomba niwakumbushe, hakuna mwanamke rahisi kutongoza na kumla kama mke wa mtu, ni rahisi sana. Lakini pia hakuna mwanamke mgumu wa kumtongoza na ukamla kama mke wa mtu ambae mume wake anatimiza wajibu wake kadri awezavyo.

Wanawake ni viumbe ambao ni very appreciative, wavumilivu sana. Ukiacha wanawake wanaojiuza, hadi mwanamke alie kwenye mahusiano aamue kuchepuka basi amevumilia mengi sana na ameongea mengi sana na hayajafanyiwa kazi na kwa akili ya wanawake atachujulia amedharaulika.

Turudi kwenye hoja, mimi binafsi najisikia vibaya kula wake za watu, wengine walikua wapenzi wangu kabla ya kuolewa, wengine tunakutana tu mitaani lakini nakua sina namna inanilazimu tu kuwala hivyo hivyo mara maana hakuna namna nyingine sasa(kwa sauti ya Pinda).

Pia tunapooa, tusiwachukulie hawaviumbe poa, usisahau kua ulimchukua kutoka kwa mtu mwingine, labda kama ulioa bikra.

Mwanaume hata kama unalewa basi usiipe pombe kipaumbele kuliko mwanamke, kuna bwege mmoja aliambiwa aache pombe anamwambia mke wake, bora niache mke kuliko pombe. Huyu tumemshikisha adabu, analea mtoto wa mtu kiroho safi tu. Lipo wazo aongezewe mtoto wa pili, na atapewa tu.

Huu ni ushauri wa bure tu kwa wanaume wenzangu, jitahidini kutimiza wajibu wenu hasa mlioko kwenye ndoa. Watu wengine hatujisikii vizuri kula wake zenu lakini inatulazimu, unakaa na mke mwezi, miezi 2 hujamtia, eti uko busy, unachoka, unalewa sana, mtatulelea sana watoto wetu.
All in all unapowala kumbuka kwamba mke was mtu sumu.
 
Ni ngumu sana kuwaelewa wanawake, kwa sababu hata wao wenyewe hawajielewi.

Hii theory yako not applicable kwa kila mwanamke, inatofautiana kutoka mwanamke ABC na D.

Na kwa wanawake wenye watoto kwa kutokujielewa ujikuta mapenzi yake yote ni kwa watoto na mume wake umchukulia powa tu, hapa ndio source ya mwanaume kutafuta mechi za nje, nimechoka nyingi kuanza kupangiwa mgao wa mbunye kama vile Tanesco na mgao wa umeme nani atavumilia ujinga kama huo?

Mbaya zaidi tuliofikia unaweza hata kufanya booking ya K online na ukafanyiwa supply, sasa katika hali tuliyofikia loser ni wanawake na siyo wanaume, labda tunatofautiana, kuna mazezeta huwa hawakosekani.
Nakupa like
 
Kila mtu a play part yake sio Mimi mwanamke nijichoshe kumfuraisha mtu mzima mwenzangu never on earth hana nguvu za kiume Hilo ni tatizo lake na saikolojia yake siwezi kumsubiria mda wote huku nikifa na ugwadu wangu loh
Mbona wenye nguvu za kiume na mishipi ya haja tupo mnang'ang'ania nn kwa hao wala chips mayai, we cariha kama vp nitafute utakojozwa mpaka ufurahi
 
Hata usemeje..namuunga mkono mtoa mada.......Hebu muwatosheleze wake zenu...manake sasa mnatupa kazi sana kuwapa company sababu ya uzembe wenu....kinachoniudhi ni kula wake za watu kwa kujificha jificha.....tunakuwa hatupo free sababu tunawaogopa msije mkatufumania... lakini kwa upande mwingine mnatupa mzigo wa kuwatoa stress wakati wengine tuna wake zetu nyumbani.......halafu mara nyingi huwa nawagonga wanawake ambao wameolewa na wachaga.....mfano ni huyu wa sasa ana kaa mitaa ya Mbezi beach anajiweza kiuchumi sababu ni mfanyabiashara...na siyo muhuni kabisa huyu mwanamke lakini mara zote huwa analalamika kuhusu mumewe kwamba yupo bize na kazi na pombe....sasa yeye anataka sex tu toka kwangu mambo mengine yoote anagharimia mwenyewe...Na huwa kila Jumapili nakutana nao kanisani huwa wanakuja kifamilia mke,mume na watoto wawili........kaazi kweli kweli....Najua kulala na mke wa mtu siyo ujanja..lakini huyu mwanamke ameniomba awe mchepuko wangu rasmi...hakika ukimuona anavyolalamika lazima utamuonea huruma......Wachaga mnakwama wapi?
Amber rutty yako ipo shakani
 
Mkuu, Matendo unayoyafanya sasa huwa yatakuja kujirudia kwa vizazi vyako. Baba ukiwa mchepukaji na watoto watakuja kuwa kama wewe, hapo unajiandalia kizazi cha uchepukaji.

Miaka kumi iliyopita kuna mpangaji wetu aliwahi kufumaniwa anafanya mapenzi na Dada yake wa tumbo moja, mwezi uliopita nimekuja sikia mtoto wa yule jamaa nae anatuhumiwa kutembea na mdogo wake. Nikaja kukumbuka yale matukio ya Baba yao nikaunganisha dot.
We ni chawa kwenye hiyo familia na unaifuatilia sn aisee
 
Wanaume wengi huwa mnapenda kazi sana na kujisahau kutenga mda wa kuwa na familia mnafikiri mkishampa mke pesa na msosi na kulipa ada inatosha
Da kmmmk cariha aliyekuowa ana kazi sn embe njoo kwangu nikupe pipe ya kutosha usuuzike inaonesha mumeo hakuridhishi
 
Mwanamke ukisha muoa .. anakua mjinga mara saba zaidi kuliko ambavyo alikua kabla hujamuoa.. Wewe oa naishi nae karibu ndio utajua wana akili au hawana..na ulete mrejesho hapa..
 
-The line between right and wrong nowadays it's hazy

-what unafanya actually ni infidelity no matter what supporting point unaitoa

-bad enough mnaingia kwenye ndoa hasa watt wa kike kwa kuwa na akili finyu kuwa fu**ng is all that matters kwenye ndoa

- nyie mnaochepuka kwenye ndoa what's the part of the oath hamkuelewa "kuwa I'll be with you no matter what"

-if u don't love him ondokaaa,, natafuta ada ya watoto and what unawaza it's fckng tu

No matter what kitatokea on my marriage nkimshika huyo umbwa atakuwa homosapiens wa kwanza africa kutoa ushuhuda wa black sites
 
Huu ni ushauri kwa wanaume wenzangu mliooa, jitahidini kadri ya uwezo wenu kutimiza wajibu wenu.

Naomba niwakumbushe, hakuna mwanamke rahisi kutongoza na kumla kama mke wa mtu, ni rahisi sana. Lakini pia hakuna mwanamke mgumu wa kumtongoza na ukamla kama mke wa mtu ambae mume wake anatimiza wajibu wake kadri awezavyo.

Wanawake ni viumbe ambao ni very appreciative, wavumilivu sana. Ukiacha wanawake wanaojiuza, hadi mwanamke alie kwenye mahusiano aamue kuchepuka basi amevumilia mengi sana na ameongea mengi sana na hayajafanyiwa kazi na kwa akili ya wanawake atachujulia amedharaulika.

Turudi kwenye hoja, mimi binafsi najisikia vibaya kula wake za watu, wengine walikua wapenzi wangu kabla ya kuolewa, wengine tunakutana tu mitaani lakini nakua sina namna inanilazimu tu kuwala hivyo hivyo mara maana hakuna namna nyingine sasa(kwa sauti ya Pinda).

Pia tunapooa, tusiwachukulie hawaviumbe poa, usisahau kua ulimchukua kutoka kwa mtu mwingine, labda kama ulioa bikra.

Mwanaume hata kama unalewa basi usiipe pombe kipaumbele kuliko mwanamke, kuna bwege mmoja aliambiwa aache pombe anamwambia mke wake, bora niache mke kuliko pombe. Huyu tumemshikisha adabu, analea mtoto wa mtu kiroho safi tu. Lipo wazo aongezewe mtoto wa pili, na atapewa tu.

Huu ni ushauri wa bure tu kwa wanaume wenzangu, jitahidini kutimiza wajibu wenu hasa mlioko kwenye ndoa. Watu wengine hatujisikii vizuri kula wake zenu lakini inatulazimu, unakaa na mke mwezi, miezi 2 hujamtia, eti uko busy, unachoka, unalewa sana, mtatulelea sana watoto wetu.
endelea na tabia yako , wato*mbee haohao wanaume wa dar , ila waswahili wanasema " Ngoma ikiwamba sana ujue inakaribia kupasuka""

kifilo kinakukaribiaa ,soon ukalia UKUNI

endeleaa

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom