the numb 1
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 1,562
- 2,902
maswali ya kitoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
“Pema ujapo pema ukipema si pema tena”Hivi wanaume mliooa na bado na michepuko nje mmeoa kwa ajili gani sasa? Au mihemko na mkumbo wa ndoa ndio uliowasukuma kufanya hivyo?
Huwa nashangaa sana mwanaume anasema ameoa na bado yupo busy na michepuko, sasa nini maana ya ndoa?
Ndoa ni fashion?
Tabia nyingine ya Watanzania wengi kama wewe ni kutoweza kujadili mada kama mada, kwa abstract thought, na kuishia kumjadili mtoa mada, na kufanya ad hominem attack.Kwani nawe ni mchepuko ?
Kwani umeulizwa wewe, acheni kuwa na multiple IDsTabia nyingine ya Watanzania wengi kama wewe ni kutoweza kujadili mada kama mada, kwa abstract thought, na kuishia kumjadili mtoa mada, na kufanya ad hominem attack.
Yani kuacha kujadili mada kidhahania, na kumjadili mtoa mada.
Nimekuwekea hoja kwamba haijalishi mtu atakavyoamua kuishi, achepuke, asichepuke, huo ni uhuru wake, hayo ni maisha yake, huna haki ya kumuingilia.
Halafu unaniuliza kama nami ni mchepuko.
Una prove point yangu kwamba huwezi kumuachia mtu aishi kwa uhuru wake bila kumuingilia.
Mimi nimekuuliza swali wewe ni mchepuko ? Hayo ya kukua attack hayo ni malalamiko yako binafsiTabia nyingine ya Watanzania wengi kama wewe ni kutoweza kujadili mada kama mada, kwa abstract thought, na kuishia kumjadili mtoa mada, na kufanya ad hominem attack.
Yani kuacha kujadili mada kidhahania, na kumjadili mtoa mada.
Nimekuwekea hoja kwamba haijalishi mtu atakavyoamua kuishi, achepuke, asichepuke, huo ni uhuru wake, hayo ni maisha yake, huna haki ya kumuingilia.
Halafu unaniuliza kama nami ni mchepuko.
Una prove point yangu kwamba huwezi kumuachia mtu aishi kwa uhuru wake bila kumuingilia.
1.Kuwa na familia Moja, yaani mke na watoto ambapo tunabeba fully responsibilities, for almost throughout our life, na wao wakawa hivo kwangu.Hivi wanaume mliooa na bado na michepuko nje mmeoa kwa ajili gani sasa? Au mihemko na mkumbo wa ndoa ndio uliowasukuma kufanya hivyo?
Huwa nashangaa sana mwanaume anasema ameoa na bado yupo busy na michepuko, sasa nini maana ya ndoa?
Ndoa ni fashion?
Multiple IDs zangu ni zipi, zitaje hapa watu wazichambue tuone.Kwani umeulizwa wewe, acheni kuwa na multiple IDs
Mpuuzi mwenyewe mimiKuna mpuuzi mmoja atakuja kuulizia jinsia ya mleta mada
Jiratibu vizuri MkuuMultiple IDs zangu ni zipi, zitaje hapa watu wazichambue tuone.
Jambo lolote linaloletwa kwenye public forum hapa JF limewekwa kwa watu wote wachangie.
Kwa nini mimi kuwa au kutokuwa mchepuko ni jambo muhimu?Mimi nimekuuliza swali wewe ni mchepuko ? Hayo ya kukua attack hayo ni malalamiko yako binafsi
UMWAHI kuwaza kwa nini mwanamke kwa mwezi anakuwa amerubisha yai moja tu? Ili hali mwanaume shot moja anakuwa na uwezo wa kugawa mbegu kwa wanawake walioko kwenye siku za kubeba mimba dunia nzima?Hivi wanaume mliooa na bado na michepuko nje mmeoa kwa ajili gani sasa? Au mihemko na mkumbo wa ndoa ndio uliowasukuma kufanya hivyo?
Huwa nashangaa sana mwanaume anasema ameoa na bado yupo busy na michepuko, sasa nini maana ya ndoa?
Ndoa ni fashion?
Uzi uishie hapaWatanzania wengi hawana raha kuishi maisha yao tu, wana nyege za ku control maisha ya wengine.
Mtu akiamua kuwa na michepuko mia moja, au asiwe na hata mke mmoja, hayo yote ni sawa.
Ni maisha yake, uamuzi wake.
Mimi inanihusu nini?
🤣🤣🤣Mpuuzi mwenyewe mimi
Mleta thread jinsia yako plzzzz
Wewe ni mchepuko ? Swali ni jepesi ila unazungukaKwa nini mimi kuwa au jutokuwa mchepuko ni jambo muhimu?
Mimi ndiye hoja inayojadiliwa hapa?
Mimi nakwambia habari za mchepuko au kutokuwa nchepuko ni habari za mambo binafsi ya faragha ya mtu, acheni ushamba wa kuingilia mambo ya faragha ya mtu.
Wewe unanidhihirishia kwamba wewe mshamba na hata somo la kuondokeea kwenye ushamba hulielewi.
HapanaaaaUmeuliza kijanja apo[emoji1787]
We dogo tulia changamoto za ndoa ni nyingi sn kuna visilani, kunyimwa tendo na mdomo vinachangia sn tutoke nje.Hivi wanaume mliooa na bado na michepuko nje mmeoa kwa ajili gani sasa? Au mihemko na mkumbo wa ndoa ndio uliowasukuma kufanya hivyo?
Huwa nashangaa sana mwanaume anasema ameoa na bado yupo busy na michepuko, sasa nini maana ya ndoa?
Ndoa ni fashion?
😁Hapanaaaa
We muulize tu 🤣🤣
Kwa jibu hilo ukadhani utanikera.Mmeo